Ukweli kuhusu mateso ya UTI kwa wanaume

Ukweli kuhusu mateso ya UTI kwa wanaume

Nikajua kwa yaliyokupata basi utapunguza rate ya kungonoka au utajitahidi kutumia kinga kumbe unaendelea ila unabadili aina ya wanawake.

Akili huna acha ikupate tena na tena.
ni sawa kwa unalo sema ukisoma unaweza sema ni ndani ya mwezi mmoja ila ni zaidi ya miaka mitano kukutana na matukio tofauti. na hiii imetokea mwaka jana mwezi wa 6 huko ndo mara ya mwisho, so ukiwa una comment usiwe una panic. penda kuuliza kwanza na sio kubadili ni mfumo wa maisha ulivyo lazima ukutanenao tu.
 
ni sawa kwa unalo sema ukisoma unaweza sema ni ndani ya mwezi mmoja ila ni zaidi ya miaka mitano kukutana na matukio tofauti. na hiii imetokea mwaka jana mwezi wa 6 huko ndo mara ya mwisho, so ukiwa una comment usiwe una panic. penda kuuliza kwanza na sio kubadili ni mfumo wa maisha ulivyo lazima ukutanenao tu.
Sijapanick ila uzi wako mzima na hata hitimisho lako limethibitisha kua wewe ni kitombi.

Ungekua na mpenz mmoja au wawili labda lakini kila gonjwa ni demu mpya msiejuana kabisa na mnanjunjana bila kupima na pekupeku
 
Watu wenye experience zao:
1. Let say nimengonoka na mgonjwa na ameniambukiza (assume).

Gono
Kaswende
Hiyo UTI mnayoidiscuss. Other STI you name them😁

For each disease hapo... Nimeambukizwa leo. Itachukua muda gani kuanza kusuffer/ symptoms make jamaa anasema in two days, week etc

Mi pia nipo careless sana ofcourse involuntarily. Asa akili ikikaa sawa namuomba mungu na kuanza kusikilizia symptom but sijawai pata ugonjwa wowote. I usually wait 2 weeks and see if i get any abnormality ila nisipopata hata kahoma in weeks or months najua am still safeeeee
binti kiziwi DeepPond
 
binti kiziwi najua sana concept ya immunity biology ya fomu tuwu. So technical speaking ukifanya irresponsible sex usipopata signal after sometime that means you two were good or huja acquire mzigo etiii... Apa naogopa sana make mi wanawake hawaniambiagi to do it protected wananiamini just by appearance na mi nikiona ile kitu ipo healthy, clean and bumpy naloweka naked ndo ivyo toka niwe baaad man cjapataga ata dalili moja tu. Ila mara moja i guess nilijichubua tip nguo zikawa zinaniletea unpleasant sensation/scratch but no other than that hapo ndo nikawa alarmed kumbe it was nothing real
 
Sijapanick ila uzi wako mzima na hata hitimisho lako limethibitisha kua wewe ni kitombi.

Ungekua na mpenz mmoja au wawili labda lakini kila gonjwa ni demu mpya msiejuana kabisa na mnanjunjana bila kupima na pekupeku
sawa nimekuelewa mkuu.
 
Watu wenye experience zao:
1. Let say nimengonoka na mgonjwa na ameniambukiza (assume).

Gono
Kaswende
Hiyo UTI mnayoidiscuss. Other STI you name them😁

For each disease hapo... Nimeambukizwa leo. Itachukua muda gani kuanza kusuffer/ symptoms make jamaa anasema in two days, week etc

Mi pia nipo careless sana ofcourse involuntarily. Asa akili ikikaa sawa namuomba mungu na kuanza kusikilizia symptom but sijawai pata ugonjwa wowote. I usually wait 2 weeks and see if i get any abnormality ila nisipopata hata kahoma in weeks or months najua am still safeeeee
binti kiziwi DeepPond
hahahahaa kuna jamaa mmoja alipata demu yeye akajua ame win kumbe ni BOMU kaenda kunyandua tu masaa 6 mengi kitu imo. demu ana tumiwa msg anasema utajua mwenyewe.
 
Habari zenu wakuuu hope mko poa sana.

Leo nimeamua kuja na mda tajwa hapo juu naandika ukweli wa asilimia mia moja kuhusu hawa dada zenu na ugonjwa wao wa UTI unavyo tutesa.

