Ukweli kuhusu utajiri wa ndagu

Ukweli kuhusu utajiri wa ndagu

Yeah kafara ipo mwenyewe nataka niende kumwambia mganga anibadilishie masharti sahivi ananipa dawa ya kuua kwa kutega mlangoni, naona inachelewesha nataka aniruhusu niwanyonge kwa mikono mwenyewe.
Nipe connection mkuu,nithibitishe andiko lako
 
Habari zenu wakuu, natumaini mko poa.

Kabla sijaenda mbali ningependa wataalamu na wazoefu wa hili suala la dangu za utajiri je lipo? Kama lipo linafanya kazi?

Kama linafanya kazi stakeholder na maexpert wa field hili wajitokeze tujue hii kitu inaexit au scams tu.

Asante kwa kuwakilisha, wazee wa muongozo kujeni.
Utaweza kuvaa nguo 1 kilasiku hiyohyo Hadi iishe ndo unabadilisha ? Kama utaweza NJOO nikupeleke makete
 
Siku zote unapoingia ni rahisi sana hata mashariti ni rafiki kwa mteja, mfano: unaweza kupewa bag dogo au chungu kidogo na kuagizwa utenge sehemu maalumu na ya siri kwajili ya shuguli zako na usimruhusu yeyote kuingia ulipo hifadhi, unaweza kupewa maagizo ya kutoa kafara ya mnyama kama mbuzi au ng'ombe kila baada ya muda fulani ili watu waje kwako kula hizo nyama na kufurahi ila kazi yako ni kuhakikisha mifupa ya huyo mnyama haivuki na kwenda nje ya nyumbani kwako.

Pia unaweza kuagwa na mtaalamu na kukupa maagizo, chochote utakacho kutana nacho njiani basi ndio utajiri wako hakikisha unabeba na kufikisha nyumbani kwako🤣 au ukiwa njiani kitu kitakacho tokea mbele yako hutakiwi kukipisha, Nk.

Ila tambua mbuyu ulianza kama mchicha, utajiri unavyo zidi kuonekana kwako ndivyo na mashariti huongezeka au ukikaidi sio ajabu kukutana na faini ya kumwaga damu ya mmoja ya wanafamilia au ndugu yako kipenzi.

NOTE: mshuku mwenyezi na uridhike kwa kidogo alicho kujalia, ipende familia yako na kizazi chako uwafundishe yote yaliyo mema.
Njia za mkato sio salama.. !!
 
Magwiji na wabobevu kwenye hii sayansi ya ndagu ,naomba mjitokeze
 
Magwiji na wabobevu kwenye hii sayansi ya ndagu ,naomba mjitokeze
hahaaa mnapenda hela za short cut kuna ule wakurusha maindi kuku anadonoa akidonoa matano unapata miaka mitano akidona matatu unapata miaka mitatu uwo upo apo tu ukishamaliza milima kitonga tu kama unatoka dar
 
hahaaa mnapenda hela za short cut kuna ule wakurusha maindi kuku anadonoa akidonoa matano unapata miaka mitano akidona matatu unapata miaka mitatu uwo upo apo tu ukishamaliza milima kitonga tu kama unatoka dar
Punje punje kweli wanaposema kuku akimeza 3/5 yaan akimaliza kumeza sababu ya ukubwa zinamkaba koo zinamuu, sasa KIFO cha yule kuku ndio wewe utavyokufa
 
Kama huna umjuaye inakuwaje unaamini mambo ya kufikirika?
Mimi nimekusoma nikajua ni mnufaika au una uhakika kumbe hujui chochote.
Sitaki uukose ufalme wa Mbinguni kwaajili yangu Mkuu

Maana majuto yake ukishawamaliza kuwatoa kafara watoto wako ni makubwa
 
hahaaa mnapenda hela za short cut kuna ule wakurusha maindi kuku anadonoa akidonoa matano unapata miaka mitano akidona matatu unapata miaka mitatu uwo upo apo tu ukishamaliza milima kitonga tu kama unatoka dar
Huo uko poa mkuu ,nipe connection umasikini ni laana
 
Habari zenu wakuu, natumaini mko poa.

Kabla sijaenda mbali ningependa wataalamu na wazoefu wa hili suala la dangu za utajiri je lipo? Kama lipo linafanya kazi?

Kama linafanya kazi stakeholder na maexpert wa field hili wajitokeze tujue hii kitu inaexit au scams tu.

Asante kwa kuwakilisha, wazee wa muongozo kujeni.
Mtafute Lwanda Magere akupe maonyesho alioyapata katika utajiri huo wa ndoto si mchezo utakula familya yako yote kwa Muungu kibonge alieko lake victoria chini ya maji.
 
Back
Top Bottom