Ukweli kuhusu uwekezaji wa Mo Dewji Simba ndiyo huu

Ukweli kuhusu uwekezaji wa Mo Dewji Simba ndiyo huu

Kwanza suala la uwekezaji na umiliki wa hisa ni suala la kitaalamu na lina misingi yake, Simba hawaifuati. Mkutano Mkuu wa Simba uliridhia Mo kupewa 49% ya hisa za Simba. Ukototozi wa thamani ya klabu umefanyika? Bado.

Wanachama wa Simba wanamiliki 51% ya hisa za Simba, kwani simba thamani yake halisi ni shilingi ngapi? Hakuna anayejua.

Mo alisema atatoa bilioni 20 kama uwekezaji. Ni uwekezaji ama ni thamani ya hisa atakazomiliki? Hiyo haisemwi.

Wanachama ambao ndiyo wanatakiwa wawe na hisa nyingi, wameshaweka shilingi ngapi kwenye Klabu ya Simba mpaka sasa? Hakuna.

Fedha anazotumia Mo kwenye kuiendesha Simba kwa sasa zinahesabika kama uwekezaji ama kujitolea kwa Mo? Kama ni uwekezaji, ni sehemu ya hisa ama ni zile bilioni 20 alizosema atawekeza? Mbele ya safari atazidai ama anatoa sandakalawe?

Hili jambo lina mazingile mengi sana.
Hata Yanga ni hivyo hivyo tu.wanahisa vya hivyo vilabu ni akina .je gawio nani anapewa je taarifa ya pesa kama tumapata faida au hasara nani anapewa.Hisa za Simba na Yanga zinauzwa kwenye soko gani.Upigaji tu.ndio maana MO haweki ile 20bl ataweka account gani.
 
Hata Yanga ni hivyo hivyo tu.wanahisa vya hivyo vilabu ni akina .je gawio nani anapewa je taarifa ya pesa kama tumapata faida au hasara nani anapewa.Hisa za Simba na Yanga zinauzwa kwenye soko gani.Upigaji tu.ndio maana MO haweki ile 20bl ataweka account gani.
Yanga bado,acha kuforce mfanano

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Mnavyoanzisha nyuzi na kuponda hakika ndivyo vinavyoifanya SIMBA KUJENGA TAASIS IMARA tofauti na wazembe wanavyodhani
Taasisi aijengwi na majangili.
 
Kwanza suala la uwekezaji na umiliki wa hisa ni suala la kitaalamu na lina misingi yake, Simba hawaifuati. Mkutano Mkuu wa Simba uliridhia Mo kupewa 49% ya hisa za Simba. Ukototozi wa thamani ya klabu umefanyika? Bado.

Wanachama wa Simba wanamiliki 51% ya hisa za Simba, kwani simba thamani yake halisi ni shilingi ngapi? Hakuna anayejua.

Mo alisema atatoa bilioni 20 kama uwekezaji. Ni uwekezaji ama ni thamani ya hisa atakazomiliki? Hiyo haisemwi.

Wanachama ambao ndiyo wanatakiwa wawe na hisa nyingi, wameshaweka shilingi ngapi kwenye Klabu ya Simba mpaka sasa? Hakuna.

Fedha anazotumia Mo kwenye kuiendesha Simba kwa sasa zinahesabika kama uwekezaji ama kujitolea kwa Mo? Kama ni uwekezaji, ni sehemu ya hisa ama ni zile bilioni 20 alizosema atawekeza? Mbele ya safari atazidai ama anatoa sandakalawe?

Hili jambo lina mazingile mengi sana.
Ngoma haichezeki hii
 
Hata Yanga ni hivyo hivyo tu.wanahisa vya hivyo vilabu ni akina .je gawio nani anapewa je taarifa ya pesa kama tumapata faida au hasara nani anapewa.Hisa za Simba na Yanga zinauzwa kwenye soko gani.Upigaji tu.ndio maana MO haweki ile 20bl ataweka account gani.
Unaisemea yanga ipi wewe yenye hisa? Mchakato wa yanga bado unaendelea ata thamani yake bado kuwapata wanahisa lakini wao wamefuata njia bora kulingana na katiba yao na mchakato wao walivyouendesha kiuwazi but simba ndio waliyaknyaga na wanayanywa kwa sasa awana hamu
 
Ukweli mchungu na ambao Wana Simba wengi hawatotaka ku usikia nikua Kuna baadhi ya fedha MO alizitoa Bure kabisa kama Mpenzi na Mwanachama wa Simba, namaanisha katika fedha izo MO ametoa Kwa mapenzi yake.

Kuna baadhi ya fedha ambazo ni Nyingi zinafika (billions) MO alikua akizitoa kulingana na hitaji la Simba Kwa wakati uo wakati klabu ilizihitaji na haikuanazo, Pesa izo alizitoa kwa mafungu si Kwa mkupuo mmoja lakini Kwa makubaliano ya yeye Kuja kurudishiwa hizo fedha Kwa maana hajazitoa kama msaaada.

Mkanganyiko uliopo je! Izi bilioni 20 alizosema ameweka itakua amejumuisha na madeni yake ya nyuma ya makubaliano maalumu ya kulipwa.
Au utakua mzigo mpya kabisa ambao au husiani na fedha anazo zidai Kwa klabu?

Kwa Wale Wana Simba wa ndaaaani Wanafahamu ata wenye uwelewa mpana Wanafahamu ila sioni dhambi yoyote Kwa MO kwakula Matunda ya kazi za mikono yake.

Mla huliwa, kwasasa tumwache MO afaidi matunda ya uwekezaji wake, pesa alizo jitolea, alizo kopesha na alizo wekeza ni Nyingi sana.
Kwasasa tumwache afaidi fedha zilizo ingia Kwa Mikataba mipya ya klabu, na klabu kufuzu Makundi.
Sawa aliwekeza pesa nyingi,je amelipia shilingi ngapi yale matangazo aliyotangaza kupitia jezi na club ya Simba?

Kama Azam wanaweza kuweka zaidi ya 40 B kwa club moja ambayo hata haitangazi sana bidhaa zake,vipi kwa Mo si malipo yanaweza kuwa mara mbili ya hiyo?

Sio kweli kwamba Mo alitoa pesa zake bure au kwa mkopo.Kama ni hivyo atuoneshe alizolipia matangazo ya biashara zake.

JamiiForums mobile app
 
Halafu hili swala la Mo ni la usalama wa Taifa,yeye na wanasheria wake wasilichukulie poa.
Nimewatahadharisha tu,unless kama anapima upepo JamiiForums mobile app
nitakubaliana na wewe kama hao usalama wameanza wakati huu kuwa serious na mambo ya nchi yetu....
lkn nikitazama namna hanganya anaendesha nchi, napata mashaka kama wapo serious kihivo,

labda tusubiri, maana ashakabidhiwa chama rasmi, labda walikua wanangoja hilo
 
nitakubaliana na wewe kama hao usalama wameanza wakati huu kuwa serious na mambo ya nchi yetu....
lkn nikitazama namna hanganya anaendesha nchi, napata mashaka kama wapo serious kihivo,

labda tusubiri, maana ashakabidhiwa chama rasmi, labda walikua wanangoja hilo
Ngoja tusubiri tuone!!
 
Back
Top Bottom