Ukweli kuhusu uchaguzi wa mwaka 2020 Jinsi Hayati Magufuli alivyouvuruga

Ukweli kuhusu uchaguzi wa mwaka 2020 Jinsi Hayati Magufuli alivyouvuruga

Kumekuwa na shutuma nyingi sana za kumshutumu Magufuli kuvuruga uchaguzi wa mwaka 2020 lakini watowa lawama wote ukiwauliza alivurugaje au aliiba vipi kura hakuna atakayekupa jibu.

Sasa leo nimewiwa kuwaondowa gizani, kama mtakakumbuka Magufuli aliwaita maafisa watendaji wote wa Kata Tanzania nzima ikulu Dar, hili halijawahi kutokea katika historia ya Tanzania.

Mkutano huo ulirushwa mubashara lakini baadaye muda wa kuwapa mikakati na malengo ya kuitwa kwao matangazo mubashara yalikatwa na kichinjio cha upinzani ndio kilifanyika pale.

Alichofanya Magufuli ni kila Afisa Mtendaji Kata alipewa Amri ni lazima ahakikishe kuna kura 3000 kwenye Kata yake za Diwani, mbunge na Rais za Ccm, halafu maigizo ya uchaguzi ndio yaendelee kama kama kawaida.

Sasa jiulize katika hali ya kawaida madiwani wanaogombea Kata, mwenzao wa Ccm tayari ana kura 3000 unamshinda vipi?

Ukija kwa mbunge, kila Kata kwenye jimbo ana mtaji wa kura 3000 halafu ndio mshindane kwa kura halali unashindaje?

Ukija kwa Rais hapo ndio kufuru, kila Kata Tanzania nzima ana kura 3000 za wizi na bado wizi wa majumuisho je unamshinda vipi?

Hakika Magufuli hakuwa wakala wa shetani tu Bali ndio shetani mwenyewe.

Hizi siyo ngonjera Bali ni taarifa sahihi live bila chenga, wagombea wote wa upinzani wakitaka kujuwa matokeo halisi je walishinda au walishindwa kweli, kwa udiwani towa kura 3000 za CCM, zinazobaki ndio kura mlizopigiwa, na kwa ubunge kila Kata jimbo zima towa kura 3000 zitazobaki ndio matokeo yenu halisi, ila kwa Urais ni rahisi sana kuiba uchaguzi loop hole ni nyingi sana hata mama Samia ni mitano tena anashinda SAA mbili asubuhi tu mark my words regardless kelele zote za kuuza nchi, labda Jeshi liingilie na kwa Tanzania wanajeshi na wanasiasa wote wana maisha mazuri wanatembelea V8 hilo tusahau.

Najuwa wapo watakaohoji mbona kuna wapinzani wachache walishinda? Jibu ni kwamba huo ni mkakati maalum wa kuhadaa umma na dunia, na sehemu nyingine kama mgombea wa ubunge wa Ccm hakuwa na mahusiano mazuri na Mkurugenzi alitoswa wizi haukufanyika, au kama mgombea udiwani hakuwa na mahusiano mazuri na Afisa Mtendaji Kata pia alitoswa wizi haukufanyika hii ndio sababu ukiona kuna sehemu wapinzani wachache walitangazwa washindi, wapo wakurugenzi waliukataa ushetani wa Magufuli.

Wapinzani amkeni mnapotaka kupambana na CCM muijuwe vizuri nguvu ya Ccm IPO kwa wakurugenzi na maafisa watendaji Kata, nje ya hapo CCM ni kifo cha mende chaliii.

Cc: Pascal Mayalla hii ni Bona fide genuine.
Hii ina uhusiano na Kuuzwa kwa Bandari zetu? Puumbavu
 
Mbona Magufuli ambaye anajifanya alikuwa mzalendo hakuweza kuzuia huo wizi wakati alikuwa kwenye vikao vya baraza la mawaziri? Au wakati akiwa waziri uliwahi kumsikia akipinga mikataba ya wizi?
Ndio hapo ujinga wenu ulipo na ccm inapenda sana kuona mawazo kama haya.
 
Huyu jiwe inabidi kila mwaka watanzania tukusanyike kwenye kaburi lake pale Chato ili tulichape viboko
Una utindio wa ubongo!

Unashindwa kwenda kuwachapa hao wanaokuuza dubai ukiwa hai, ukalichape kaburi?


