Nenda Youtube Channel Ya Davista Mata utajua hujui.Habari zenu wakuu,natumaini mko poa kabla sijaenda mbali ningependa wataalamu na wazoefu wa hili swala la dangu za utajiri je lipo? Kama lipo linafanya kazi ? ,kama linafanya kazi stakeholder na maexpert wa field hili wajitokeze tujue hii kitu inaexit au scams tu.
Asante kwa kuwakilisha ,wazee wa muongozo kujeni
Habari zenu wakuu,natumaini mko poa kabla sijaenda mbali ningependa wataalamu na wazoefu wa hili swala la dangu za utajiri je lipo? Kama lipo linafanya kazi ? ,kama linafanya kazi stakeholder na maexpert wa field hili wajitokeze tujue hii kitu inaexit au scams tu.
Asante kwa kuwakilisha ,wazee wa muongozo kujeni
Mkuu niunganishe nipate kuthibitisha hiki unachosemaUtajiri wa ndagu ni kweli Upo
Japo Kuna changamoto ya baadhi ya Waganga matapeli
Sio jambo la kulishabikia as kuingia huwa ni rahisi ila changamoto yake huwa ni kutoka
Madhara yake ni makubwa kwenye familia kuliko Faida zake
Bora shilingi 10,000 yako unayoipata kawaida kuliko shilingi 1,000,000 unayoipata Kwa masharti
Sina nimjuaye MkuuMkuu niunganishe nipate kuthibitisha hiki unachosema
Acha tamaaMkuu kama unamuongozo nipatie pia
Utakufa kibuduMkuu niunganishe nipate kuthibitisha hiki unachosema
Ikifika zamu yako mwambie akuwahishe piaYeah kafara ipo mwenyewe nataka niende kumwambia mganga anibadilishie masharti sahivi ananipa dawa za kutega mlangoni, naona inachelewesha nataka aniruhusu niwanyonge kwa mikono mwenyewe.
Utakufa umenunaSawa mkuu ngoja tusubir maexpert wa field hii watupe muongozo
Nikiona dalili ya zamu yangu naanza kumtanguliza mgangaIkifika zamu yako mwambie akuwahishe pia