Natumaini u buheri wa afya.
Kumekuwa na mijadala mingi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uchezaji wa Simba. Ukweli ni kwamba baada ya Simba kujitathimini kwa muda mrefu imeamua kubadili falsafa yake ya kupiga pasi nyingi za nyuma na madoido yasiyokuwa na tija.
Tathimini ilionesha ili timu ifike mbali kwenye mashindano ya Afrika inapaswa ianze kucheza direct football. Mpango huu siyo mpya na haukuanzia kwa mwalimu Robertinho, umeanza kwa kumleta mwalimu Pablo Franco Martin na Zoran na sasa Robertinho.
Kutokana na kikosi kilichokuwepo kabla ya kuja Pablo, Zoran na Robertinho baadhi walionekana hawaendani na direct football hasa kufanya pressing mfano Phiri na Chama ambao wote hawakupendwa na Zoran na hata Robertinho.
Mpango uliofuata ni kuanza kuleta wachezaji wenye vimo virefu. Inonga na Sadio K na sasa Fabrice. Kabla ya hapo timu ilicheza vizuri pira biriani lakini inaambulia kupigwa goli 5 goli 4 kwenye Champions League na bila shaka kwa misimu hii miwili iliyopita kuna unafuu unaonekana timu imetolewa kwa mikwaju ya penalti.
Timu nyingi zinazocheza mpira wa kufurahishana hazina chao Afrika mfano Mamelody na Belouzdad. Kwa wale wanaosema Simba mbovu mara timu haipigi pira biriani wasahau labda kama itakuwa ni njia ya kupoteza muda baada ya kushinda goli nyingi.
Kumekuwa na mijadala mingi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uchezaji wa Simba. Ukweli ni kwamba baada ya Simba kujitathimini kwa muda mrefu imeamua kubadili falsafa yake ya kupiga pasi nyingi za nyuma na madoido yasiyokuwa na tija.
Tathimini ilionesha ili timu ifike mbali kwenye mashindano ya Afrika inapaswa ianze kucheza direct football. Mpango huu siyo mpya na haukuanzia kwa mwalimu Robertinho, umeanza kwa kumleta mwalimu Pablo Franco Martin na Zoran na sasa Robertinho.
Kutokana na kikosi kilichokuwepo kabla ya kuja Pablo, Zoran na Robertinho baadhi walionekana hawaendani na direct football hasa kufanya pressing mfano Phiri na Chama ambao wote hawakupendwa na Zoran na hata Robertinho.
Mpango uliofuata ni kuanza kuleta wachezaji wenye vimo virefu. Inonga na Sadio K na sasa Fabrice. Kabla ya hapo timu ilicheza vizuri pira biriani lakini inaambulia kupigwa goli 5 goli 4 kwenye Champions League na bila shaka kwa misimu hii miwili iliyopita kuna unafuu unaonekana timu imetolewa kwa mikwaju ya penalti.
Timu nyingi zinazocheza mpira wa kufurahishana hazina chao Afrika mfano Mamelody na Belouzdad. Kwa wale wanaosema Simba mbovu mara timu haipigi pira biriani wasahau labda kama itakuwa ni njia ya kupoteza muda baada ya kushinda goli nyingi.