Uchaguzi 2020 Ukweli: Lissu atashinda uchaguzi wa Oktoba kwa 70%


Ukweli mtakatifu ndo huu
 
Nilisikia yeye akisema eti awamu hii kuifikisha nchi kwenye pato la kati

Kikwete akaja sema huu mpango ulianza toka zaman mwinyi kafanya yake , mkapa yake na mimi yangu kisha ikatimia

Kwamba akawa kama kampinga flani
 
Mwaka 2015 si mpipata 40% ya kura , basi toa 20%, sio maneno yangu ni ya lissu, unapoteza mda sana kuandika upuuzi apa mgombea mwenyewe anajua anaenda kufa,

Zero brain ndo umesha type ivo na kazima na data😁
 
Kuna lile la makorosho... magu alizingua

Kuna lile alinunuaga kivuko kwa mabilioni alafu alivokua rais akasema anawapa wanajeshi ili msimdiskasi....

Magu ana taabu mwaka huu... nyeee
 
Labda zinaingia kwenye akili za nyumbu
Kifo cha CCM ndio kimeanza hata mufanye nini niThe beggining of the End of Natural death hata Magufuli akishinda uchaguzi

Kifo hakina huruma
 
Kifo cha CCM ndio kimeanza hata mufanye nini niThe beggining of the End of Natural death hata Magufuli akishinda uchaguzi

Kifo hakina huruma
Toka 2005 mnasema ivyo ivyo, nuthn new happened nuthn new will happen.
 


povu la nn baba, SGR ipo na hii ingine ipo shida iko wap
 
Mbona huulizi African National Congress (ANC) wako WAPI?
 
Wao sio wajinga, nchi imeendelea na bado inahitaji kunufaisha wananchi wake, na ukijipendekeza kwake atakutumia tu kujinufaisha
 
Lissu akishinda uchaguzi nitakwenda hospitali nifanyiwe operation ya kurudishiwa govi langu la Kihaya na Kinyakyusa
 
Kura atakazopata Hashimu Rungwe,zitakua mara dufu ya kura za Lisu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…