Ukweli kuhusu uchaguzi wa mwaka 2020 Jinsi Hayati Magufuli alivyouvuruga

Ukweli kuhusu uchaguzi wa mwaka 2020 Jinsi Hayati Magufuli alivyouvuruga

Hapa ndipo unapogundua kuwa watanzania ni wajinga kupita kiasi.

Hivi mna akili kweli nyie.

Tuseme tumekubali Magi aliiba kura, Kwa maana hiyo bila kufanya hivyo asingeshinda hivyo huyu mnaemsifia kuwa kawaoko asingekuwepo si ndio?

Mtu anaepobda wizi wa kura na kururahia hangaya kuwepo madarakani anahitaji msaada wa daktari.

Badala mzungumzie uuzwaji wa nchi mko busy kumjadili marehemu ambaye kama angekuwepo huu upuuzi wa kuuza bandari usingekuwepo
Huku umepotea njia bwashee, mbona thread za mambo ya uuzwaji bandari zimejaa hapa jukwaa la siasa?

Si kila mtu anataka kujiumiza nafsi muda wote, hapa unajifanya una uchungu wakati juzi tu umetoka kwenye parade la ubingwa wa Yanga, hivi kwa nini wungi ule msingeutumia kuandamana mpaka ikulu?

Mimi sipendi ujinga ujinga, na mimi na angalia namna ya kulamba asali sina muda wa kuendelea kujiumiza nafsi kwa ajili ya watu wajinga.
 
Tunaojuwa ukweli wa mambo ndio maana tumechaguwa kukaa kimya, huyu mama ametutowa jehenamu.

Haya mambo ya bandari tuweke kando kwanza lakini watu waelewe vizuri alipotutowa huyu mama.
Shindwa pepo, aliyekutuma nae ashindwe, nyie wote ni mawakala wa shetani.

Ametutoa jehanamu wakati ndio kwanza katufikisha utumwani Dubai?!
 
Wapinzani amkeni mnapotaka kupambana na Ccm muijuwe vizuri nguvu ya Ccm IPO kwa wakurugenzi na maafisa watendaji Kata, nje ya hapo Ccm ni kifo cha mende chaliii.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
Niliitwa na kupewa maelekezo kuwa nimpige pingamizi mgombea udiwani mwenzangu wa CHADEMA ili atolewe na kisha nibaki mimi na wa CCM, nilikataa ila walimpiga pingamizi wenyewe, Mungu ni mwema jamaa akalijibu pingamizi na jina likarudi - aligombea.

Ushetani ukafanyika wakati wa kupokea vifaa, wagombea wa vyama ni lazima tuwepo lakini hatukuitwa, vikapokelewa kinyemela, havikukaguliwa nasi.

Asubuhi mawakala wakazuiwa kuingia kwenye chumba cha kupigia kura, maboksi yakaingia na kura feki ndani. Mimi nilikuwa na wakala mmoja tu, aingie kituo 1 lakini nae alinyimwa barua.

Nilipanga kufungua kesi ya uchaguzi lakini nchi nzima ilipararaizi kwa kujua hata hukumu zitakuwaje, yaani tutapoteza muda tu mahakamani. Sheria yenyewe ya uchaguzi ni katili, inataka ili ufungue kesi uweke SECURITY ya shilingi laki 5, hii tayari ni uminyaji wa haki, kesi za uchaguzi zinatakiwa kuwa bure kabisa hata filing fee inatakiwa kuondolewa. Mgombea wa CCM alishinda uchaguzi kwa kupata kura 1500 hivi, akifuatiwa na wa CHADEMA Aliyepata kura 700 hivi mimi nilipata kura 120 hivi. Idadi wa waliojiandijisha kupiga kura ni 12,000
 
Huku umepotea njia bwashee, mbona thread za mambo ya uuzwaji bandari zimejaa hapa jukwaa la siasa?

Si kila mtu anataka kujiumiza nafsi muda wote, hapa unajifanya una uchungu wakati juzi tu umetoka kwenye parade la ubingwa wa Yanga, hivi kwa nini wungi ule msingeutumia kuandamana mpaka ikulu?

Mimi sipendi ujinga ujinga, na mimi na angalia namna ya kulamba asali sina muda wa kuendelea kujiumiza nafsi kwa ajili ya watu wajinga.
Ajabu liachwa kujadiliwa jambo present linalotuumiza wabara kwa sasa, utupeleke kwenye uchafuzi wa 2020 uliomuweka pia madarakani huyu mama yako msaliti aliyetupeleka utumwani Dubai, halafu ajabu zaidi, unasema huyu mama amekuja kututoa jehanamu?!