Nianze moja kwa moja nimekuwa mtu wa toto mbili tatu na kujichanganya sana na wanawake, ila katika miaka ya nyuma sija wahiii pata changamoto kama kuanzia miaka 5 ilio pita. Nianze kwa kusema tu ukweli kuwa nilikuwa nasikia sana kuhusu ugonjwa wa UTI ila nilikuwa sija wahii kuumwa wala kuupata na nilikuwa najua ni unatokana na uchafuu wa mwanamke mwenyewe na mara nyingi huwapata wao.

Nianze na tukio la kwanza mwaka X nilikuwa mkoani nilikutana na binti mmoja tukatokea kuelewana sana hivyo basi tukakuta tunaunganisha vi kojoleo kiukweli yule manzi alikuwa ni mtamu kiasi mpaka nika mpenda na kutamani kufanya nae tena na tena.

Ila baada ya kama week moja nilijikuta naumwa sana najisikia homa nika hisi hii itakuwa ni malaria tu ila nilivyo enda kupima nikakutwa sina nikapotezea nikaanza kusikia vichomi wakati wa kukojoa yani kama maumivu fulani hasa pale mkojo unapo ni bana.

Baada ya ushauri kuna mtu akaniambia kuwa nitafute hospital nyingine nikapime vizuri nilivyo enda kupima majibu yalitoka nina UTI 40 kama nina kumbuka vizuri.

Nilimeza dawa kwa mda mpaka nikapona na kwenda kumueleza binti majibu ilikuwa ni pole na sikujua vizuri kama nimepata kwake au laa? ila yeye alikuwa poa tu.

Sasa nikaja kuhama mkoa na kwenda mkoa mwingine nikaja ku experience UTI ya 5G, nili kwenda kwenye bar moja kupata kitimoto na beer mbili tatu kuna meza walikuwa wamekaa wadada kama wa 4 hivi ila mmoja ndo alikuwa kama yuko peke yake maaana walikuwa na jamaa yao ila kulikuwa na kama ka ugomvi so wakawa wanajitahidi kusuluhisha, basi yule mwingine alikuwa mpole sana na na alikuwa ameumbika kweli, na mimi kwa mda huoo nilikuwa sina time now.

Basi nikasema kunywa mwenyewe sio poa ngoja ni mpigie jamaa yangu aje tupunguze siku. Kweli alikuja akafika nikawa nina hype kama lote sasa hapa ndo msala ulipoa anzia. Beer zikakaa mahali pake maana nilikuwa nakunywa safari. mda umeenda kuja kutupa jichoo binti kaachiwa beer mezani na wenzake sijui wameenda wapi nikaona ngoja nijongee kwakuwa ni mda sana nimemuona tokea akiwa na wenzake, bila hiyana binti akakubali kuja meza yetu tukaanza kuburudika, beer zake nikaomba muhudumu amuhamishie meza yetu akafanyahivyo.

Cut stroy short tuliachiana number na akani promise kesho atajitahidi tuonane asubuhii maana anaenda town. basi mida ya saa 3-4 hivi huyu hapa nikawa nimeenda ndomu zangu ini case, mtoto akaingia ndani tukaanza mambo kiukweli kwa ufundi wake nilisahau mpaka ndomu nilikuja kushtuka baada ya bao la kwanza akili ndo ikajua nimeuza mechi nikasema sio kesiii. Akasepa nimekaa kama siku 2 naona mabadiliko kwenye mashine aiseee hiii kitu inatesa sana yani nilikaa siku ya tatu naona boxer inachafuka balaa na nimevaa asubuhi tu nikajua hapa nimesha kula GONO.

Manzi alinipigia anaongea romance kuwa amenimiss na anatamani tuonane tena, nilitamani kumtukana sana sema nilikausha maana najua na mimi ni mkosaji pia. Nikaenda hospital nikakutana na dokta wa kike nikagoma kumwambia nikaomba wa kiume ndo akaja nikamuelezea bila shida akaniambia nikapime wajue ni nini shida.

Basi nikaenda nikatoa mkojo uliokuwa una uma ukaenda kupimwa nikakutwa na UTI kiukweli mpaka dada wa mahabara alisikitika na akaomba nimuite alie nipa hata sikutaka nikamwambia hayupo kaondoka mkoa. Nikaja nikampigia yule ccy nikamwambia ukweli kuwa akatibiwe amenipa gonjwa la kijinga sana na kama ikiwezekana akapime na ngoma maana mimi siwezi onyesha, akakubali kwenda ila baada ya siku 3 akaja kuniletea majibu na alianza sindano zake. Hapa niseme sikutegemea kama mtoto mzuri kama yule ana kitu kamaa hii na sisitiza usimuamini mtu kwa macho.

