Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Mtoa mada amenikumbusha nyuzi za muraaaa umughaka za hio aina ya Utajiri..
Bora nife masikini asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoa mada amenikumbusha nyuzi za muraaaa umughaka za hio aina ya Utajiri..
Hakika mkuuBora shilingi 10,000 yako unayoipata kawaida kuliko shilingi 1,000,000 unayoipata Kwa masharti
Nipe connection mkuu,nithibitishe andiko lakoYeah kafara ipo mwenyewe nataka niende kumwambia mganga anibadilishie masharti sahivi ananipa dawa ya kuua kwa kutega mlangoni, naona inachelewesha nataka aniruhusu niwanyonge kwa mikono mwenyewe.
Utaweza kuvaa nguo 1 kilasiku hiyohyo Hadi iishe ndo unabadilisha ? Kama utaweza NJOO nikupeleke maketeHabari zenu wakuu, natumaini mko poa.
Kabla sijaenda mbali ningependa wataalamu na wazoefu wa hili suala la dangu za utajiri je lipo? Kama lipo linafanya kazi?
Kama linafanya kazi stakeholder na maexpert wa field hili wajitokeze tujue hii kitu inaexit au scams tu.
Asante kwa kuwakilisha, wazee wa muongozo kujeni.
Kama huna umjuaye inakuwaje unaamini mambo ya kufikirika?Sina nimjuaye Mkuu
hahaaa mnapenda hela za short cut kuna ule wakurusha maindi kuku anadonoa akidonoa matano unapata miaka mitano akidona matatu unapata miaka mitatu uwo upo apo tu ukishamaliza milima kitonga tu kama unatoka darMagwiji na wabobevu kwenye hii sayansi ya ndagu ,naomba mjitokeze
Sharti la kwanza km wewe Mwanaume basi upate bwana akuoe, usipende mselelekoUmasikini ni laana
Punje punje kweli wanaposema kuku akimeza 3/5 yaan akimaliza kumeza sababu ya ukubwa zinamkaba koo zinamuu, sasa KIFO cha yule kuku ndio wewe utavyokufahahaaa mnapenda hela za short cut kuna ule wakurusha maindi kuku anadonoa akidonoa matano unapata miaka mitano akidona matatu unapata miaka mitatu uwo upo apo tu ukishamaliza milima kitonga tu kama unatoka dar
Sitaki uukose ufalme wa Mbinguni kwaajili yangu MkuuKama huna umjuaye inakuwaje unaamini mambo ya kufikirika?
Mimi nimekusoma nikajua ni mnufaika au una uhakika kumbe hujui chochote.
Huo uko poa mkuu ,nipe connection umasikini ni laanahahaaa mnapenda hela za short cut kuna ule wakurusha maindi kuku anadonoa akidonoa matano unapata miaka mitano akidona matatu unapata miaka mitatu uwo upo apo tu ukishamaliza milima kitonga tu kama unatoka dar
Mtafute Lwanda Magere akupe maonyesho alioyapata katika utajiri huo wa ndoto si mchezo utakula familya yako yote kwa Muungu kibonge alieko lake victoria chini ya maji.Habari zenu wakuu, natumaini mko poa.
Kabla sijaenda mbali ningependa wataalamu na wazoefu wa hili suala la dangu za utajiri je lipo? Kama lipo linafanya kazi?
Kama linafanya kazi stakeholder na maexpert wa field hili wajitokeze tujue hii kitu inaexit au scams tu.
Asante kwa kuwakilisha, wazee wa muongozo kujeni.