Wewe kumbe ni mpuuzi sana, umepelekwa utumwani Dubai juzi tu, leo unasema umetolewa jehanamu!.
 
Niliitwa na kupewa maelekezo kuwa nimpige pingamizi mgombea udiwani mwenzangu wa CHADEMA ili atolewe na kisha nibaki mimi na wa CCM, nilikataa ila walimpiga pingamizi wenyewe, Mungu ni mwema jamaa akalijibu pingamizi na jina likarudi - aligombea.

Ushetani ukafanyika wakati wa kupokea vifaa, wagombea wa vyama ni lazima tuwepo lakini hatukuitwa, vikapokelewa kinyemela, havikukaguliwa nasi.

Asubuhi mawakala wakazuiwa kuingia kwenye chumba cha kupigia kura, maboksi yakaingia na kura feki ndani. Mimi nilikuwa na wakala mmoja tu, aingie kituo 1 lakini nae alinyimwa barua.

Nilipanga kufungua kesi ya uchaguzi lakini nchi nzima ilipararaizi kwa kujua hata hukumu zitakuwaje, yaani tutapoteza muda tu mahakamani. Sheria yenyewe ya uchaguzi ni katili, inataka ili ufungue kesi uweke SECURITY ya shilingi laki 5, hii tayari ni uminyaji wa haki, kesi za uchaguzi zinatakiwa kuwa bure kabisa hata filing fee inatakiwa kuondolewa. Mgombea wa CCM alishinda uchaguzi kwa kupata kura 1500 hivi, akifuatiwa na wa CHADEMA Aliyepata kura 700 hivi mimi nilipata kura 120 hivi. Idadi wa waliojiandijisha kupiga kura ni 12,000
Hapo mgombea wa Chadema alishinda.

Yani maana yake mchakato wa kupenyeza kura feki ulikuwa mgumu au Mtendaji akiamuwa kumtosa, kuna madiwani hawaivi na watendaji, Mtendaji anajuwa yuko radhi ashinde mpinzani kuliko mgombea wa Ccm.
 
Kumekuwa na shutuma nyingi sana za kumshutumu Magufuli kuvuruga uchaguzi wa mwaka 2020 lakini watowa lawama wote ukiwauliza alivurugaje au aliiba vipi kura hakuna atakayekupa jibu.

Sasa leo nimewiwa kuwaondowa gizani, kama mtakakumbuka Magufuli aliwaita maafisa watendaji wote wa Kata Tanzania nzima ikulu Dar, hili halijawahi kutokea katika historia ya Tanzania.

Mkutano huo ulirushwa mubashara lakini baadaye muda wa kuwapa mikakati na malengo ya kuitwa kwao matangazo mubashara yalikatwa na kichinjio cha upinzani ndio kilifanyika pale.

Alichofanya Magufuli ni kila Afisa Mtendaji Kata alipewa Amri ni lazima ahakikishe kuna kura 3000 kwenye Kata yake za Diwani, mbunge na Rais za Ccm, halafu maigizo ya uchaguzi ndio yaendelee kama kama kawaida.

Sasa jiulize katika hali ya kawaida madiwani wanaogombea Kata, mwenzao wa Ccm tayari ana kura 3000 unamshinda vipi?

Ukija kwa mbunge, kila Kata kwenye jimbo ana mtaji wa kura 3000 halafu ndio mshindane kwa kura halali unashindaje?

Ukija kwa Rais hapo ndio kufuru, kila Kata Tanzania nzima ana kura 3000 za wizi na bado wizi wa majumuisho je unamshinda vipi?

Hakika Magufuli hakuwa wakala wa shetani tu Bali ndio shetani mwenyewe.

Hizi siyo ngonjera Bali ni taarifa sahihi live bila chenga, wagombea wote wa upinzani wakitaka kujuwa matokeo halisi je walishinda au walishindwa kweli, kwa udiwani towa kura 3000 za Ccm, zinazobaki ndio kura mlizopigiwa, na kwa ubunge kila Kata jimbo zima towa kura 3000 zitazobaki ndio matokeo yenu halisi, ila kwa Urais ni rahisi sana kuiba uchaguzi loop hole ni nyingi sana hata mama Samia ni mitano tena anashinda SAA mbili asubuhi tu mark my words regardless kelele zote za kuuza nchi, labda Jeshi liingilie na kwa Tanzania wanajeshi na wanasiasa wote wana maisha mazuri wanatembelea V8 hilo tusahau.