Kisa kifupi kingine kuna maza alinielewa nikasema sio kesi maana alinipenda mwenyewe nikaenda kumtandika ila na ndom nikawa nachelewa balaa yani kiukweli nachelewa sana kiasi akawa analalamika nikaona sio kesiii nika chomoa nikaenda kavu nikamaliza baada ya siku 2 tu mkojo unaumaa balaa nikaenda kupima nikakutwa na UTI ila ilikuwa ya kawaida wakanipa tu dawa. Nika mfuata yule mazaa nahisi alijua ana UTI akaniambia alijua amepona maana ilikuwa ina msumbua na siku tume kutana alimaliza dozi jana yake ikabidi nipige chini maana nilikosa raha kabisa na kuhisi alifanya makusudi.

Ya mwisho nikaenda mkoani nikakutana na binti kiukweli ni mzuri sana, nikaomba namba tuka toka out siku ya weekend tukapiga beer za hapa na pale tukaenda kunyanduana maana alisema hawezi lala nilipofikia maana anatakiwa awe kwake basi kweli tukamaliza yetu akaasepa nikamwambia kesho tutaonana tena vizuri. Aiseee hiii ilikuwa ni 20G kesho yake nasikia maumivu kesho kutwa boxer ni chafu kiasi kwamba nikajua hili ni Gono tena.

Nilijitahidi kunywa maji na azuuma ila iligonga mwamba nikawa nimekaa kama siku 4 nawaza hiii ni gundu gani na hawa watoto aisee mashine ukienda kukojoa ni mteso makali sana sio kidogo mkojo ukikubana hata kama una usingizi wa kiasi gani utaamka mda huo huoo. Nilianza kuumwa mwili na kujisikia kama mwili hauko normal kabisa ilifikia dyudyu ilivimba ikaanza kunenepa bila sababu hadi kuishika ikawa shida nikikojo hata kuikung'uta tuilikuwa shida sana aiseee hatari sana.

Nilimfata dokta na kumwambia mkuu nipime kila kitu sio mkojo tu mpaka huu uchafu unao toka kwenye niaje. majibu yametoka nimekutwa na UTI 100. niliona imeandikawa 1: VDRL- NV
2: Urethal swab report
macroscopic finding
appearence - purulent swab stick
color - white grey
microscopic
GRAM STAIN SMEAR- showed intracelullular gram negative
diplococci, many leucocytes seen.

Akaniulizia muhusika nikamwambia hayupo na sitaki kumsikia, akaniandikia dawa na shindano juu ila za doxin sikumaliza maana zina kera balaa.

Kisa cha mwisho ni kuna siku kuna manzi nilikuwa nakaa nae mtaani na alikuwa ni pini kweli nikamchana ukweli akanielewa ila alikuwa na jamaa yake sasa siku mmoja nilienda kwa jirani kuwarekebishia TV na yeye alikuja wote walikuwa jikoni na nahisi alikuwa anajua hamna mtu ndani

Nikasikia wana wahadisia wenzake kuwa ana matatizo akiweka finger kwenye punani vinatoka vitu vyeupe na vina kuwa na kama harufu kwa mbali kitu kinacho mnyima raha mmoja akamuuliza kama jamaa yake anajua kuhusu hilo swala, alicho jibu ni kuwa hajuiii na huwa anakula hivyo hivyo na alikuja kugundua wakati ana nyanduana na wakati alikuwa anajipekuwa akiwa mwenyewe na aliulizwa ina mda gani?

Akajibu mwezi sasa na hsptl hajaenda, dhaaaa lahaula si nikatokea maana walikuwa wanaongea kwa nguvu niakenda jikoni (nilijitokeza tu ili anione) aisee naona waliona aibu wote, manzi aliganda hata kunipa hiii alishindwa na mimi ndo ukawa mwisho wa kusalimiana na kujuliana hali. maana nilijua kabisa haba nikila nakula bomu moja mtata sana,

Kwa malaya ni % kubwa sana kupata ukiona umenunua malaya kwa wale wapendwa na umekula kavu na hujapata magonjwa kama hayo ambayo ni common shukuru mungu sana maana hao viumbe wanakutana na watu wengi sana kwa siku wa aina tofauti na magonjwa ni mengi sna .

