Ukweli kuhusu uwekezaji wa Mo Dewji Simba ndiyo huu

Ukweli kuhusu uwekezaji wa Mo Dewji Simba ndiyo huu

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kwanza suala la uwekezaji na umiliki wa hisa ni suala la kitaalamu na lina misingi yake, Simba hawaifuati. Mkutano Mkuu wa Simba uliridhia Mo kupewa 49% ya hisa za Simba. Ukototozi wa thamani ya klabu umefanyika? Bado.

Wanachama wa Simba wanamiliki 51% ya hisa za Simba, kwani simba thamani yake halisi ni shilingi ngapi? Hakuna anayejua.

Mo alisema atatoa bilioni 20 kama uwekezaji. Ni uwekezaji ama ni thamani ya hisa atakazomiliki? Hiyo haisemwi.

Wanachama ambao ndiyo wanatakiwa wawe na hisa nyingi, wameshaweka shilingi ngapi kwenye Klabu ya Simba mpaka sasa? Hakuna.

Fedha anazotumia Mo kwenye kuiendesha Simba kwa sasa zinahesabika kama uwekezaji ama kujitolea kwa Mo? Kama ni uwekezaji, ni sehemu ya hisa ama ni zile bilioni 20 alizosema atawekeza? Mbele ya safari atazidai ama anatoa sandakalawe?

Hili jambo lina mazingile mengi sana.
 
Kwanza suala la uwekezaji na umiliki wa hisa ni suala la kitaalamu na lina misingi yake, Simba hawaifuati. Mkutano Mkuu wa Simba uliridhia Mo kupewa 49% ya hisa za Simba. Ukototozi wa thamani ya klabu umefanyika? Bado.

Wanachama wa Simba wanamiliki 51% ya hisa za Simba, kwani simba thamani yake halisi ni shilingi ngapi? Hakuna anayejua.

Mo alisema atatoa bilioni 20 kama uwekezaji. Ni uwekezaji ama ni thamani ya hisa atakazomiliki? Hiyo haisemwi.

Wanachama ambao ndiyo wanatakiwa wawe na hisa nyingi, wameshaweka shilingi ngapi kwenye Klabu ya Simba mpaka sasa? Hakuna.

Fedha anazotumia Mo kwenye kuiendesha Simba kwa sasa zinahesabika kama uwekezaji ama kujitolea kwa Mo? Kama ni uwekezaji, ni sehemu ya hisa ama ni zile bilioni 20 alizosema atawekeza? Mbele ya safari atazidai ama anatoa sandakalawe?

Hili jambo lina mazingile mengi sana.
Mo alisema atatoa bilioni 20 kama uwekezaji. Ni uwekezaji au ni thamani ya hisa atakazomiliki.Daaa bora nikae kimya
 
Ukweli mchungu na ambao Wana Simba wengi hawatotaka ku usikia nikua Kuna baadhi ya fedha MO alizitoa Bure kabisa kama Mpenzi na Mwanachama wa Simba, namaanisha katika fedha izo MO ametoa Kwa mapenzi yake.

Kuna baadhi ya fedha ambazo ni Nyingi zinafika (billions) MO alikua akizitoa kulingana na hitaji la Simba Kwa wakati uo wakati klabu ilizihitaji na haikuanazo, Pesa izo alizitoa kwa mafungu si Kwa mkupuo mmoja lakini Kwa makubaliano ya yeye Kuja kurudishiwa hizo fedha Kwa maana hajazitoa kama msaaada.

Mkanganyiko uliopo je! Izi bilioni 20 alizosema ameweka itakua amejumuisha na madeni yake ya nyuma ya makubaliano maalumu ya kulipwa.
Au utakua mzigo mpya kabisa ambao au husiani na fedha anazo zidai Kwa klabu?

Kwa Wale Wana Simba wa ndaaaani Wanafahamu ata wenye uwelewa mpana Wanafahamu ila sioni dhambi yoyote Kwa MO kwakula Matunda ya kazi za mikono yake.

