Ukweli Kuhusu Wakazi Halisi wa Nchi Takatifu (the Holy Land)

Kuna upogo kwenye andiko lako,baada ya wayahudi kufurushwa Israel na byzantine,ni khalifa ummar ndiye aliyewarudisha,rejea ummar pact,halafu crusaders walifurushwa hapo Saladin,hao wayahudi mtume saw kaishi nao na wakiishi arabuni miaka nenda Rudi,vurugu zote zilizotokea tangu na.tangu hawakuingiliana na watu wengine na kuzaana?!..bado ni walewale tu?
 
Kwa nini unachanganya dini na ardhi?..wapelestina wanapambania ardhi yao na si waislam,mtazamo wako kwenye hili suala unaongozwa na dini,hapakua na nchi ya Israel kabla ya 1948 Bali hiyo nchi iliitwa palestina,na khalifa ummar ndiye aliyewarudisha wayahudi Palestine, soma ummar pact,ipo hata mtandaoni
 

Hakuna wa kuishinda Israel. Subiri majeshi ya ardhini yaanze operesbeni uone magaidi wa Hamas watakavyofyekwa. Safari hii damu itamwagika kwelikweli.

Hamas watajuta kuiva.mia Israel.

Mungh ibariki Israel.
 
Namfuye Historia ya Wayahudi inaanzia kwa Jacobo, ambaye alikuja kuitwa Israel. Babu yake Abraham alikuwa Chaldean (mkaldayo) wakazi wa Ur. Kwanini Mungu alimchagua Abraham kati watu wengine wote hata ingawa nyakati hizo hakuwa amejitambulisha kuunga mkono dini yeyote? Jibu unalipata ktk Warumi 2:14&15 kila mtu ana dhamiri; kwa wale ambao Bado kuijua Sheria yake Mungu, hao huhukumiwa kupitia dhamiri. Mungu kwa kuiangalia dhamiri ya Abraham aliona kabisa huyu anaweza kuwa Rafiki yangu. Ndipo pia Mungu katika kutimiza unabii wake ktk Mwanzo 3:15 akaona ampitishie Yesu katika Taifa la Israel.
Sasa wewe unaweza kuwa Baba uliyemshika sana Mungu lakini hiyo haigarantii kuwa watoto wako wote watamfuata Mungu. Hiyo ilianza kutokea kwa watoto wa Abraham kuanzia na Ishmael akishawishiwa na mama yake Haigar.
Watoto wa Isaac, Jacobo alikuwa mtii, wakati Esau hakumshika Mungu.
Hiyo ikaenda hivyo hivyo kwa watoto 12 wa Jacobo. Kizazi Cha makabila 10 kilishondwa kushika kikamilifu maahizo ya Mungu, hivyo kunyimwa privilege ya kuwa ukoo wa kifalme, wakati kizazi Cha kabila la Benjamin na Yuda walikuwa watiifu.
Mfalme wa kwanza alikuwa Saul, wa kabila la Benjamin, lakini kwa sababu alikosa utii kabila hilo likakosa privilege ya ufalme na badala yake akapewa Daudi wa kabila la Yuda. Na ndyo ikatambulika kuwa Yesu ni wa kabila la Yuda.
Sasa ukifuata mlolongo hapo juu ndyo utaona kuwa si kwamba wayahudi wote walimkataa Yesu. Mfano wa Mwanzo wa wayahudi waliomkubali Yesu ni Petro, matayo yohana etc. Na mpaka sasa wako wayahudi ambao siyo Dini ya Judah (Yuda).
Siyo kwamba wakiristo tunajipendekeza kwa Wayahudi. Ila Moja tunaheshimu historia ya wapi ukiristo ulikotokea; tunajua fika hawamtambui Yesu kama yule Masiya aliyeahidiwa. Ila wanatambua alikuwepo katika nchi yao na walimuua.
Kuchagua kati ya Wayahudi na Waislam, wakiristo tunachagua kuwa na wayahudi
1. Mafundisho yao hayawajengei chuki ya kuwaua wakiristo Wala Waislam. Wakati Yale ya Waislam yanasema waziwazi UA hao wayahudi na Wakiristo
2. Wayahudi hawajajaribu kufutiliabali historia ya Ukiristo wakati Waislam wamefanya hivyo. Dome of the Rock na Al Aqsa mosque ni maeneo ambayo Yana historia ya uyahudi na ukiristo. Waislam kwa Hadith zao za UONGO wamefutilia mbali history ya maeneo hayo.
3. Kule Uturuki kulikuwa na Kanisa kubwa lenye History ya Ukiristo wakati wa Mtume Paulo wamefutilia mbali na kuweka Msikiti, Dunia Mzima iliwasihi Serikali ya Edogan alikataa
4. Jerusalem UN iliazimia mwaka 1947 uwe mji wa Kimataifa-, wayahudi waliukubali lakini Waislam wakakataa
 
Mwanzo wa nchi inayoitwa Israel Leo iliitwa Jewish state of Palestine,wakati nchi ya palestina ilikuwepo kabla ya hiyo 1948,jifunze
Nchi ya Palestine yes ilikuwapo lakini hakukuwa na Palestine state Wala Jewish state. UN ndiyo ilitaka kuanzisha mataifa hayo lakini Waarabu wakakataa.pia azimio hilo lingeifanya Jerusalem kuwa International city
 
Nchi ya Palestine yes ilikuwapo lakini hakukuwa na Palestine state Wala Jewish state. UN ndiyo ilitaka kuanzisha mataifa hayo lakini Waarabu wakakataa.pia azimio hilo lingeifanya Jerusalem kuwa International city
Unaelewa hata ulichoandika!?..mkoloni wa mwisho muingereza,akitawala Palestine,nchi,kabla palikua na mturuki,hiyo nchi Leo kuitwa Israel ni mnyimbuliko,hawakuwa hata na jina la nchi,so mwanzo iliitwa Jewish state of Palestine,waundaji wa nchi ya Israel Leo ni uingereza na ufaransa,hao ndiyo baba wa Israel
 
Matatizo ya Israel na Palestine yatatatuliwa KIBIBLIA tu.

