Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitolee unafiki...
Nakushauri Tafuta Katekisimu Katoliki itakusaidia sana..
Una spiritual dilema na maswali mengi...
Mungu akusamehe kwa kuwa hujui ulisemalo... ndivyo tulivyofunzwa sisi kuwajibu watu wa namna yako.Huwezi ukawa mkatoliki halafu usiunge mkono ukatoliki. Wewe ni mnafiki mkubwa tu. Hata huko uliko hapakufai kwani hujui unachojua na usichojua.
Huna tusi kubwa zaidi ya hili??Illiterate by nature.......!
mkuu cha msingi ni kushika biblia tu halafu Sunday kama kawaida unaingia kanisani mambo mengine watajua wao.Huna tusi kubwa zaidi ya hili??
Kasome Yakobo 1:26-27, utaijua dini iliyosafi mbele za MunguEti ni wapi umesoma duniani hakuna dini ya kweli..?
moja ya point yangu ambayo huwa napenda kuitumia sana ni hii hapa.Katika moja ya apparitions za mama Maria alisema ilipo sanamu yake ni sawa na kuwepo kwake yeye mwenyewe. Nilizaliwa m-Katoliki na nitakufa m-Katoliki. Ninasali rosary tena raha kukutana na watu wa mataifa mbali mbali mnasali international rosary.
Ok!Kasome Yakobo 1:26-27, utaijua dini iliyosafi mbele za Mungu
Mtu asijidanganye anayo dini ya kweli....Hakuna dini iliyo ya kweli duniani.
mkuu kama mtu hataki kutumia biblia achananae uzuri ni kwamba maandiko ndio kitu cha msingi kabisa ambacho mtu apaswa kukifuata na si vinginevyo.Kasome Yakobo 1:26-27, utaijua dini iliyosafi mbele za Mungu
Unaishikaje biblia..??mkuu cha msingi ni kushika biblia tu halafu Sunday kama kawaida unaingia kanisani mambo mengine watajua wao.
Hahahaha....Huyo mbumbumbu mwenzako alisema Duniani hakuna dini ya kweli....mkuu kama mtu hataki kutumia biblia achananae uzuri ni kwamba maandiko ndio kitu cha msingi kabisa ambacho mtu apaswa kukifuata na si vinginevyo.
Maandiko yanasemaje kuhusu DINI
Kamata hii
Yak 1:27
Dini iliyo safi ni Kwenda kuwatizama Yatima na Wajane katika dhiki yao na kujilinda na dunia pasipo mawaa...
Vipi unapingana na maandiko..?
Fanya hivi mkuu usiniulize swali lolote lile cha msingi kama umeelewa kilichoandikwa hapo juu basi haina haja ya mabishano.Unaishikaje biblia..??
Swali langu ni la msingi mno...Fanya hivi mkuu usiniulize swali lolote lile cha msingi kama umeelewa kilichoandikwa hapo juu basi haina haja ya mabishano.
Pamoja na changamoto za maisha lakini ninapata muda wa kusoma Biblia na ninaielewa ingawa nimeanza kujifunza miaka hii ya karibuni.Swali langu ni la msingi mno...
Unashikaje Biblia...? Unashika kwa mkono..? Unahifadhi akilini maandiko(Unakariri)
Jifafanue nikuelewe
Nzuri sana...ni vyema ungekuwa na Katekisimu yako ikikusindikiza wakati unasomauPamoja na changamoto za maisha lakini ninapata muda wa kusoma Biblia na ninaielewa ingawa nimeanza kujifunza miaka hii ya karibuni.
Asante sana, Katekismu kwakweli sijui nimeiweka wapi, nina Chuo Kidogo cha Sala, nikienda bookshop nitanunua Katekisim.Nzuri sana...ni vyema ungekuwa na Katekisimu yako ikikusindikiza wakati unasomau
Yap! Pale Paulines book shop zinapatikana....Nafikiri ni Sh! 25,000 inauzwaAsante sana, Katekismu kwakweli sijui nimeiweka wapi, nina Chuo Kidogo cha Sala, nikienda bookshop nitanunua Katekisim.
Asante sana mkuu.Yap! Pale Paulines book shop zinapatikana....Nafikiri ni Sh! 25,000 inauzwa
1.wewe biblia unaishikaje ?Swali langu ni la msingi mno...
Unashikaje Biblia...? Unashika kwa mkono..? Unahifadhi akilini maandiko(Unakariri)
Jifafanue nikuelewe
nyie ndio mnao kashifu dini za watu wakati papa John Paul ii alifanya kazi kubwa kuleta ulafiki na dini zingine.