Mla huliwa, kwasasa tumwache MO afaidi matunda ya uwekezaji wake, pesa alizo jitolea, alizo kopesha na alizo wekeza ni Nyingi sana.
Kwasasa tumwache afaidi fedha zilizo ingia Kwa Mikataba mipya ya klabu, na klabu kufuzu Makundi.
 
Ukweli mchungu na ambao Wana Simba wengi hawatotaka ku usikia nikua Kuna baadhi ya fedha MO alizitoa Bure kabisa kama Mpenzi na Mwanachama wa Simba, namaanisha katika fedha izo MO ametoa Kwa mapenzi yake.

Kuna baadhi ya fedha ambazo ni Nyingi zinafika (billions) MO alikua akizitoa kulingana na hitaji la Simba Kwa wakati uo wakati klabu ilizihitaji na haikuanazo, Pesa izo alizitoa kwa mafungu si Kwa mkupuo mmoja lakini Kwa makubaliano ya yeye Kuja kurudishiwa hizo fedha Kwa maana hajazitoa kama msaaada.

Mkanganyiko uliopo je! Izi bilioni 20 alizosema ameweka itakua amejumuisha na madeni yake ya nyuma ya makubaliano maalumu ya kulipwa.
Au utakua mzigo mpya kabisa ambao au husiani na fedha anazo zidai Kwa klabu?

Kwa Wale Wana Simba wa ndaaaani Wanafahamu ata wenye uwelewa mpana Wanafahamu ila sioni dhambi yoyote Kwa MO kwakula Matunda ya kazi za mikono yake.

Mla huliwa, kwasasa tumwache MO afaidi matunda ya uwekezaji wake, pesa alizo jitolea, alizo kopesha na alizo wekeza ni Nyingi sana.
Kwasasa tumwache afaidi fedha zilizo ingia Kwa Mikataba mipya ya klabu, na klabu kufuzu Makundi.
Yani ni sawa kabisa hakuna tatizo... au wewe umeona kuna chungu? Au kuna shida?
 
Kwanza suala la uwekezaji na umiliki wa hisa ni suala la kitaalamu na lina misingi yake, Simba hawaifuati. Mkutano Mkuu wa Simba uliridhia Mo kupewa 49% ya hisa za Simba. Ukototozi wa thamani ya klabu umefanyika? Bado.

Wanachama wa Simba wanamiliki 51% ya hisa za Simba, kwani simba thamani yake halisi ni shilingi ngapi? Hakuna anayejua.

Mo alisema atatoa bilioni 20 kama uwekezaji. Ni uwekezaji ama ni thamani ya hisa atakazomiliki? Hiyo haisemwi.

Wanachama ambao ndiyo wanatakiwa wawe na hisa nyingi, wameshaweka shilingi ngapi kwenye Klabu ya Simba mpaka sasa? Hakuna.

Fedha anazotumia Mo kwenye kuiendesha Simba kwa sasa zinahesabika kama uwekezaji ama kujitolea kwa Mo? Kama ni uwekezaji, ni sehemu ya hisa ama ni zile bilioni 20 alizosema atawekeza? Mbele ya safari atazidai ama anatoa sandakalawe?

Hili jambo lina mazingile mengi sana.
Kinachoendelea ni ujanjaujanya wa mhindi dhidi ya waswahili.
Tena hapa dewji kawapata waafrika. Kwenye simba tunajali ushindi tu hata kama yeye akichukua kipato chote.
Lakini lazima sheria na taratibu za kampuni zitekelezwe kwani tunapokua tumefungwa hata akikimbia club hatutamwacha na amani.
 
Ukweli mchungu na ambao Wana Simba wengi hawatotaka ku usikia nikua Kuna baadhi ya fedha MO alizitoa Bure kabisa kama Mpenzi na Mwanachama wa Simba, namaanisha katika fedha izo MO ametoa Kwa mapenzi yake.

Kuna baadhi ya fedha ambazo ni Nyingi zinafika (billions) MO alikua akizitoa kulingana na hitaji la Simba Kwa wakati uo wakati klabu ilizihitaji na haikuanazo, Pesa izo alizitoa kwa mafungu si Kwa mkupuo mmoja lakini Kwa makubaliano ya yeye Kuja kurudishiwa hizo fedha Kwa maana hajazitoa kama msaaada.

