Ukweli kuhusu uwekezaji wa Mo Dewji Simba ndiyo huu

Ukweli kuhusu uwekezaji wa Mo Dewji Simba ndiyo huu

Sijui wewe una umri gani. Lakini mimi wakati Yanga inafungwa bao sita bila (6-0) nilishakua duniani tayari napumua na kuijua dunia.

Hoja yangu ni kwamba haya mambo ya Uwekezaji na Hisa ni mambo ya kitaalam na hayafuatwi na Klabu ya Simba. Hakuna hatua hata moja ya kitaalam iliyofanyika tokea ule mkutano ulioridhia Mo kupewa Asilimia arobaini na tisa (49%) ya Klab ya Simba.

Mimi siyo shabiki maandazi bali ni mwanasimba ambaye wakati wote natembea na akili zangu zikiwa kichwani. Kwa nini Klab yetu haithaminishwi na ijulikane thamani yake?

Kwa nini uwekezaji wa Mo hauko wazi ili ijulikane anawekeza kiasi Gani Simba? HIvi ni nani anayejua mwaka jana kwa mfano kwenye msimu uliopita, Simba ilitumia kiasi gani kwenye Usajili, mishahara ya wachezaji na wafanyakazi wa Klab, Gharama za ushiriki wa mashindano ya ndani na ya kimataifa, na mambo ya uwekezaji mwingine.

HIvi ni nani aliamua uwanja wa Bunju uitwe "Mo Arena" na kwa makubaliano gani?
Mkuu nikisema hujafuatilia, either kwa uzembe wako au kwa kuwa busy na majukumu nakosea?
mbona maswali yote uliyouliza yamejibiwa sana na MO mwenyewe hata kina magori kipindi wanazunguka Kwenye media kutoa ufafanuzi.

na si leo wala jana ni miaka zaidi ya mitatu nyuma walijibu maswali yako yote hayo?
fuatilia interviews hasa ile ya Magori na Mulamu wakiwa E.fm

unauliza thamani ya club haifahamiki kwani kipindi wanathaminisha mali za club ulikuwa wapi?
ni bora ukafuatilia kwanza.
ugomvi na kilomoni kuhusu hati ulitokea wapi?
 
Mkuu nikisema hujafuatilia, either kwa uzembe wako au kwa kuwa busy na majukumu nakosea?
mbona maswali yote uliyouliza yamejibiwa sana na MO mwenyewe hata kina magori kipindi wanazunguka Kwenye media kutoa ufafanuzi.

na si leo wala jana ni miaka zaidi ya mitatu nyuma walijibu maswali yako yote hayo?
fuatilia interviews hasa ile ya Magori na Mulamu wakiwa E.fm

unauliza thamani ya club haifahamiki kwani kipindi wanathaminisha mali za club ulikuwa wapi?
ni bora ukafuatilia kwanza.
ugomvi na kilomoni kuhusu hati ulitokea wapi?
Mula alisema wazi hawakujua thamani ya Simba Ile interview nilisikiliza
 
ugomvi na kilomoni kuhusu hati ulitokea wapi?
Kilomoni na Hati ilikuwa ili Klabu ithaminishwe. Kama klab ilithaminishwa mbona thamani yake haijulikani?

Kama kina Magori wanajua Mo kwa thamani ya Hisa alizonazo kawekeza shilingi ngapi, mbona hawasemi?

Mo ilisemwa atapewa hisa 49% na wanachama wengine 51% ya Hisa. Wewe unajua hao wenye hizo hisa 51% ni kina nani?

Wewe kama unadai kina Magori walishatoa majibu ya maswali yangu haya, kinakuzuia nini kuweka hayo majibu yao hapa??
 
Uliona wapi Mo kawekeza,
Mo ni mjanja mjanja tu, ataendelea kuleta ujanja ujanja mpaka siku atakapokurupushwa pale ndo aanzushe kulalamika
 
Ukweli ni upi sasa hapo umeishia kujiuliza mswali tu.. ulisema UKWELI basi uwe ukweli... Sio maswali ya ajabu ajabu mradi umeleta uzi
 
Ukweli ni upi sasa hapo umeishia kujiuliza mswali tu.. ulisema UKWELI basi uwe ukweli... Sio maswali ya ajabu ajabu mradi umeleta uzi
Shuleni kuna kanuni mbali mbali za kuelezea mambo tulizofundishwa, mojawapo ni hii ya kuuliza maswali.

Ukisoma vizuri hayo maswali yako kinyume na kinachoaminiwa na wengi. Kwa ivo huo ndiyo ukweli.

