Ukweli Kuhusu Wakazi Halisi wa Nchi Takatifu (the Holy Land)

Ukweli Kuhusu Wakazi Halisi wa Nchi Takatifu (the Holy Land)

Sawa, nao Waarab wamefanya nini katika kuleta mandeleo hapa duniani? Katika masuala ya kiroho, hapa Afrika kila jamii (kabila) lilikuwa linaamini Mungu kutokana na mila na imani zao kabla ya wasanii Waarab kuja kutudanganya na dini yao isiyo na mashiko kwetu. Katika imani zetu, hatujawahi hata siku moja kuuana kumgombea Mungu kwani kila mmoja aliamini Mungu kwa imani yake kutokana na ukanda anaoishi au kabila lake na tuliishi kwa amani huku tukiheshimiana.

Katika suala la ngono kama unavyodai, sikatai kuwa wanadamu tunapenda ngono na ni kitu ambacho kipo na kugegedana ni haki ya kila mtu kwani ni starehe na pia ni nzuri kiafya. Ukiangalia takwimu kwenye mitandao nchi zinazoongoza kuangalia sinema za X za kujamiana jinsia moja utakuta nchi za Waarab, Pakistan ndiyo vinara na hizi ni nchi za Kiislam. Unapata picha gani hapa? Ndugu zanguni Waislam mnakalia unafiki tu wakati hampendi ukweli, msijidanganye jamani, hamkeni muda ndiyo huu.
Mbona unawashambulia sana Waarabu na Waislam wamekukosea nini jamani?
 
Mimi siyo mwanasayansi Mimi ni muumini wa Mungu na ni mwanahistoria kindaki ndaki maana History haidanganyi hata siku moja.Hivyo propaganda za kisayansi kwenye uumbaji hazina ukweli wowote.Ila kwenye madawa,maendeleo ya binadamu,viwanda na biashara hapo sayansi ina ukweli.Lakini kwenye uumbaji na Genesis ya Ulimwengu huu sayansi inadanganya.
Kwa hiyo wewe unaamini Mohammed ni mtume kweli wakati hakuna ushahidi wowote ule kuwa Mungu alimleta duniani kuwa mtume wake?
 
Back
Top Bottom