Ukweli kuhusu Simba Sports Club

Ukweli kuhusu Simba Sports Club

Mtego kwa dakika zote 90?? Inapotokea time haichez mpira uliotegemewa, hata kama ni shabiki lialia wa Simba, kubali tu mapungufu na uamini kuna siku mtayarekebisha.

Singida FG alikukalia kooni MECHI NZIMA, Yanga nae hivyo hivyo, au ndo ulikuwa UNAWATEGA? Acha visingizio vya kitoto mkuu.
Kwenye mechi hizo ulizotaja nani alikuja kushinda baadaye,kweli super chura
 
Jiulize hizo zilizoizidi zilishinda? Na kama hazikushinda ujue ndo mbovu zaidi

Hazikushinda. Je, Simba nae alishinda within hizo dakika 180..?? Au kwa lugha nyepesi tuseme WOTE WABOVU…?? Kama utasema walishinda kwa sababu ya zile penalti, sidhani kma ni matarajio ya timu kubwa kma Simba kusubiri penalti.
 
Mtego kivipi? Kuna direct football na poor performance. Kama timu inazidiwa hadi mashambulizi direct football gani hiyo muda wote watu langoni kwako tu?
Morinho alipokuwa Chelsea alichukua makombe kwa kupaki basi ,na mda wote wanashambuliwa mara anafanya counter na goli halirudi,vile vile Huwa unaangalia mechi za Atletico Madrid?
 
Morinho alipokuwa Chelsea alichukua makombe kwa kupaki basi ,na mda wote wanashambuliwa mara anafanya counter na goli halirudi,vile vile Huwa unaangalia mechi za Atletico Madrid?
Kama ndio mbinu inayolipa kwanini Atletico hawana mafanikio katika mashindano ya ndani na ya kimataifa? Kwanini hiyo mbinu Morrinho haimpi mafanikio kama ndio mbinu bora au Morrinho kastafu ukocha baada ya kutoka Chelsea? Tumeona timu zinazocheza falsafa ya total football ndio zikipata mafanikio kuliko wapaki treni. Mpira ni mchezo wa makosa, kuruhusu kushambuliwa kwa sana kunakukufanya kulazimishwa kufanya makosa. Al Ahly wametawala soka la Africa, je kutawala kwao kumetokana mpira wa kupaki basi?
 
Kama ndio mbinu inayolipa kwanini Atletico hawana mafanikio katika mashindano ya ndani na ya kimataifa? Kwanini hiyo mbinu Morrinho haimpi mafanikio kama ndio mbinu bora au Morrinho kastafu ukocha baada ya kutoka Chelsea? Tumeona timu zinazocheza falsafa ya total football ndio zikipata mafanikio kuliko wapaki treni. Mpira ni mchezo wa makosa, kuruhusu kushambuliwa kwa sana kunakukufanya kulazimishwa kufanya makosa. Al Ahly wametawala soka la Africa, je kutawala kwao kumetokana mpira wa kupaki basi?
Kila mechi ina mbinu zake,unaposema Morihno na Simeone hawana mafanikio unadhani kuchukua ubingwa EPL ni kitu rahisi,pia Atletico washachukua makombe ila inatokea ukicheza mfumo flani kuna kipindi timu zingine zitakuzoea na kujua madhaifu,mechi ya Marudio club bingwa mamelodi vs Wydad bila shaka uliangalia, aliyemiliki sana ndo alipigwa.

We unataka Simba icheze ule mfumo waliocheza na Raja Casablanca ?mnamiliki mpira mda wote lakini mnapigwa
 
Kipindi cha Nabi Yanga waliridhika na mpira wa pasi nyingi maana ulikuwa unawapa matokeo kwenye ligi ya ndani ingawa mara nyingi ushindi ni wa goli 1 au zikizidi 2. Haya matamanio ya kutaka kucheza mpira wa kasi yamekuja baada ya Robertinho na kuona jinsi gani Simba inautumia mfumo huo hasa kimataifa kupata matokeo.

Kama unabisha nionyeshe mtu wa Yanga aliyewahi kuongelea habari za mpira wa kasi au direct football kabla Robetinho hajaja.
Wakati mwingine kama hamna vya kuzungumza ni bora mkapiga kimya. Mnaongea uongo mnadhani wote ni makolo kolo tu. Yan eti ujio Robertinho ndio amesababisha tuupende mpira wa kasi🤣🤣🤣

Kati ya huyo Robertinho na Nabi nani alitangulia kuja TZ? Kabla ya Mbrazil kuja Yanga ilikua inachezaje?
 
Hapo unatoa mfano wa timu moja kama ndio reference wakati Simba imecheza dhidi ya timu tofauti tofauti kama vile Raja, Wydad. Au uo mfumo unafanya kazi kwa timu vibonde pekee? Tuambie huo mpira wa kasi uliochezwa kwenye mechi kubwa dhidi ya Raja na Wydad.
Ulifanya kazi pia na Waydad, Yanga au hukuangalia?
 
Hili neno "kubutua butua" huwa silikubali maana ni kama chaka la kutaka kusema mpira wa hovyo. Mpira wa kasi siku hizi maana yake lazima utumie pasi ndefu mara kwa mara (hizo mnazoita butua butua) ili ufike final third ya timu pinzani kwa haraka. Mapungufu kwa Simba yalikuwepo kwenye usahihi wa hizo pasi ndefu zinazopigwa, mara nyingi zimekuwa za kugombea 50/50 au zikiwafikia kina Kibu na Saidoo wanazipoteza haraka.