Ccm ikiona maoni ya kitaahira kama haya yako inafurahi sana
 
Ndio hapo ujinga wenu ulipo na ccm inapenda sana kuona mawazo kama haya.
Ujinga wa kwamba tunajua Magufuli naye alikuwa mwizi kama wezi wengine ama upi? Ccm ni nini boss, naona unazungumza kama vile ccm ni kitu cha maana sana.
 
Ujinga wa kwamba tunajua Magufuli naye alikuwa mwizi kama wezi wengine ama upi? Ccm ni nini boss, naona unazungumza kama vile ccm ni kitu cha maana sana.
Mkuu anza kujiandaa mamayo huyu mwema mwanademocrasia kakuuza kwa wajomba zake
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumekuwa na shutuma nyingi sana za kumshutumu Magufuli kuvuruga uchaguzi wa mwaka 2020 lakini watowa lawama wote ukiwauliza alivurugaje au aliiba vipi kura hakuna atakayekupa jibu.

Sasa leo nimewiwa kuwaondowa gizani, kama mtakakumbuka Magufuli aliwaita maafisa watendaji wote wa Kata Tanzania nzima ikulu Dar, hili halijawahi kutokea katika historia ya Tanzania.

Mkutano huo ulirushwa mubashara lakini baadaye muda wa kuwapa mikakati na malengo ya kuitwa kwao matangazo mubashara yalikatwa na kichinjio cha upinzani ndio kilifanyika pale.

Alichofanya Magufuli ni kila Afisa Mtendaji Kata alipewa Amri ni lazima ahakikishe kuna kura 3000 kwenye Kata yake za Diwani, mbunge na Rais za Ccm, halafu maigizo ya uchaguzi ndio yaendelee kama kama kawaida.

Sasa jiulize katika hali ya kawaida madiwani wanaogombea Kata, mwenzao wa Ccm tayari ana kura 3000 unamshinda vipi?

Ukija kwa mbunge, kila Kata kwenye jimbo ana mtaji wa kura 3000 halafu ndio mshindane kwa kura halali unashindaje?

Ukija kwa Rais hapo ndio kufuru, kila Kata Tanzania nzima ana kura 3000 za wizi na bado wizi wa majumuisho je unamshinda vipi?

Hakika Magufuli hakuwa wakala wa shetani tu Bali ndio shetani mwenyewe.

Hizi siyo ngonjera Bali ni taarifa sahihi live bila chenga, wagombea wote wa upinzani wakitaka kujuwa matokeo halisi je walishinda au walishindwa kweli, kwa udiwani towa kura 3000 za CCM, zinazobaki ndio kura mlizopigiwa, na kwa ubunge kila Kata jimbo zima towa kura 3000 zitazobaki ndio matokeo yenu halisi, ila kwa Urais ni rahisi sana kuiba uchaguzi loop hole ni nyingi sana hata mama Samia ni mitano tena anashinda SAA mbili asubuhi tu mark my words regardless kelele zote za kuuza nchi, labda Jeshi liingilie na kwa Tanzania wanajeshi na wanasiasa wote wana maisha mazuri wanatembelea V8 hilo tusahau.

Najuwa wapo watakaohoji mbona kuna wapinzani wachache walishinda? Jibu ni kwamba huo ni mkakati maalum wa kuhadaa umma na dunia, na sehemu nyingine kama mgombea wa ubunge wa Ccm hakuwa na mahusiano mazuri na Mkurugenzi alitoswa wizi haukufanyika, au kama mgombea udiwani hakuwa na mahusiano mazuri na Afisa Mtendaji Kata pia alitoswa wizi haukufanyika hii ndio sababu ukiona kuna sehemu wapinzani wachache walitangazwa washindi, wapo wakurugenzi waliukataa ushetani wa Magufuli.

Wapinzani amkeni mnapotaka kupambana na CCM muijuwe vizuri nguvu ya Ccm IPO kwa wakurugenzi na maafisa watendaji Kata, nje ya hapo CCM ni kifo cha mende chaliii.

Cc: Pascal Mayalla hii ni Bona fide genuine.
So tukusaidieje!!?
 
Kuna kitu huwa hakizungumzwi, huenda it's no More classified Sasa, Wacha nikiseme tu. Walimu na baadhi ya watu walifungiwa kwenye vyuo vya ualimu, vyuo vya kawaida na baadhi ya kumbi ambazo ziliteuliwa Kwa KAZI hio tu na KAZI kubwa ilikua ni kuweka tick kwenye kura hizo.