Najuwa wapo watakaohoji mbona kuna wapinzani wachache walishinda? Jibu ni kwamba huo ni mkakati maalum wa kuhadaa umma na dunia, na sehemu nyingine kama mgombea wa ubunge wa Ccm hakuwa na mahusiano mazuri na Mkurugenzi alitoswa wizi haukufanyika, au kama mgombea udiwani hakuwa na mahusiano mazuri na Afisa Mtendaji Kata pia alitoswa wizi haukufanyika hii ndio sababu ukiona kuna sehemu wapinzani wachache walitangazwa washindi, wapo wakurugenzi waliukataa ushetani wa Magufuli.

Wapinzani amkeni mnapotaka kupambana na Ccm muijuwe vizuri nguvu ya Ccm IPO kwa wakurugenzi na maafisa watendaji Kata, nje ya hapo Ccm ni kifo cha mende chaliii.

Cc: Pascal Mayalla hii ni Bona fide genuine.
Yaani wewe akili yako ndogo sana kura 3000 kata nyingine zina watu hata 1500 hawafiki unakuwaje na kura 3000. Haya basi leta evidence zinazo onyesha hayo matokeo kwasababu automatically unamaanisha kuna maeneo ambako kura zilizidi idadi ya wapiga kura wa eneo hilo. Acheni ujinga wapinzani walipigwa kipigo cha umbwa mwizi. Watanzania wana akili wanataka matokeo ya utekelezaji wa changamoto za wananchi. Na Magufuli aliweza sana kwenye hili.

Kura hazitolewi kwa wezi, walevi na wadangaji.

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
Hukumbuki hata mama yako msaliti alliwahi kusema akiwa Mbeya kwenye kampeni, hata tukipigia kura upinzani, ushindi watapewa CCM?

Huyo ndie amekuja kukutoa jehanamu?

Katafute akili ulipoziacha.
 
Tunaojuwa ukweli wa mambo ndio maana tumechaguwa kukaa kimya, huyu mama ametutowa jehenamu.

Haya mambo ya bandari tuweke kando kwanza lakini watu waelewe vizuri alipotutowa huyu mama.
HuYo bitozo baya si alikuwa mgombea, na alijua kila kitu na alishasema yeye na Magufuli ni kitu kimoja na kazi iendelee
 
Kuna kitu huwa hakizungumzwi, huenda it's no More classified Sasa, Wacha nikiseme tu. Walimu na baadhi ya watu walifungiwa kwenye vyuo vya ualimu, vyuo vya kawaida na baadhi ya kumbi ambazo ziliteuliwa Kwa KAZI hio tu na KAZI kubwa ilikua ni kuweka tick kwenye kura hizo.
Walikua hawaruhusiwi kuingia na simu, walikuta Kila kitu kimeandaliwa including chai, chakula na hizo kura feki. Hizi ndio zile baadhi zilikamatwa Kawe na kwingine.

Wakisoma hapa watashangaa tungejuaje ila tulijua tukakaa kimya, baadhi ya hizo stations ilikua ni korogwe, shinyanga na ukumbi wa Baraza la mitihani..... Kwa uchache.
Any evidence to justify your argument. Wote hapa mnaongea kwa hisia tu nothing anymore. Kama ambavyo wote wa naongea kwa hisia wote mnaongea kwa hisia hisia tu hakuna mwenye ushahidi.

Lakini kama kura ziliibwa si mngeenda mahakamani kudai na kujustify?? Wapinzani hawa hawa kweli washindwe kwenda mahakamani and they have evidences it can't be. Utapeli tu wa kisiasa mnaeneza

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
Idiot, post ya kijinga. CCM hatujawahi kuiba kura, huwa tunapita kimtelezo na wananchi wanatukubali kwa 100%. Wapinzani uchwara tafuteni mbinu nyingine na visingizio. Naona mnaanza kutapa tapa baada ya kuona rais Dkt Samia anaelekea kuwagalagaza kwenye uchaguzi 2025.
Wananchi wanatukabali hutaki Katiba Mpya, Wananchi wanatukubali hutaki Tume ya Uchaguzi iundwe upya. NONSENSE.
 
Ajabu liachwa kujadiliwa jambo present linalotuumiza wabara kwa sasa, utupeleke kwenye uchafuzi wa 2020 uliomuweka pia madarakani huyu mama yako msaliti aliyetupeleka utumwani Dubai, halafu ajabu zaidi, unasema huyu mama amekuja kututoa jehanamu?!

Wewe kumbe ni mpuuzi sana, umepelekwa utumwani Dubai juzi tu, leo unasema umetolewa jehanamu!.
Mama Samia mitano tena, mpaka mpate akili.
 
Back
Top Bottom