Mpira wa anao anao wa akina Lunyamila haupo sana siku hizi ndiyo maana kuna siku niliwahi kutania kuhusu goli la Mayele alilowafunga Marumo. Kama bado unamfuatilia Mayele, angalia kama ataendelea kufunga magoli ya aina ile huko Pyramids.
Mpira wa anao anao sio mbaya,ila una elekea wapi mf Messi na Bernado ni wachezaji ambao wanao wanao sana ila output yao siku zote inakuwa ni nzuri,mfano mwengine Kibu, Gervinho wa Arsenal nk nao wanao wanao sana ila output yao inakuwa ni mbovu.

Mayele ataendelea kufunga magoli ya aina yote kuanzia solo goal mpaka ya kutengewa.
 
Muda utazidi kuniprove right. Utafika muda huu uzi watu wataukimbia
 
Mtego kwa dakika zote 90?? Inapotokea time haichez mpira uliotegemewa, hata kama ni shabiki lialia wa Simba, kubali tu mapungufu na uamini kuna siku mtayarekebisha.

Singida FG alikukalia kooni MECHI NZIMA, Yanga nae hivyo hivyo, au ndo ulikuwa UNAWATEGA? Acha visingizio vya kitoto mkuu.
Mwisho wa siku nani alinufaika na matokeo?
 
Mpira wa anao anao sio mbaya,ila una elekea wapi mf Messi na Bernado ni wachezaji ambao wanao wanao sana ila output yao siku zote inakuwa ni nzuri,mfano mwengine Kibu, Gervinho wa Arsenal nk nao wanao wanao sana ila output yao inakuwa ni mbovu.

Mayele ataendelea kufunga magoli ya aina yote kuanzia solo goal mpaka ya kutengewa.
Vipi bado mnaamini Mayele ataendelea kufunga magoli ya aina zote kama ulivyosema hapa?
 
Bado ni mzuri kwangu na atafunga akiacha ujinga wake wa kuhisi katupiwa vitu vya kushirikiana.
Nilikwambia huyo Mayele pamoja na uzuri wake ni mfumo ulioundwa pale Yanga ndiyo ulikuwa unambeba, mfumo uliokuwa tayari kumvumilia hata akipoteza nafasi 5 akafunga ya 6, mfumo hata akicheza mechi 4 bila kufunga mnaona siyo dili ila akienda timu nyingine atapata tabu.

Inaonyesha ameona dalili za kuachwa na Pyramids na labda kuna kipengele katika makubaliano kinachoipa Yanga upendeleo wa kwanza kabla ya timu nyingine iwapo Pyramids wataamua kumuacha na yeye labda hataki kurudi Yanga. Kwa hiyo anajenga mazingira ya kusema pale siyo sehemu salama kwangu.
 
Nilikwambia huyo Mayele pamoja na uzuri wake ni mfumo ulioundwa pale Yanga ndiyo ulikuwa unambeba, mfumo uliokuwa tayari kumvumilia hata akipoteza nafasi 5 akafunga ya 6, mfumo hata akicheza mechi 4 bila kufunga mnaona siyo dili ila akienda timu nyingine atapata tabu.

Inaonyesha ameona dalili za kuachwa na Pyramids na labda kuna kipengele katika makubaliano kinachoipa Yanga upendeleo wa kwanza kabla ya timu nyingine iwapo Pyramids wataamua kumuacha na yeye labda hataki kurudi Yanga. Kwa hiyo anajenga mazingira ya kusema pale siyo sehemu salama kwangu.
Mayele ni mzuri kudrop kawaida,toka huko alipo toka alikuwa anafunga,kaja Yanga misimu miwili plus Confederation Tores,Shevchenko walivyo drop Chelsea hawa kung'ara sehemu yoyote ila haiondoi umahili wao.Mayele kwangu bado ni mzuri sema tu yy mwenyewe kaamua kijivuruga kwa mawazo ya kijinga.
 
Unaniuliza mimi au niwaulize nyie mliofanya replacement ya Robertinho kutokana na aina yake ya mpira.
Nilichokisema ni kwamba Simba imeachana na mpira wa kujifurahisha na kuelekea kwenye mpira was malengo toka imlete Pablo na waliomfuata watu wakadhani namtetea Robertinho
 
Mayele ni mzuri kudrop kawaida,toka huko alipo toka alikuwa anafunga,kaja Yanga misimu miwili plus Confederation Tores,Shevchenko walivyo drop Chelsea hawa kung'ara sehemu yoyote ila haiondoi umahili wao.Mayele kwangu bado ni mzuri sema tu yy mwenyewe kaamua kijivuruga kwa mawazo ya kijinga.
Bado upo kwenye hali ya kutokubaliana na hali ila kiufupi Mayele anahitaji mfumo unaoweza kuwa tayari kumvumilia na kumpa playtime ya kutosha bila kujali mchango wake uwanjani. Mayele siyo mchezaji wa kumpa dakika 10 halafu akupe matokeo kama ambavyo wamekuwa wanampa kwenye AFCON, hizo dakika 10 kama mfumo siyo sahihi kwake anaweza kugusa mpira mara moja tu.

Jiandae kisaikolojia maana dirisha lijalo unaweza kumkuta Azam FC ila afadhali mtakuwa mnashare kiwanja kimoja.
 
Back
Top Bottom