Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Ex-comminicated maana yake ni kutengwa...unataka maana gani tena...?toa definition ya excommunication ili tuanzie hapo kwa nn uogope biblia wakt ndo tuitumiayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ex-comminicated maana yake ni kutengwa...unataka maana gani tena...?toa definition ya excommunication ili tuanzie hapo kwa nn uogope biblia wakt ndo tuitumiayo
Hii ni kejeli ya kawaida sana... huna mpya kubwa zaidi?Yaelekea uwezo wako wa kufikiri ni mdg sana.....!tusi likowapi hapo......?
fr nkewera na fr kibwetere.....!!!! jamani kama hatujui tukae kimya.hawa ni kina nani ndani ya kanisa katoliki.tuache kugushi habari....naona tumeambukizwa tabia chafu ya kugushi na nanahii...Unafahamu kejeli wewe au unabwabwaja...???
Hakuna haja ya kwenda huko...ipo wazi...Sheria za kuendesha taasisi fulani usipozifuata na kutaka kuleta zao njia iliyobaki ni kufukuzwa/kuondolewa...ili uwe huru kufanya unayoyataka...
Fr. Nkewera alifukuzwa, Fr. Kibwetere alifukuzwa...Kufukuzwa ni kitu cha kawaida ili walengwa wasiliharibu kanisa...
Wokovu ni nini..?Asprin upo karibu na wokovu
Ukanijibu hiviWokovu ni nini..?
Sasa hiki ulichokiandika ulimaanisha nini..??sijui
Asprin upo karibu na wokovu
Umeshawahi kuliona pepo..?Sasa uje ukemee pepo kwa jina la Maria uone litakavyokufanya
Ahaa!Mimi ni mkatoliki nisiyeunga mkono uwepo wa masanamu kanisani... Na ijumaa kuu huwa sijiangaishi kubusu msalaba. Sisali rozari kwakuwa naamini bikira Maria hawezi kusikia sala zangu...
Ntabakia mkatoliki kwa msimamo wangu.
Wewe pilipili za shamba usizozila zinakuwashia nini. ? Are you want to become a Catholic...??
Uko huru sasa yesu akija leo wewe atakuweka kundi ganAhaa!
Sasa Mkuu hapo si usitishe tu kuhudhuria kanisani.
Bahati nzuri nimezaliwa katika kanisa la katoliki na nimepata kukaa na Ma-padri na Masisita bila kusahau Elimu ya Religion na Bible knowledge.
1.kanisa katoliki Linamambo mengi ambayo waamini hawayafahamu na pengine hawataki hata kuyatambuaa vyema.
2.Wakatoliki wengi ni wavivu wakusoma Biblia huu ni ukweli mchungu.
3.Wakotoliki wengi ni waoga wakuuliza maswali mbalimbali yahusuyo kanisa.
Nb: Nipo huru sina kanisa wala Buddhism/Islamic/Christianity/Baha'i/Hinduism.
Umenifanya nicheke na kukumbuka "heri uwe moto au baridi kuliko kuwa vuguvugu"Uko huru sasa yesu akija leo wewe atakuweka kundi gan
Mkuu wewe uko sahihi kabisa. Vijana kama kina Otorong'ong'o jiwe la majiwe hawawezi kukuelewa kabisa. Wao ili mradi kitu kimeandikwa kwenye katekisimu wao kwao ndio sheria.Ahaa!
Sasa Mkuu hapo si usitishe tu kuhudhuria kanisani.
Bahati nzuri nimezaliwa katika kanisa la katoliki na nimepata kukaa na Ma-padri na Masisita bila kusahau Elimu ya Religion na Bible knowledge.
1.kanisa katoliki Linamambo mengi ambayo waamini hawayafahamu na pengine hawataki hata kuyatambuaa vyema.
2.Wakatoliki wengi ni wavivu wakusoma Biblia huu ni ukweli mchungu.
3.Wakotoliki wengi ni waoga wakuuliza maswali mbalimbali yahusuyo kanisa.
Nb: Nipo huru sina kanisa wala Buddhism/Islamic/Christianity/Baha'i/Hinduism.
Wokovu ni nini..?
Katekisimu ni nini...?Mkuu wewe uko sahihi kabisa. Vijana kama kina Otorong'ong'o jiwe la majiwe hawawezi kukuelewa kabisa. Wao ili mradi kitu kimeandikwa kwenye katekisimu wao kwao ndio sheria.
Mada iko mezani njoo na majibu kuhusu uwepo wa sanamu na kama zinaabudiwa au haziabudiwi. Sasa unakuja na imani moja,katekisimu na ukatoliki wa nini?!! Jadili mada ya msingi ndugu. Hakuna haja ya lugha kali wala matusi,toa maelezo na ushahidi hata asie na imani kama yako aelewe kwanini unaona sawa uwepo wa sanamu kanisaniKatekisimu ni nini...?
Huenda hata hiyo katekisimu hujui maana yake...
Kwel mi huwa nashangaa wanapata wap mamlaka hayo wakat amri kumi za mungu wamekatazahakuna dhehebu nnalolichukia kama waroma...na hayo madude wanayaabudu na kwenda kinyume na amri za Mungu.
imeandikwa usijifanyie sanamu ya kuchonga wala kitu chochote kilicho mfano mbinguni,baharini,nchi kavu etc...na kukiabudu.
lakini hawa ndo kwanza ukiingia unakuta kila kona wamechonga masanamu ya maria mtakatifu...masanamu ya yesu..hivi mliwah kuwaona? nyie ndo kwanza mmekazana na rozari mnabusu na zina sanamu ya yesu..ni wazima nyie?
mnachefua.
Umeelewa alichoandika mtoa mada..?Mada iko mezani njoo na majibu kuhusu uwepo wa sanamu na kama zinaabudiwa au haziabudiwi. Sasa unakuja na imani moja,katekisimu na ukatoliki wa nini?!! Jadili mada ya msingi ndugu. Hakuna haja ya lugha kali wala matusi,toa maelezo na ushahidi hata asie na imani kama yako aelewe kwanini unaona sawa uwepo wa sanamu kanisani
Mungu amekataza wapi..? Hakuna mahali Mungu kakataza kuchonga sanamu..Kwel mi huwa nashangaa wanapata wap mamlaka hayo wakat amri kumi za mungu wamekataza
Ndugu yangu kasome vzr amri.kumi za Mungu. Au nyie katoliki.mmeziedit kwa biblia yenuMungu
Mungu amekataza wapi..? Hakuna mahali Mungu kakataza kuchonga sanamu..