Ukweli kuhusu Mradi wa NSSF wa Dege Beach Kigamboni

Ukweli kuhusu Mradi wa NSSF wa Dege Beach Kigamboni

huyo mkurugenzi mpya atakuwa ni wale wenye PHD za kuunga unga,maana haingii akilini asijue hasa nini maana ya land equity,au usikute alikua mhandisi wa mabalabala,anachojua ni kutandaza lami tu
futa kauli....you can't talk about engineers like that
 
Mbona hamkutuambia mchakato mzima kabla mambo hayajaharibika unakuja na utetezi wako baada ya mambo kuwaendea kombo....


Awamu hii hakuna jiwe litakalobaki juu ya Jiwe lingine.... Kwa aina ya uandishi wako, urefu Wa utetezi wako inaonekana moja kwa moja wewe una mahusiano ya moja kwa moja na huo mradi.... Nakuomba utulie mkuu kama mradi wenu hauna fraud itajulikana tu ila kama unaujua ukweli kuwa mradi ulikuwa na upigaji nakuomba ujiandae kisaikolojia kuzoea maisha ya nyuma ya nondo.

Kama una banda LA kuku anza kuwa unalala walau Mara tatu kwa wiki ili uzoee shuruba za gerezani....
 
Yaani Azimuo hana hata mia. Maana hiyo 35% ya hela ya mtaji ambayo alitakiwa atoe,alitaka kuikopa NSSF yenyewe. Yaani at the end NSSF ingekuwa imejenga mradi wote kwa hela zake yenyewe halafu hao matapeli wangepewa 55% share ya mradi bila kutoa hata shilingi moja. Halafu watu wanateteta upuuzi hapa
mkuu sio utapeli ndo dunia ya biashara inavyoenda,watu wanachangia idea tu kwenye miradi na wanavuna mabilioni,
sasa huyu ana kianzio cha ardhi then hakuna sheria inayomzuia asikope katika Taasisi za kukopesha ili adumbukize hizo asilimia 35 za thamani ya mradi katika mradi,hata kama NSSF wangempa mkopo,hapo bado hajakiuka sheria maadamu NSSF pia wanakopesha,
biashara ziko hivyo,so ulitaka akaibe benk huyo azimio ili aje kuinvest?,
makampuni mengi huingia katika mradi bila senti na wanategemea kukopa,kwanini iwe ajabu kwa azimio ambae katoa ardhi na sasa anatafuta mkopo aongeze kwenye mradi,ukiulizwa kavunja sheria gani utajibu nini labda kwa mfano....
 
Utetezi wako ni mzuri sana Ikiwa tu valuation/appraisal ilifanywa kwa kuzingatia share contribution ya parties. Ila ikiwa kilichofanyika ni appraisal for NSSF assets for accounting purpose where market value is the basis, then utetezi wako unakuwa null and void.
Uliyosema ni kweli lakini ni land owner mpumb'avu tu ndie anaweza kukubali kuachia ardhi yake for real estate development basing land market value... no one can accept that especially kama land owner nae ni real estate developer cuz' anafahamu ni namna gani haya mambo yanafanyika! Mwenzangu mimi ndie anaweza kukubali kuachia ardhi under market value basis.

That's one but second, ile tu kusema kwamba (according to yesterday's info) Azimio wana-contribute ardhi as 20% of capital (Land for equity) tayari moja kwa moja hapo huwezi kuzungumzia land value based on market value! WHY? Kwa sababu kama thamani ya mradi mzima ni Sh.1000, hiyo 20% ni Sh. 200... which means ardhi husika itakuwa valued at Sh.200 bila kujali market value ni ipi!!!

Sasa kwavile Azimio wamepewa 20%.... tatizo la msingi ndo lipo hapa kwa sababu katika mazingira ya evaluation ya aina hii (na ngumu sana kuepukika especially when dealing with a fellow real estate developer anayejua huu ujanja), always land value will increase with the increase in project value and percentage ownership. The only solution is to minimize the percentage ownership as much as possible.
 
futa kauli....you can't talk about engineers like that
ha ha ha ha,kwani injinia ni nini mkuu,injinia ni fundi makanika tu,au fundi uashi,ama fundi mchundo aliyefundishwa darasani,yaani hata mhitimu wa la saba unaweza kumwelekeza bila kupitia darasani akawa injinia
 
ha ha ha ha,kwani injinia ni nini mkuu,injinia ni fundi makanika tu,au fundi uashi,ama fundi mchundo aliyefundishwa darasani,yaani hata mhitimu wa la saba unaweza kumwelekeza bila kupitia darasani akawa injinia
huna ulijualo kuhusu engineering mkuu ..ni heri ukae kimya kuliko kuendelea kutoa mashudu...utaaibika
 
Samvulachole unasound kama jamaa mmoja kitengo cha sheria pale nssf. Eco hakuwa na fedha kama ilivyokuwa Richmond. Luna foul zilizochezwa za upigaji. Unaweza usimhusu sana Day lakini kuna wajanja au mastermind wa hii michezo. Wengine ni wanasheria nguli nchini, wengi wamejianzishia viofisi vya consultant vya asset management portifolios etc
 
kumbe ni lecture huyu mtu?,ndo maana wahitimu wetu wanamaliza vyuo hawajui hata umombo,kwa malecture kama huyu,it means anajua kushika chaki na duster na si kuongoza shirika kubwa kama NSSF




Hivi Dau nae hajawahi kushika chaki pale shule ya biashara Udsm? wewe utakuwa sio mzima kichwani
 
kijana wa leo ngoja nikupe explanation for dumb ,

imagine wewe una kiwanja cha heka moja hapo kibaha ambacho tusema thamani yake waweza muuzia mtu kwa milion 10,

wanakuja wawekezaji wanataka kuweka mradi wa kujenga maghorofa ya kupangisha na wanataka wakupe milion 10 uwaachie kiwanja,
unapiga hesabu ya mradi utakaowekwa hapo na kuona utakuwa na thamani ya bilion 100,unaona kuuza kiwanja kwa milion 10 utakuwa umewapa watu ulaji,
unakataa kuuza,wanakubembeleza hatmaye unakubali kuingia nao ubia na mnapanga katika mradi huo upewe hisa 20%,ambayo kama sikosei ni thamani kama milion 200.

