- Thread starter
- #181
huyu jamaa nafikili si muelewa kabisa anashindwa kuleta ushahidi wa kimaandiko kabisaUko sahihi mimi ni mtupu kwako,kwa sababu naongea vitu ambavyo huvielewi.Mkuu tulia kwanza naona kama kuna vitu umepata sasa unataka kunidisturb ili niharibu noo brother,loose your temper not.Usifanye hivyo,kwa hiyo rafiki umenielewa au nikuache upumzike kesho niendelee kukuelimisha?Unajua tena brain ya mwanadamu ina kiwango maximum cha kupokea kikifikiwa unakuta mtu anakuwepo ila haelewi somo.