Walikua hawaruhusiwi kuingia na simu, walikuta Kila kitu kimeandaliwa including chai, chakula na hizo kura feki. Hizi ndio zile baadhi zilikamatwa Kawe na kwingine.

Wakisoma hapa watashangaa tungejuaje ila tulijua tukakaa kimya, baadhi ya hizo stations ilikua ni korogwe, shinyanga na ukumbi wa Baraza la mitihani..... Kwa uchache.
Na ilikua ukijifanya unaujua au ku usema ukwel............UNAZIMWA KAMA ANOLOGY KWENDA DIGITALLY 🙂☺️😊
 
Mkuu anza kujiandaa mamayo huyu mwema mwanademocrasia kakuuza kwa wajomba zake
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ameuza kwa kushirikiana na bunge lililowekwa na dhalimu. Hapa ndio tulipaswa kujiridhisha na uzalendo wa wabunge dhalimu aliosema ni wazalendo.
 
Mbona Magufuli ambaye anajifanya alikuwa mzalendo hakuweza kuzuia huo wizi wakati alikuwa kwenye vikao vya baraza la mawaziri? Au wakati akiwa waziri uliwahi kumsikia akipinga mikataba ya wizi?
Magufuli alishiriki kikamilifu kuuza Nyumbani za serikali prime area kwa bei chee na bila aibu Nyumbani moja akampa hawara yake ambaye si Mtumishi wa serikali.

Huo uzalendo wa huyu shetani uko wapi?
 
Ameuza kwa kushirikiana na bunge lililowekwa na dhalimu. Hapa ndio tulipaswa kujiridhisha na uzalendo wa wabunge dhalimu aliosema ni wazalendo.
Kauza pekeake!

Ndio maana kwenye maonesho ya sabasaba ya dubai alienda pekeake hakuenda na bunge ndiko alikosaini kuzwa kwenu kwa warabu.

Pia dhalimu wako hata angemuweka Lisu mtupu na mbowe tupu pale bungeni bado wasingefanya lolote maana maamuzi tayari yameshafanywa na mamako huyu mwema mwanademocrasia
 
Kauza pekeake!

Ndio maana kwenye maonesho ya sabasaba ya dubai alienda pekeake hakuenda na bunge ndiko alikosaini kuzwa kwenu kwa warabu.

Pia dhalimu wako hata angemuweka Lisu mtupu na mbowe tupu pale bungeni bado wasingefanya lolote maana maamuzi tayari yameshafanywa na mamako huyu mwema mwanademocrasia
Kama aliuuza mwenyewe hao wabunge wangepinga maana ni wazalendo kwa mujibu wa dhalimu.

Dhalimu halikuwa jukumu lake kuweka wabunge, hiyo ni kazi ya wananchi kupitia kura zao. Tunaposema katiba hii sio sawa ni pamoja na hilo la rais kuweza kufanya chochote bila kuchukuliwa hatua yoyote.
 
Kama aliuuza mwenyewe hao wabunge wangepinga maana ni wazalendo kwa mujibu wa dhalimu.

Dhalimu halikuwa jukumu lake kuweka wabunge, hiyo ni kazi ya wananchi kupitia kura zao. Tunaposema katiba hii sio sawa ni pamoja na hilo la rais kuweza kufanya chochote bila kuchukuliwa hatua yoyote.
Ni lini wabunge waliwahi kuwa wazalendo kwa nchi?..

Slaa katwambia kuna mikataba ya hovyo zaidi ya 2,000 inatafuna nchi. Je nayo ilipita kipindi cha bunge la dhalimu wako?
 
Tujipange Kwa 2025 mkuu hayo yameshakwenda zake- yafuta trick nzuri basi CCM wapingwe chini 2025- hayo maneno hayasaidii inabidi tuwe na mipango yakinifu ili CCM ife mchana kweupee
 
wote ni mashahidi 2015 CCM ilikuwa inapumua pumzi za mwisho, nini kilitokea baada ya hapo ni fundisho. Ilikuwa ni kumaliza chochote kilichotishia uhai wa chama tawala.
Kazi maalum ikafanyika 2020 kuhakikisha bunge linakuwa la kijani na ikafanikiwa 100%. Tume inateuliwa na rais halafu utegemee haki?
Ukweli ni kuwa hata bila ya kuwepo mwendazake bado kura zitachezeshwa tu hata zile nafasi watakazoshinda upinzani chama tawala kitakuwa kimeamua iwe hivyo.
Bado safari ndefu sana kufikia kuwa uchaguzi huru.
 
Back
Top Bottom