Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Kwenye mechi hizo ulizotaja nani alikuja kushinda baadaye,kweli super churaMtego kwa dakika zote 90?? Inapotokea time haichez mpira uliotegemewa, hata kama ni shabiki lialia wa Simba, kubali tu mapungufu na uamini kuna siku mtayarekebisha.
Singida FG alikukalia kooni MECHI NZIMA, Yanga nae hivyo hivyo, au ndo ulikuwa UNAWATEGA? Acha visingizio vya kitoto mkuu.