MOSintel Inc
JF-Expert Member
- Mar 24, 2016
- 817
- 593
Hahaha....Malipo kwa installmentNaungana na ww kwa [emoji817] ..wastaafu umewasahau mkuu .. yaani mtu ilitakiwa alipwe miloni 60 lkn anapewa 10 nyingine anadai hd kifo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha....Malipo kwa installmentNaungana na ww kwa [emoji817] ..wastaafu umewasahau mkuu .. yaani mtu ilitakiwa alipwe miloni 60 lkn anapewa 10 nyingine anadai hd kifo
Havimletei Chakula nyumbani.Mwana kujiji wa kule kilimarondo hiyo SGR na Flyover haoni umuhimu na havimsaidii kitu
Wamepanic.Lowasa yupi huyo? Au unamsema huyu kada wa ccm? [emoji23][emoji23]
Kweli mataga safari hii gia zimegoma.
Sio kumfukuza Membe tu. Kuna yale ya kuwadhalilisha wazee Kinana na Makamba. Haya ndo yamewakera sana wana CCM. We hukuona juzi kwenye mikutano ya CCM , Yaani wana CCM wanamshangilia Kinana kuliko Mwenyekiti wao!!Kuhusu mgawanyiko ni kweli. Na unaambiwa mchakato wa wazee wa CCM yao kumdhibiti mwenyekiti wa CCM-MPYA asiongeze muda unaanza na huu uchaguzi wa mwaka huu.
Chair amejaribu ku side na Lowassa lakini kagundua Team Membe wana nguvu sana mikoani na si katika kamati kuu.
Unaambiwa kumfukuza Membe bila sababu ya msingi imewakera Wazee wa chama.
Nakwambia hakika! Magufuli hashindi uchaguzi wa mwaka huu! Akipona ni aombe serikali ya mseto ambayo hata hiyo inategemea Lissu akubali au akatae.
Kumbe upeo wako ndo uko hivyo??? Katiba mpya kwa akili yako ni hitaji binafsi??Hayo ni mahitaji binafsi....
Sawa ila nakupa tahadhari tu. Hayo maneno yatakurudia kuwa kwa upande wako!!Mkuu hii nyuzi naihifadhi, nitaiibua tarehe 29th October na usiamue kunikimbia hapa, ila nitakupa pole ya 100,000/= ukajipozee kwa kuwa hata mbunge hauta kuwa nao. POLE na uanze kuzoea hali hiyo.
Hehehe....huko kuna fukuto. Na ile bastola aliyotishiwa Nape.Sio kumuuliza Membe tu. Kuna yale ya kuwadhalilisha wazee Kinana na Makamba. Haya ndo yamewakera sana wana CCM. We hukuona juzi kwenye mikutano ya CCM , Yaani wana CCM wanamshangilia Kinana kuliko Mwenyekiti wao!!
Kama sio Kada basi wewe ni mataga au wapwa tuinuane!!
Unamuongelea mtu ambae sasahivi halali anafuatilia ziara za Lissu huko kutafuta wadhamini??? Mtu ambayo sasa kazi yake ni kumtuma Abbas atoe vitishokwa Channels wasioneshe ziara za Lissu??? Amka ndugu!!magufuli anashinda kwa land slide kabisa kwanza wala haitaji kufanya kampeni anaweza akalala tu na tukaamkia kupiga kura na akashinda yani tangu lowasa atepete nikaamini hii nchi ccm itatawala milele
Kumbe upeo wako ndo uko hivyo??? Katiba mpya kwa akili yako ni hitaji binafsi??
Basi tuishie hapa. Uwe na usiku mwema!!
Unatia huruma sana.Tricked and gone.....😀💪
Hawezi kukamatwa sasa..mlisema atakamatiwa airport cku ya kurejea ..vp imekuwajeSawa nadhan matumiz ya nyakat yanakusumbua atakamatwa ni wakat ujao yaan siku yoyote
ungejua jamaa hana chembe ya hofuUnamuongelea mtu ambae sasahivi halali anafuatilia ziara za Lissu huko kutafuta wadhamini??? Mtu ambayo sasa kazi yake ni kumtuma Abbas atoe vitishokwa Channels wasioneshe ziara za Lissu??? Amka ndugu!!
Unamuongelea mtu ambae sasahivi halali anafuatilia ziara za Lissu huko kutafuta wadhamini??? Mtu ambayo sasa kazi yake ni kumtuma Abbas atoe vitishokwa Channels wasioneshe ziara za Lissu??? Amka ndugu!!
Duuuh hz ni akili za lumumba fcUsichanganye mijitu miwili mitatu kama hans pope na kambona na tamaa zao uka conclude ni tabia za jesh zima wale ni wafanyakaz wa jpm tu wanapokea arm kutoka kwa boss na kuitekeleza bila maelezo tuliwamwaga mtwara tuliwapeleka kujenga daraja wami uhamsho walipotaka kuandamana posta tukawaweka stand by kwenye maroli ile ni pro ccm tu mali yet halal
Fanyeni siasa kwa nguvu zenu zote kwa sasa lakini msivunje sheria.Pia kumbukeni baada ya kuapishwa JPM itabidi msimame haraka kufanya siasa zenu ili rais apate muda wa kuongoza serikali,hakutakuwa na siasa tena hadi 2025 watakaruhusiwa ni wabunge majimboni kwao.Unamuongelea mtu ambae sasahivi halali anafuatilia ziara za Lissu huko kutafuta wadhamini??? Mtu ambayo sasa kazi yake ni kumtuma Abbas atoe vitishokwa Channels wasioneshe ziara za Lissu??? Amka ndugu!!