Kumbuka mwanzo thamani halisi ya hiyo heka yako moja ni sh milion 10,
lakini kwasababu umeingia mkataba wa land for equit sasa thamani yako katika mradi huo ni milioni 200.

Ndicho kilichotokea,halafu watu wanatumia umbumbu wa watu kutojua haya mambo kwa kuwapaka watu matope kuwa kuna ufisadi,
sasa swali ukipeleka mahakamani hii kesi utashinda au ndo yaleyale ya Dowans
Elungata tutolee hizi justification za wizi, hakuna mwekezaje mwenye akili timamu anayeweza kukubali kiwanja cha 10m kiwe valued 400m (au 25m iwe 800m), hiyo ni zaidi ya 30 ya thamani ya soko, huu ni utapeli wa wazi.
Tukichukua 775m iliyoliwa kwa kila acre, kwa acres 20,000 ni ela nyingi sana
775m * 20,000 = 15tr

Tukisema tuchukue acre 3000 tu ni
775m * 3000 = 2.3tr

Nyie watu mnafaa kunyongwa, yaani mnataka kupiga 2.3tr kwa makaratasi tu, hata tukiunganisha Richmond, Escrow na takataka nyingine inaweza isifike 2.3tr, Magu lazima azae na nyie, muandae ndoo tu za kwenda nazo.

Bado na hamu ya kujua mmiliki wa Azimio housing ni nani? Nani ana guts za kutaka kulitapeli shirika pesa nyingi hivi?
 
hapa mimi nilitaka kujua mambo mawili tuu,inakuaje huyu Mkurugenzi mpya aikatae report ya CAG,yaani wakati wa utawala wa madudu awamu ya nne trusted entity it was CAG office pia mbona hatuoni maoni au complain ya AG kuhusu huu mkataba mkubwa..!!
 
CAG nae no binadamu anaweza kuwa manipulated. Akachakachua ripoti. Waandishi na wabunge walifadhiliwa sana na Mikopo bila ribs ya nssf
 
Elungata tutolee hizi justification za wizi, hakuna mwekezaje mwenye akili timamu anayeweza kukubali kiwanja cha 10m kiwe valued 400m (au 25m iwe 800m), hiyo ni zaidi ya 30 ya thamani ya soko, huu ni utapeli wa wazi.
Tukichukua 775m iliyoliwa kwa kila acre, kwa acres 20,000 ni ela nyingi sana
775m * 20,000 = 15tr

Tukisema tuchukue acre 3000 tu ni
775m * 3000 = 2.3tr

Nyie watu mnafaa kunyongwa, yaani mnataka kupiga 2.3tr kwa makaratasi tu, hata tukiunganisha Richmond, Escrow na takataka nyingine inaweza isifike 2.3tr, Magu lazima azae na nyie, muandae ndoo tu za kwenda nazo.

Bado na hamu ya kujua mmiliki wa Azimio housing ni nani? Nani ana guts za kutaka kulitapeli shirika pesa nyingi hivi?
Naona taratibu tunaanza kumuelewa Mzee Vijisenti.
Tunaweza kukubaliana naye kwa sababu yeye alikubali 'kuiba' lakini akatanabaisha kuwa $1m ni vijisenti na sasa ndio tunaanza kuwajua aliokuwa anaongelea ni akina nani!
Hebu fikiria, eti aliyekuwa waziri wa ujenzi Kiula alifungwa jela kwa kusababisha hasara ya 25,000,000/- (milioni ishirini na tano) na leo walionyang'anya trillion 15 kwenye mradi mmoja tu wanatesa mitaani na kupewa vyeo!
 
CAG aliposema NSSF IS CLEAN alimaanisha nini na kama CAG report hiwezi kuaminika tena tumuamini nani tena , wakati bajeti yake ukaguzi ilikuwa 79b mwaka jana ikashuka hadi 40 mwaka huu sio haba hizo ni pesa nyingi sana kwa watanzania
It is not the responsibility of the auditor to detect flaud, it's of management
 
Nakuuliza mleta thread. Market value ya hiyo ardhi iliyoripotiwa kwenye books of accounts za NSSF ni ngapi? Pia kasome what is market value, share value, investment value, na potential value and. How they are used. Usidandie tu Real Estate bila kujua ina maaanisha nini.
Hapa hapa sasa mpaka CAG anafikia kusema everything is ok..!!where did he get the mandatory to say so while kunamapungufu ya kutiashaka,au unataka kutuambia kuwa kunamahala CAG haruhusiwi kukagua??
 
CAG aliposema NSSF IS CLEAN alimaanisha nini na kama CAG report hiwezi kuaminika tena tumuamini nani tena , wakati bajeti yake ukaguzi ilikuwa 79b mwaka jana ikashuka hadi 40 mwaka huu sio haba hizo ni pesa nyingi sana kwa watanzania

Kwanza ieleweke kwamba kwenye ukaguzi hakuna opinion kama CLEAN unless kama ni opinion mpya ambayo ameiibua CAG. kwa hiyo issue ya CAG alisema NSSF IS CLEAN hiyo ni porojo, kapitie ripoti yake tena, vinginevyo utuletee ushahidi wa kwamba CAG kasema NSSF IS CLEAN
 
Back
Top Bottom