Mkanganyiko uliopo je! Izi bilioni 20 alizosema ameweka itakua amejumuisha na madeni yake ya nyuma ya makubaliano maalumu ya kulipwa.
Au utakua mzigo mpya kabisa ambao au husiani na fedha anazo zidai Kwa klabu?

Kwa Wale Wana Simba wa ndaaaani Wanafahamu ata wenye uwelewa mpana Wanafahamu ila sioni dhambi yoyote Kwa MO kwakula Matunda ya kazi za mikono yake.

Mla huliwa, kwasasa tumwache MO afaidi matunda ya uwekezaji wake, pesa alizo jitolea, alizo kopesha na alizo wekeza ni Nyingi sana.
Kwasasa tumwache afaidi fedha zilizo ingia Kwa Mikataba mipya ya klabu, na klabu kufuzu Makundi.
Kwa hiyo thamani ya SIMBA ni kiasi gani? hizo hisa 49% ni kutoka kwenye amount gani? .....Hizo 20bn zilikuwa za kuchora au halisi?? Nyie ni mambumbumbu sana ,Mo analijua hilo ndiyo maana anawachezea akili na hamjui hesabu zake
 
Tatizo twauliza Simba ya Sasa yenye mikataba, wakati MO anaanza mchakato kipindi Simba inapata 1bil kwa mwaka toka Sportpesa
Simba anatumia gari la TBL
Simba hana kombe
Simba hawezi sajili wachezaji wa maana
Simba haina hostel
Simba haipandi ndege
Simba haishiriki kimataifa

MO ndiye ameifanikisha Simba kufika hapa tulipo sasa, ambapo thamani ya Simba imekuwa zaidi
 
Kwanza suala la uwekezaji na umiliki wa hisa ni suala la kitaalamu na lina misingi yake, Simba hawaifuati. Mkutano Mkuu wa Simba uliridhia Mo kupewa 49% ya hisa za Simba. Ukototozi wa thamani ya klabu umefanyika? Bado.

Wanachama wa Simba wanamiliki 51% ya hisa za Simba, kwani simba thamani yake halisi ni shilingi ngapi? Hakuna anayejua.

Mo alisema atatoa bilioni 20 kama uwekezaji. Ni uwekezaji ama ni thamani ya hisa atakazomiliki? Hiyo haisemwi.

Wanachama ambao ndiyo wanatakiwa wawe na hisa nyingi, wameshaweka shilingi ngapi kwenye Klabu ya Simba mpaka sasa? Hakuna.

Fedha anazotumia Mo kwenye kuiendesha Simba kwa sasa zinahesabika kama uwekezaji ama kujitolea kwa Mo? Kama ni uwekezaji, ni sehemu ya hisa ama ni zile bilioni 20 alizosema atawekeza? Mbele ya safari atazidai ama anatoa sandakalawe?

Hili jambo lina mazingile mengi sana.
Mkuu una hoja kuntu, ila mapopoma watasema umetumwa na Kigwangalla
 
Tatizo twauliza Simba ya Sasa yenye mikataba, wakati MO anaanza mchakato kipindi Simba inapata 1bil kwa mwaka toka Sportpesa
Simba anatumia gari la TBL
Simba hana kombe
Simba hawezi sajili wachezaji wa maana
Simba haina hostel
Simba haipandi ndege
Simba haishiriki kimataifa

MO ndiye ameifanikisha Simba kufika hapa tulipo sasa, ambapo thamani ya Simba imekuwa zaidi
Umeelewa msingi wa hoja? Kwa kuwa Moja aliingia wakati Simba ikiwa hohehahe ndio aruhusiwe kuiendesha atakavyo? Hii hoja ni ya msingi kwa future ya Simba, sio kuleta upofu wa kishabiki. Jadili hoja.
 
