Ukweli Kuhusu Wakazi Halisi wa Nchi Takatifu (the Holy Land)

Agenda kubwa ya Waislam
 
Tatu ni kuwa hawawataki nchini kwao ulaya yote, kwa hivyo wanajaribu kwa vyo vyote kuwabakisha hapo hapo walipo.
 
Wewe unaejua zaidi ya wenye nchi msikilize huyu mama Golda Meir (natumai unamjua alikuwa nani)


View: https://www.youtube.com/watch?v=J2zvHcGNZXQ
 
Wewe unaejua zaidi ya wenye nchi msikilize huyu mama Golda Meir (natumai unamjua alikuwa nani)


View: https://www.youtube.com/watch?v=J2zvHcGNZXQ
Bitimkongwe PM Golda Meir anachosema ndicho UMOJA wa MATAIFA mwaka 1947 walikisisitiza, kuwa kulikuwa tu na Palestine land ambayo kwa miaka hiyo wakazi wake walikuwa Jews na Arabs. Baadae ya kuona watu Hawa hawawezi kupikwa chungu kimoja ndiyo wakaja na Resolution 181 (II) ya kuunda two states za Jewish state na Arab state. Nikakuwekea na Ramani ya Mipaka yake. Wayahudi waliukubali LAKINI Waarabu wakakataa.
Na ndipo ninaposisitiza kuwa chuki hiyo kwa Wayahudi imo kwenye Quran. Na pia Quran hiyo hiyo inachochea chuki ya Waislam kwa Wakiristo.
Soma Aya 9:29 Aya 5:51 na sahihi Muslim Hadith 2922 zote zinachochea chuki.
Na pia Waislam wanawafundisha watoto wao kwenye madrasa Tangu watoto kuwa na hii chuki
Ona hii Twitter

View: https://x.com/AmFuzzy/status/1712571289804972480?s=20
 
Ilipogawanywa SUDAN kuwa Sudan kusini na kaskazini walifurahia. Ilipogawanywa PALESTINE kuwa Palestine na Israel wanapiga kelele wanasema hakukuwa na nchi inayoitwa Israel. Mtu akivaa kobazi akafuga na ndevu basi anajiona yeye ndio mjomba wake mtume. ELIMU, ELIMU,ELIMU
 
Baadae ya kuona watu Hawa hawawezi kupikwa chungu kimoja ndiyo wakaja na Resolution 181 (II) ya kuunda two states za Jewish state na Arab state. Nikakuwekea na Ramani ya Mipaka yake. Wayahudi waliukubali LAKINI Waarabu wakakataa.
kwanza historically wote walikuwa chini ya ottoman empire na wala hakukuwa na 'kupikika chungu kimoja wala nini" , walikuwa wanaishi kwa moyo mmoja. Na ndiyo maana yeye anasema alikuwa na Palestinian passport before 1947. Jews pia walikuwepo Egypt, Iraq, Iran, Lebanon na Syria kwa miaka elfu yote hiyo wakifanya shughuli zao kwa amani kabisa.

Umewahi kusikia vita ya yahudi na muarabu kabla ya 1947? Hiyo yote ilikuwa ni 'divide and rule' ya muingereza na hiyo ndiyo aliyokuwa anayosema Golda Meir.

Umewahi kuwasikia 'ahlul kitab' kwenye qur'ani? Basi nikueleze ni wale 'wanaofuata kitabu' - yaani jews na christians. Bila ya shaka unachukuwa half a sentence kwenye qurani halafu munasema imeamrisha iuwe wakristo na yahudi.
 