JF wakati mwingine huwa hatufanyi "Baby feeding"
 
Kilomoni na Hati ilikuwa ili Klabu ithaminishwe. Kama klab ilithaminishwa mbona thamani yake haijulikani?

Kama kina Magori wanajua Mo kwa thamani ya Hisa alizonazo kawekeza shilingi ngapi, mbona hawasemi?

Mo ilisemwa atapewa hisa 49% na wanachama wengine 51% ya Hisa. Wewe unajua hao wenye hizo hisa 51% ni kina nani?

Wewe kama unadai kina Magori walishatoa majibu ya maswali yangu haya, kinakuzuia nini kuweka hayo majibu yao hapa??
JF huwa hatufanyi baby feeding..................
katafute mwenyewe, majibu yapo kwenye interviews za hao watu.
 
Sijui wewe una umri gani. Lakini mimi wakati Yanga inafungwa bao sita bila (6-0) nilishakua duniani tayari napumua na kuijua dunia.

Hoja yangu ni kwamba haya mambo ya Uwekezaji na Hisa ni mambo ya kitaalam na hayafuatwi na Klabu ya Simba. Hakuna hatua hata moja ya kitaalam iliyofanyika tokea ule mkutano ulioridhia Mo kupewa Asilimia arobaini na tisa (49%) ya Klab ya Simba.

Mimi siyo shabiki maandazi bali ni mwanasimba ambaye wakati wote natembea na akili zangu zikiwa kichwani. Kwa nini Klab yetu haithaminishwi na ijulikane thamani yake?

Kwa nini uwekezaji wa Mo hauko wazi ili ijulikane anawekeza kiasi Gani Simba? HIvi ni nani anayejua mwaka jana kwa mfano kwenye msimu uliopita, Simba ilitumia kiasi gani kwenye Usajili, mishahara ya wachezaji na wafanyakazi wa Klab, Gharama za ushiriki wa mashindano ya ndani na ya kimataifa, na mambo ya uwekezaji mwingine.

HIvi ni nani aliamua uwanja wa Bunju uitwe "Mo Arena" na kwa makubaliano gani?
Haya maswali ni extra mile , hakuna wa kukujibu boss , wengi ni matabulalasa
 
JF huwa hatufanyi baby feeding..................
katafute mwenyewe, majibu yapo kwenye interviews za hao watu.
Yaliyoko hayajibu haya maswali yangu.

rodrick alexander ameeleza na huo ndiyo ukweli. Yale mahojiano hayana majibu ya maswali haya.

Kitaalam mahojiano huangaliwa kwenye hitimisho na siyo porojo zilizomo.

Kina Magori hawana majibu ya maswali haya.
 
Haya maswali ni extra mile , hakuna wa kukujibu boss , wengi ni matabulalasa
Ha! Ha! Ha! Ha!

Mzee wa TRAB na TRAT si mtaalam yule? Labda atayajibu, maana ni mwana Simba mwenzetu yule.
 
kwahiyo rodrick ndiyo sikio lako?
huwezi kuskiliza mwenyewe kwa kuwa rodrick amesema?
Niliposema ...Yale mahojiano.. nilimaanisha niliyasikiliza.

Kutumia rejea ya mtu mwingine ni uungwana zaidi kuliko kuonesha wewe mwenyewe ndiye unayejua. so far so Good, i am not the Jack of all Trades.

Hakuna mahali unaweza kuona Simba wana majibu ya maswali haya. Labda yatungwe tu.
 
Niliposema ...Yale mahojiano.. nilimaanisha niliyasikiliza.

Kutumia rejea ya mtu mwingine ni uungwana zaidi kuliko kuonesha wewe mwenyewe ndiye unayejua. so far so Good, i am not the Jack of all Trades.

Hakuna mahali unaweza kuona Simba wana majibu ya maswali haya. Labda yatungwe tu.
umejiandaa vizuri.....
kuwa hawana majibu na wakikujibu wametunga.
Ahsante mkuu, siku Njema.
 
umejiandaa vizuri.....
kuwa hawana majibu na wakikujibu wametunga.
Ahsante mkuu, siku Njema.
Hapana. Majibu ya hoja hii ni ya kitaalam, na utaalam haujafanyika.