Kwanza suala la uwekezaji na umiliki wa hisa ni suala la kitaalamu na lina misingi yake, Simba hawaifuati. Mkutano Mkuu wa Simba uliridhia Mo kupewa 49% ya hisa za Simba. Ukototozi wa thamani ya klabu umefanyika? Bado.

Wanachama wa Simba wanamiliki 51% ya hisa za Simba, kwani simba thamani yake halisi ni shilingi ngapi? Hakuna anayejua.

Mo alisema atatoa bilioni 20 kama uwekezaji. Ni uwekezaji ama ni thamani ya hisa atakazomiliki? Hiyo haisemwi.

Wanachama ambao ndiyo wanatakiwa wawe na hisa nyingi, wameshaweka shilingi ngapi kwenye Klabu ya Simba mpaka sasa? Hakuna.

Fedha anazotumia Mo kwenye kuiendesha Simba kwa sasa zinahesabika kama uwekezaji ama kujitolea kwa Mo? Kama ni uwekezaji, ni sehemu ya hisa ama ni zile bilioni 20 alizosema atawekeza? Mbele ya safari atazidai ama anatoa sandakalawe?

Hili jambo lina mazingile mengi sana.
Hoja tatanishi sana hii, kiufupi uongozi wa SIMBA SC wanashindwa kufanya maamuzi na kulitolea ufafanuzi jambo hili la uwekezaji wa bilioni 20 kwa muda mrefu sasa kwakuwa Simba Sc ipo kwenye mtego fulani wa kiufundi juu ya makubaliano yaliyofanyika kati ya uongozi wa Simba sc na Mo, Sasa huu mtego uliopo kwenye makubaliano yaliyofanyika kihuni (wakati huo) ndio unaompa MO mamlaka ya kuitawala Simba Sc na mbaya zaidi anautumia mtego huo huo kuitumia Simba sc kwa maslahi yake binafsi, biashara zake na taasisi zake.. kuutegua huo mtego ni mpaka wote walio juu watoke usingizini ila kwasasa mhindi kashawageuza misukule hawana wanachokielewa zaidi ya kuitia NDIO, SAWA, YES na kumfisia mtu bila utashi.. mtego wa kuwanasa maskini ni pesa tu..
 
Atoe iyo ela asitoe mie hainihusu nasubiria super league tu mwakani maana kuna vigezo kule ili uweze kucheza.....
 
Ukweli mchungu na ambao Wana Simba wengi hawatotaka ku usikia nikua Kuna baadhi ya fedha MO alizitoa Bure kabisa kama Mpenzi na Mwanachama wa Simba, namaanisha katika fedha izo MO ametoa Kwa mapenzi yake.

Kuna baadhi ya fedha ambazo ni Nyingi zinafika (billions) MO alikua akizitoa kulingana na hitaji la Simba Kwa wakati uo wakati klabu ilizihitaji na haikuanazo, Pesa izo alizitoa kwa mafungu si Kwa mkupuo mmoja lakini Kwa makubaliano ya yeye Kuja kurudishiwa hizo fedha Kwa maana hajazitoa kama msaaada.

Mkanganyiko uliopo je! Izi bilioni 20 alizosema ameweka itakua amejumuisha na madeni yake ya nyuma ya makubaliano maalumu ya kulipwa.
Au utakua mzigo mpya kabisa ambao au husiani na fedha anazo zidai Kwa klabu?

Kwa Wale Wana Simba wa ndaaaani Wanafahamu ata wenye uwelewa mpana Wanafahamu ila sioni dhambi yoyote Kwa MO kwakula Matunda ya kazi za mikono yake.

Mla huliwa, kwasasa tumwache MO afaidi matunda ya uwekezaji wake, pesa alizo jitolea, alizo kopesha na alizo wekeza ni Nyingi sana.
Kwasasa tumwache afaidi fedha zilizo ingia Kwa Mikataba mipya ya klabu, na klabu kufuzu Makundi.
Atleast umeweka Facts, kuna baadhi ya mashabiki hawataki mo asemwe kwa lolote, wao wanaangalia hatua 3 mbele... wanasahau hatua 50 mbele
 
Back
Top Bottom