Kwanza hakuna nchi imewahi kuitwa Palestine
 
Hakuna nchi takatifu hapa duniani zaidi ya Tanzania, Kenya, Ethiopia. Hizi ndizo nchi ambazo mwanadamu wa kwanza anapatikana hapa, hakuna taifa lingine hapa duniani ambalo linaweza kusema hivyo na ushuhuda tunao wa kuona si wa kusimuliwa tu toka kwenye vitabu vilivyotungwa na binadamu. Never trust the Bible, Qur'an na Torat, si vitabu vya kweli.
 
Hakuna nchi takatifu hapa duniani zaidi ya Tanzania, Kenya, Ethiopia. Hizi ndizo nchi ambazo mwanadamu wa kwanza anapatikana hapa, hakuna taifa lingine hapa duniani ambalo linaweza kusema hivyo na ushuhuda tunao wa kuona si wa kusimuliwa tu toka kwenye vitabu vilivyotungwa na binadamu. Never trust the Bible, Qur'an na Torat, si vitabu vya kweli.
 
Acha UONGO, na usitufanye watu wazima kuwa ni mambumbumbu. Kwa nimekwambia taarifa hizo nimepata Tovuti ya UN, wewe taarifa zako isije kuwa ni za kiislamist maana hao ndiyo kazi yao propaganda zinazoongozwa na chuki iliyokaa kwenye Quran. UN walitaka kuanzisha Jewish State na Arab State. Waislam walipoukataa huo mpango, ndiyo waisrael wakajitangazia uhuru na kuanzisha Israel state.
 
Matatizo ya Israel na Palestine yatatatuliwa KIBIBLIA tu.

Kwanza hakuna nchi imewahi kuitwa Palestine
Mkuu kutokana na literature nilizosoma, nikwamba hapajawahi kuwa na watu wanaitwa wapalestina. Ila kulikuwa na land of Palestine ambayo katika Karne ya 19 na mwanzoni mwa Karne ya 20 ilikaliwa na Wayahudi na Waarabu. Kuanzishwa kwa Taifa la Palestine ambalo ni la Waarabu waliokuwa Wana co exist na wayahudi ni Hila za Kiislam za Waarabu ili kuupumbaza Ulimwengu kuwa wao ndiyo wakazi halisi wa nchi hiyo inayogombaniwa.
Pia nikukumbushe tena kuwa UN mwaka 1947 ilipitisha Azimio kuunda MATAIFA mawili na wakati huo huo kuuweka huru Mji wa Jerusalem kwa Mataifa yote Duniani yenye Dini za Kikiristo, kiyahudi na kiislam; Cha kusikitisha Waarabu walikataa. Kidini hasa ni mafundisho ya Quran ambayo HAMAS pia wameyaweka kwenye Katiba yao. Wewe soma mwenyewe Sahih Muslim Hadith 2922
 
Waislael ni watu weusi walioko Africa ikiwemo wabantu sio Mimi Kwa mujibu wa kitabu kinachoitwa From Babylon to Timbuktu.
Mkuu huu ukweli wanaujua wachache sana, usipoteze muda wala usiumize kichwa kubishana wala kuwaelewesha kitu hawa watumwa wakiarabu na kizungu, acha wauanae ili black jews wajulikane, ilishanenwa kwenye book of Enoch
{there will be no piece till they all kill each others}
 
Ni kweli mkuu, hawa Hamas ni washenzi tu. Mbona Wapalestina wanaoishi West Bank kwenye miji ya Nablus, Ramallah, Bethlehem hawana shida hizo?
 
Hakukuwa na nchi inayotwa Israel kabla ya 1948.
Kuna Documentary moja niliiona kitambo....kwamba waisrael hawa tunaowaona leo si original....Hawa ni planted kwa sababu wanazozijua wenyewe.
Inaeleza kwamba wa Israel utambulisho wao ni mifugo ya kuchunga kama wamasai.
Kwamba ukiona kabila fulani Afrika ni la wafugaji hao ndio wa Israel.
 
Kuna Documentary moja niliiona kitambo....kwamba waisrael hawa tunaowaona leo si original....Hawa ni planted kwa sababu wanazozijua wenyewe.
Inaeleza kwamba wa Israel utambulisho wao ni mifugo ya kuchunga kama wamasai.
Huo ni ukweli, hawa wanaitwa ashkenzazi.

Watu kitu wasichoelewa ni kuwa Wayahudi walikuwa wanaishi Palestina kama wanavypishi kwengine, wao na imani yao lakini ni raisa wa Palestina. Mpaka walipoletwa hao mapandikizi kutoka Ulaya.
 
Kumbe mpuuzi,kaa na upuuzi wako
 
Ni kweli mkuu, hawa Hamas ni washenzi tu. Mbona Wapalestina wanaoishi West Bank kwenye miji ya Nablus, Ramallah, Bethlehem hawana shida hizo?
Halafu Wana Maendeleo mazuri tuu, kwa sababu ya kutofanya vita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…