Ukweli kuhusu sakata la Bandari na mkataba mbovu; Wananchi wamewaelewa CHADEMA kuliko CCM. Kila kona wananchi wanasema Mama anauza Tanganyika

Wewe utakuwa shoqer
 
Kumbuka kuwa wanaoitakia Tanzania mema wote tupo na mama Samia Suluhu.

Wale mnaompinga tupingane kiheshima bila kutukana. Kwa matusi yenu hamuitakii mema JF wala wenye JF.
Peleka uajuza wako lumumba m.fuvck.
 
Kumbuka kuwa wanaoitakia Tanzania mema wote tupo na mama Samia Suluhu.

Wale mnaompinga tupingane kiheshima bila kutukana. Kwa matusi yenu hamuitakii mema JF wala wenye JF.
Wapi hapo nimetukana au ule udini na ujinga wako unakusumbua ? kusema hatumtaki ni tusi? jinga sn wewe
 
Asantee
 
Wapi hapo nimetukana au ule udini na ujinga wako unakusumbua ? kusema hatumtaki ni tusi? jinga sn wewe
Kuna sehemu nimekutaja wewe kuwa umetukana? Pitia uzi huu halafu useme hakuna post zilizo tukana.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Wewe uliamini hayo maneno? Sijawahi kuamini maneno ya kijinga mie
Kama gas ni yetu kwa nini tumeshindwa kui utilize kwa matumizi yetu muhimu yanayohitaji nishati kubwa kama kuzalisha umeme?
 
Kama gas ni yetu kwa nini tumeshindwa kui utilize kwa matumizi yetu muhimu yanayohitaji nishati kubwa kama kuzalisha umeme?
Kinyerezi 1, 2 na 3 zinatumia nini kuzalisha umeme?
 
Kinyerezi 1, 2 na 3 zinatumia nini kuzalisha umeme?
Si nafuu, na hazikidhi mahitaji yetu hasa viwanda. Ndio tukakimbizwa kwenye maji.
Yaani we are buying our own resource
 
Hilo halina ubishi ndio maama wamehamia kwenye matumizi ya mitutu.

Kwnye hoja chaliii!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…