Swali langu huwa ni moja
inakuwaje hawa wanawake wanakaa na magonjwa yote hayo mda mrefu na wanakuwa wanajisikia normal kabisa mfano kama hiyoo UTI tokea nimekuja kupona na kurudi kutoka mkoa aliniambia yeye hajisikiii kitu na hajaenda hospital na wala hamna mpango wa kwenda ila huwa anasikia tu maumivu ya tumbo mda mwingine akiwa anaenda chooni basi.

Neno langu: kuna magonjwa ni common na ni ngumu sana kuongelewa hadharani kama hivi ila yana tuumiza na kutunyima raha sana hasa sisi wanaume, mwanamke mzuri ila kiafya huko down hapana ni vyema wawe hata wana pima tu kujua afya zaooo na kujitibu pale wanapoo ona dalili. mfano mzuri ni swala la harufu sijuiii huwa hawasikiii au unakuta ameizoea.

Kama huja wahiii kupatwa na huu ugonjwa mkuu usionge kabisa maana hujuii namaanisha nini na yalio nikuta hata sikupanga na sikutegemea japo ni wakati tofauti. kuna mda unaona bora u deal na hawa wa shule hasa vyuoni kuliko hawa wanao ajiriwa na kuwa na familia ukiamini wana jijali.

mimi kwa leo ni hayo tu kama kuna mengine nitaongeza. ila UTI kwetu ni mateso sana.
Karibu 95% ya wanawake Wana UTI, Tena wale wazuri kwa mwonekano ndiyo balaa sana ukigusa bila kinga probability ya kupata UTI or gono ni 100%. Hivyo ni bora kutumia kinga kila wakati don't trust any woman. Wale ambao unaweza usipate UTI, ni wale wafanyakazi wa ofisini wenye mishahara mikubwa wasafi ndani na nje. Wale ambao hawapigwi ovyo ovyo.
 

Attachments

  • VID-20220803-WA0042.mp4
    792.6 KB
Karibu 95% ya wanawake Wana UTI, Tena wale wazuri kwa mwonekano ndiyo balaa sana ukigusa bila kinga probability ya kupata UTI or gono ni 100%. Hivyo ni bora kutumia kinga kila wakati don't trust any woman. Wale ambao unaweza usipate UTI, ni wale wafanyakazi wa ofisini wenye mishahara mikubwa wasafi ndani na nje. Wale ambao hawapigwi ovyo ovyo.
100% sure mkuu.
 
Mostly STI's ni 1-10 days...

Inategemea pia
Basi mi cjapataga STI ata moja up to now... Technique ya kudetermine this huwaga after random sex nakaa kusikilizia kama taugua-ugua.., after some time bila kuugua wala dalili namshukuru sir god kwamba bado mzima.

My blood group AB Rhesus factor +

Hivi ukipata HIV/AIDS today... Kuna window period yaani kwamba umeupata leo baada ya week3/ 3 months lazima uuugue ugue fulani alafu unapona si ndio...

Kwamba umekula demu raw and you are not sure of her HIV status so si unachill kusikilizia after 3weeks or 3months ukianza kuugua-ugua probability ni umeishaupata. So you just sit calm and wait the music (10 years later)

Else you are still healthy and kicking si ndio au ipoje mkuu
 
Sijawahi Luo a msomi mjinga kama wewe.... Hair ma CO ndio makitu gani?

Hi I uliona wapi msomi anajibu kijinga namna hiyo? Professor gani amekufundisha aisee ....

Msomi [emoji12] Degree ya Chini ya nguo ....
Njoo na fact ya kubadilisha mitazamo ya wanajamii wetu, kisomi siyo kindezi ndezi namna hiyo



Tuheshimiane
We bwana mdogo
Nina chozungumza ni issue SERIOUS za AFYA za watu
wewe unatakiwa ujifunze na kubuni mbinu mbadala za kitabibu kupitia mrejeshi wawagonwa unaowatibu
achana na makaratasi ya darasani
UPO kwenye uharisia unatibu watu na hao watu wewe ndo wanakutegemea inapaswa uwe makini na kile unachowatibu na uzingatie wanachokurejeshea baada ya kuwatibu
7bu MAKOSA ya shilingi 1000/= unayoafanya leo
yakakughalimu kesho 100000/=