Unajua ili uuze hisa ni lazima uwe umejisajili kwenye mamlaka za mitaji na masoko ya Hisa. Kama wangekuwa wamefanya hivyo angalau leo hii thamani ya Klab ingekuw imejulikana na Hisa moja nayo thamani yake ingekuwa imejulikana,

Akaunti ya kuweka hela za Hisa ingekuwa imefunguliwa, namna ya kuuza hizo hisa na siku rasmi ya kuuza hizo hisa ingetangazwa na ukomo wa idadi ya Hisa ingesemwa.

Sasa haya hayapo, na ukisema yapo ni lazima uwe umetunga.
 
Hapana. Majibu ya hoja hii ni ya kitaalam, na utaalam haujafanyika.

Unajua ili uuze hisa ni lazima uwe umejisajili kwenye mamlaka za mitaji na masoko ya Hisa. Kama wangekuwa wamefanya hivyo angalau leo hii thamani ya Klab ingekuw imejulikana na Hisa moja nayo thamani yake ingekuwa imejulikana,

Akaunti ya kuweka hela za Hisa ingekuwa imefunguliwa, namna ya kuuza hizo hisa na siku rasmi ya kuuza hizo hisa ingetangazwa na ukomo wa idadi ya Hisa ingesemwa.

Sasa haya hayapo, na ukisema yapo ni lazima uwe umetunga.
Wanachama wa Simba hawakupewa.somo la uuzaji.hisa, hata ule mchakato walioteuliwa hawana uelewa wa mambo ya hisa wao walilenga kumuuzia mo hisa Kwa Bei aliyotaja na sio mtu mwingine
 
Wanachama wa Simba hawakupewa.somo la uuzaji.hisa, hata ule mchakato walioteuliwa hawana uelewa wa mambo ya hisa wao walilenga kumuuzia mo hisa Kwa Bei aliyotaja na sio mtu mwingine
Hizo 49% za hisa walizosema wanampa Mo zinatokana na ukokotozi upi uliofanyika? Thamani ya Klab haijulikani sasa hiyo thamani ya hizo hisa 49% wameitoa wapi!??
 
Sijui wewe una umri gani. Lakini mimi wakati Yanga inafungwa bao sita bila (6-0) nilishakua duniani tayari napumua na kuijua dunia.

Hoja yangu ni kwamba haya mambo ya Uwekezaji na Hisa ni mambo ya kitaalam na hayafuatwi na Klabu ya Simba. Hakuna hatua hata moja ya kitaalam iliyofanyika tokea ule mkutano ulioridhia Mo kupewa Asilimia arobaini na tisa (49%) ya Klab ya Simba.

Mimi siyo shabiki maandazi bali ni mwanasimba ambaye wakati wote natembea na akili zangu zikiwa kichwani. Kwa nini Klab yetu haithaminishwi na ijulikane thamani yake?

Kwa nini uwekezaji wa Mo hauko wazi ili ijulikane anawekeza kiasi Gani Simba? HIvi ni nani anayejua mwaka jana kwa mfano kwenye msimu uliopita, Simba ilitumia kiasi gani kwenye Usajili, mishahara ya wachezaji na wafanyakazi wa Klab, Gharama za ushiriki wa mashindano ya ndani na ya kimataifa, na mambo ya uwekezaji mwingine.

HIvi ni nani aliamua uwanja wa Bunju uitwe "Mo Arena" na kwa makubaliano gani?
Haya niambie yanga wamefuata sheria gani ya uwekezaji inawezekana vipi mtu mmoja awakilishe pande mbili upande wa yanga na upande wa GSM na sasa hivi ni raisi wa club au umeshapewa hela ya kiwi kule yanga ndo kuna umafia ameamua kuwapoza wachambuzi wakae kimya ila kule kuna shida kuliko kwenye uwekezaji wa simba.
 
Haya niambie yanga wamefuata sheria gani ya uwekezaji ...
Kuleta hoja ya Yanga ni kutoka nje ya hoja halisi iliyopo. Kama unataka kuanzisha mada kuhusu hoja ya Yanga ni ruksa kuanzisha.

Ila ni ukweli kuwa Simba hali yake ya Uwekezaji wa Mo, ina utata.
 
Kuleta hoja ya Yanga ni kutoka nje ya hoja halisi iliyopo. Kama unataka kuanzisha mada kuhusu hoja ya Yanga ni ruksa kuanzisha.

Ila ni ukweli kuwa Simba hali yake ya Uwekezaji wa Mo, ina utata.
Ikifanikiwa ya yanga inatosha unadhani kuendesha club mchezo nenda kigamboni ukachukue bahasha yako kwa raisi wa mchongo.
IMG-20221029-WA0009.jpg
 
Back
Top Bottom