Utajiri wandagu sio mzuri tafuta utajili kwa maarifa na juhudi.
Na maarifa makubwa yapo ndani mwako hapo.
Nipale utakapo weza kulivua hilo gamba lan'je nakua wewe katika uhalisia.
Ningumu sana kunielewa
Sana,sana,sana.
Hivo acha nilicho kiongea ibaki kua ni ndoto,movie na ukosefu wa elimu yachuo kikuu uingereza.
Lakini huo ni mwanya, wewe ni pengo π π€£Kuna ka'ID nimekaona humu kanafanana na ID yangu, ebu ngoja nianze kukafuatilia polepole tuone...π
kaka usiwape waache waangamie tuπ.Utajiri wandagu sio mzuri tafuta utajili kwa maarifa na juhudi.
Na maarifa makubwa yapo ndani mwako hapo.
Nipale utakapo weza kulivua hilo gamba lan'je nakua wewe katika uhalisia.
Ningumu sana kunielewa
Sana,sana,sana.
Hivo acha nilicho kiongea ibaki kua ni ndoto,movie na ukosefu wa elimu yachuo kikuu uingereza.
Mkuu si uombe tu namba ya mganga kuliko kutumia njia ndefu kiasi hikiMkuu niunganishe nipate kuthibitisha hiki unachosema
Unawekaje namba huku...0783834075 pliz
NimetoaπUnawekaje namba huku...
Una kazi au biashara unataka ichanue?? Una laki 5??Mkuu nipe connection niwasiliane nao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Una kazi au biashara unataka ichanue?? Una laki 5??
Au unataka upewe connection na mapumbu yako tu??
Kwanza kwa ujuaji wenu nani akupe connection kifara fara??
Unadhani watu humu hawana connection???? Unadhani kwanini hawatoi hovyo hovyo???
Mkuu matusi yote ya nini,kama unaconnection nipatie #umasikini ni laanaUna kazi au biashara unataka ichanue?? Una laki 5??
Au unataka upewe connection na mapumbu yako tu??
Kwanza kwa ujuaji wenu nani akupe connection kifara fara??
Unadhani watu humu hawana connection???? Unadhani kwanini hawatoi hovyo hovyo???
πππsasa ndagu inataka watu kama ww wenye akili , sio vijana wa kuhonga kisa tundu mbele na hapo hana akili kabisa . Ni vile tu hatuwezi sema hadharani ila kijana upo sawa hela itakupata tu mbeleni usiwazeHiyo ya kuvaa shati moja kila siku rahisi sana.
Unakuwa na kampuni yako labda ya usafirishaji, unashonesha sare za kampuni kisha unachukua yako moja sawa na wafanyakazi unatupia mpaka ichakae.
Hakuna atakayekushangaa.
Kua makini sana mdogo wangu. Nmeanza hizi harakati miaka 5 iliyopita nimeona mambo ya ajabu sana. Matapeli wapo. Wakweli pia wapo.Mkuu kama una namba nipatie
Acha kejeli. Acha utapeli. Acha kujifanya mjuaji.Una kazi au biashara unataka ichanue?? Una laki 5??
Au unataka upewe connection na mapumbu yako tu??
Kwanza kwa ujuaji wenu nani akupe connection kifara fara??
Unadhani watu humu hawana connection???? Unadhani kwanini hawatoi hovyo hovyo???
Shukran mkuuKua makini sana. Nmeanza hizi harakati miaka 5 iliyopita nimeona mambo ya ajabu sana. Matapeli wapo. Wakweli pia wapo.
Matapeli hawaoni haya kwenda makaburini kuchimba kaburi na kumuweka mtu ndani akiwa anaongea na wewe kudhania unaongea na majini au mizimu, nahilo kaburi unaliona limefukiwa.
πππZipo sana tu siku hizi wamebadilisha masharti mara nyingi huwa sio kuua tena siku izi wanataka mlengwa upigwe mashine ndio utajiri unaongezeka ka uko tyr kupelekewa pipe kwenye hazina nenda kusini huko utakuwa tajiri wa kutupwa