Ukweli kuhusu uwekezaji wa Mo Dewji Simba ndiyo huu

Hata Yanga ni hivyo hivyo tu.wanahisa vya hivyo vilabu ni akina .je gawio nani anapewa je taarifa ya pesa kama tumapata faida au hasara nani anapewa.Hisa za Simba na Yanga zinauzwa kwenye soko gani.Upigaji tu.ndio maana MO haweki ile 20bl ataweka account gani.
 
Yanga bado,acha kuforce mfanano

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Mnavyoanzisha nyuzi na kuponda hakika ndivyo vinavyoifanya SIMBA KUJENGA TAASIS IMARA tofauti na wazembe wanavyodhani
Taasisi aijengwi na majangili.
 
Ngoma haichezeki hii
 
Unaisemea yanga ipi wewe yenye hisa? Mchakato wa yanga bado unaendelea ata thamani yake bado kuwapata wanahisa lakini wao wamefuata njia bora kulingana na katiba yao na mchakato wao walivyouendesha kiuwazi but simba ndio waliyaknyaga na wanayanywa kwa sasa awana hamu
 
Sawa aliwekeza pesa nyingi,je amelipia shilingi ngapi yale matangazo aliyotangaza kupitia jezi na club ya Simba?

Kama Azam wanaweza kuweka zaidi ya 40 B kwa club moja ambayo hata haitangazi sana bidhaa zake,vipi kwa Mo si malipo yanaweza kuwa mara mbili ya hiyo?

Sio kweli kwamba Mo alitoa pesa zake bure au kwa mkopo.Kama ni hivyo atuoneshe alizolipia matangazo ya biashara zake.

JamiiForums mobile app
 
Halafu hili swala la Mo ni la usalama wa Taifa,yeye na wanasheria wake wasilichukulie poa.
Nimewatahadharisha tu,unless kama anapima upepo JamiiForums mobile app
nitakubaliana na wewe kama hao usalama wameanza wakati huu kuwa serious na mambo ya nchi yetu....
lkn nikitazama namna hanganya anaendesha nchi, napata mashaka kama wapo serious kihivo,

labda tusubiri, maana ashakabidhiwa chama rasmi, labda walikua wanangoja hilo
 
Ngoja tusubiri tuone!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…