Hili Ni Jambo ambalo Lina ukakasi Sana lakini Leo ntaweka wazi ukweli ulivyo ..ishu iko hivi waisrael wa sasa sio real Jews ..hawa kiasili Ni watu wanaotokea Kazakhstan ya zamani na uturuki na wanatokea katika kabila linaloitwa khazars...kwanini wanaitwa wayahudi?...Hii ni kwa sababu jamii hii ya watu ilikubali kubadili dini zao na kujiunga na dini ya uyahudi ...kwa hiyo Hawa watu walikuwa converted to Jews ...since there wakaanza kujiita wayahudi na pia wakatambulika hivyo ......JE WAYAHUDI HALISI WAKO WAPI?....katika kipindi ambapo yesu alikuwa anazaliwa Israel ilikuwa ni Roman colony...ilikuwa chini ya mamlaka ya waroma ...waroma walimchagua mfalme herode Kama mfalme wanayemtambua na kumfulusha aliyekuwepo.....katika kipindi hiki harakati za kusambaa dini ya ukristo zilikuwa zimepamba Moto na waroma walikuwa hawakubaliani na dini hii mpya...so baada ya kifo cha yesu waroma walipiga marufuku harakati za kusambaa ukristo...hii iliendana na utesaji na mauaji ya pro Christian katika kipindi hiki ndipo wafuasi waliuuwawa kwa wingi..policy hii ilikuwa inaitwa Christian persecution...pamoja na serikari ya kikoroni ya waroma kuzuia harakati za ukristo Bado wafuasi hawakukata tamaa...hivyo Basi historia inasema mwaka 70...waroma walikuja na mpango mwingine wa kuwahamisha waisrael wote katika eneo hilo na kubadilisha kabisa jina la eneo hilo na kuliita Palestine maana yake ardhi isiyokuwa na mwenyewe...hivyo Basi waisrael wengi waliuuwawa na wengine kukimbia na hapa kwa msisitizo mwamba Hawa watu walikimbia kusini ambako kulikuwa na watu wanaofafana nao yaani weusi wenzao..kwa maana hiyo ukiingalia ramani kusini maana yake ni maeneo ya misri na Ethiopia..ILIKUWJE HAWA WAISRAEL WA SASA KUISHI HAPO.. mwaka 1948 ndipo Israel ya sasa ilizaliwa Kama nilivyosema Hawa watu Ni wayahudi wa kusilimu na sio waisrael na Hawa Ni wazungu ..kwa sababu ulaya na maeneo mengi duniani dini zinazotambulika ni ukristo na uislamu ..so uyahudi Ni dini inayopinga ukristo hivyo Basi kundi hili la watu lilitengwa sehemu kubwa ya dunia na hii kupelekea kuuwawa watu milioni sita na hitrer kwenye tukio linaloitwa Holocaust...hivyo Basi wakubwa wa dunia walikuja na mpango wa kulitafutia mahali pa kuishi kundi hili na kulikuwa na suggestion nyingi kuhusiana na wapi wapelekwe kuishi ambako kutakuwa Ni salama ..maeneo mengi yalitajwa ikiwemo Uganda..ndipo wao wenyewe kupitia kiongozi wa wayahudi feki theodol hezir kusugest kuwa wapelekwe kwenye nchi yao ya ahadi ambapo Ni Palestine...so ikawa rahisi kwa sababu Palestine ilikuwa chini ya nwingereza so Jambo hili likafanikiwa 1948 wakaanzisha nchi yao inayoitwa Israel chini ya Ben gulion Kama first prime minister...so ni kosa wao kujiita WAISRAEL lakini sio kosa kujiita wao wayahudi kwa sababu mtu yeyote anawezabkuwa myayaudi kwa sababu Ni Imani Ila uisrael Ni asili ya watu ambao sio wao kwa sababu waisrael wenyewe Ni weusi sio wazungu wakati wao Ni wazungu....na waisrael HALISI yaani ambao kitaalamu wanaitwa biblical Jews wapo na mpaka jamaa zake yesu wapo na wanaishi Ethiopia..wanafuata tamaduni za biblia...
 
Siyto kwe;li. ninadhani umepata mafundisho ya mtu moja anayejiita nabii kwani ana maelezo yanayofanana na haya uliyoandika. Soma Biblia Takatifu ndipo utaujua UKWELI nao utakuweka huru.
 
Jifunze kuandika kwa kifupi.
 
weka chanzo cha hiki ulichoandika yaan online link au ni mawazo yako tu?
 
Kwa mwandiko huu, wewe hata la 7 B inaweza kuwa hukufika. Sasa kweli ma GT wa JF tujadili na mada yako?
 
Bila shaka
wewe ni mkristo, Na umeandika haya kwa mtazamo wa kikristo, na maana umetumia rejea kutoka kwenye ukristo, je asili ya uyahudi ni nini? Na je Messiah aliwapinga au aliwaongoza? Kwanini walimkataa na hadi sasa wanamkataa? Na je ni kwanini wakristo wanajipendekeza kwa wayahudi? Ahsante ndugu muandishi
 
Kwani wayahudi wanamkubali kristo? Au ndio uzamwamwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…