Athari za magonjwa ya BACTERIA na utumiaji mbaya wa ANTIBIOTIC
Una ghalama kubwa kuyatibu baadae yanapojenga USUGU wa dawa
 
Wanawske wanaugua uti karibu wote maana asilimia kubwa ya wanawake siku hizi wanaliwa mbele na nyuma ss mtu anakula mbele akichoka anakula nyuma anaingiza wadudu kunako mbele. Huyu dem akitoka hapo ataenda liwa na mtu mwingine huyo mtu mwingine atakula mtu mwingine and the chain goes on kwa upande wa mdada wa kwanza. Huyu aliyekula mdada wa kwanza naye akitoka hapo anaenda mkula mwingine mdada mwingine analiwa na makaka mwingine and the chain keeps expanding.
Sasa hii matrix usidhani wako salama and wote lazima wapate uti. Fikiria wadsds 30 wamegawa tigo after a week lazima watu 1000 wana uti
 
We bwana mdogo
Nina chozungumza ni issue SERIOUS za AFYA za watu
wewe unatakiwa ujifunze na kubuni mbinu mbadala za kitabibu kupitia mrejeshi wawagonwa unaowatibu
achana na makaratasi ya darasani
UPO kwenye uharisia unatibu watu na hao watu wewe ndo wanakutegemea inapaswa uwe makini na kile unachowatibu na uzingatie wanachokurejeshea baada ya kuwatibu
7bu MAKOSA ya shilingi 1000/= unayoafanya leo
yakakughalimu kesho 100000/=

Athari za magonjwa ya BACTERIA na utumiaji mbaya wa ANTIBIOTIC
Una ghalama kubwa kuyatibu baadae yanapojenga USUGU wa dawa
Hakuna sehemu yeyote niliotaja antibiotics yeyote popote....

Nilikudharau tangu ulivyoanza kunishambulia mwanzoni

Ghafla nikaona unanitajia Mambo ya ceftriaxone na madharau kibao nikajua wale wale mliopata supplementary kipindi mko kwenye mavyuo yenu yasiojulikana kichwa wala miguu

In fact mimi nilichokuwa na kidefend ni kwamba mtoa mada nilitaka kumuelimisha ajue tofauti iliyopo Kati ya STI's pamoja na UTI alioitaja....

Kwahiyo suala kubwa lilikuwa ni kubadilisha mitazamo tofauti iliyopo ndani ya jamii husika hasa linapokuja suala la magonjwa yanayoathiri mifumo mbali mbali hasa ya mfumo mzima wa mkojo pamoja na mfumo mzima wa uzazi


Next time ukiona nacomment popote jiridhishe na uutaarishe ubongo wako vizuri

Done
 
Hakuna sehemu yeyote niliotaja antibiotics yeyote popote....

Nilikudharau tangu ulivyoanza kunishambulia mwanzoni

Ghafla nikaona unanitajia Mambo ya ceftriaxone na madharau kibao nikajua wale wale mliopata supplementary kipindi mko kwenye mavyuo yenu yasiojulikana kichwa wala miguu

In fact mimi nilichokuwa na kidefend ni kwamba mtoa mada nilitaka kumuelimisha ajue tofauti iliyopo Kati ya STI's pamoja na UTI alioitaja....

Kwahiyo suala kubwa lilikuwa ni kubadilisha mitazamo tofauti iliyopo ndani ya jamii husika hasa linapokuja suala la magonjwa yanayoathiri mifumo mbali mbali hasa ya mfumo mzima wa mkojo pamoja na mfumo mzima wa uzazi


Next time ukiona nacomment popote jiridhishe na uutaarishe ubongo wako vizuri

Done

ukicoment Pumba unaelezwa tu hususani swala linalohusu AFYA
Hii JAMII FORUM platform KUBWA sana watu wengi wanapata SOLUTION za matatizo yao ya KIAFYA kupitia COMMENTS zetu
Unapoongea ishu ambazo zipo katika uhalisia na wewe unacomment pumba unaambiwa tu
STI's na UTI ni kitu kina ushirikiano mfanano sana inahitaji umakini kumuelewesha mtu akuelewe utofauti uliopo ili achukue hatua za kujikinga na kupata tiba stahiki
Inaumiza moyo kuona PRIVATE HOSPITAL zinatumia U.T. I km mradi wa kuendesha HOSPTARI zao hiyo tabia ikomeshwe ipo hvyo
 
Back
Top Bottom