Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Umejaribu mara ngapi kutafuta umekosa ukilinganisha na umri wako?Mkuu umasikini ni laana,nipe connection
Bado unayo nafasi ya kufanikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejaribu mara ngapi kutafuta umekosa ukilinganisha na umri wako?Mkuu umasikini ni laana,nipe connection
Jamaa anataka kuanza kuishi Kwa mashakaHakika mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zipo sn tu siku izi wamebadilisha mashart mara nyingi huwa sio kuua tena siku izi wanataka mlengwa upigwe mashine yaan wakupelekee moto kila ukifir* ndo utajiri unaongezeka ka uko tyr kupelekewa pipe kwenye hazina nenda kusini huko utakuwa tajir wa kutupwa
Hii mbona nyepesi, ya kuvaa nguo 1 na kulala chini? Mbona hata mie naiweza.Utaweza kuvaa nguo 1 kilasiku hiyohyo Hadi iishe ndo unabadilisha ? Kama utaweza NJOO nikupeleke makete
Tena unaweza ukafa utajiri kabla ya tajiri mwenyewee.Bahati mbaya Utajiri huo hauna urithi ukifa na wenyewe unakufa
Kaka baunsa🙄🙄🙄Yeah kafara ipo mwenyewe nataka niende kumwambia mganga anibadilishie masharti sahivi ananipa dawa ya kuua kwa kutega mlangoni, naona inachelewesha nataka aniruhusu niwanyonge kwa mikono mwenyewe.
Basi twende nikupeleke maeneo husika.Umasikini ni laana,ya kutoa funza kwangu ni rahisi tu
Hata ucwazeee.Hapo ni poa,mkuu ni pelekee
Ajali ya gari utaona dalili saa ngapi.Nikiona dalili ya zamu yangu naanza kumtanguliza mganga
Sasa raha ya kuwa na pesa ni kuwa huru, ukiwa na pesa alafu haupo huru ni utumwa.Jamaa anataka kuanza kuishi Kwa mashaka
Unakuta una hela lakini unaambiwa uvae malapa/maronyaronya ama una hela lakini huwezi kumega watoto wazuri 🙌
Usidhani ni kuvaa nguo tu,kuna lipindi itafika kafara ya damu itahitajika tu.Utaweza kuvaa nguo 1 kilasiku hiyohyo Hadi iishe ndo unabadilisha ? Kama utaweza NJOO nikupeleke makete
Acha tamaaMkuu kifo hakikimbiliki, ni swala la muda
Wewe naona utawapa shida sana ndugu zako kukufanyia ratiba ya maziishi kununua jeneza lako,, n.k, mana umeshaukubali umaskini. [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Masikini Ukijikubali walaaaaa hakuna wa kukubabaisha mbona!
Kila la kheri kwenye ndagu zenyuuu
Cc Smart911