Uchaguzi 2020 Ukweli: Lissu atashinda uchaguzi wa Oktoba kwa 70%

Sisi tunasema Alhamdulillah kwa ujio wa Tundu Lissu [emoji120].
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Lissu huyhuyu Mwabudu Wakoloni na Wakenya. Akipata kura zaidi ya asilimia 7, nakuachia Nyumba Yangu iliyopo Mtaa wa Ufipa
Nyumba labda unyumba mtu mwenye nyumba hawezi tuma emoji
 
Bado cjakwelewa mkuu,panga gia zako vizuri usije ukaharibu gearbox
Nisome taratibu tu utaelewa.

Nisemee
Mtu A akiwa Ccm , upinzani wanamuita Fisadi
Ila mtu A akihamia upinzani, upinzani wanamfutia title ya ufisadi na kusema Ufisadi ni mfumo
 
Ata moboutu seseko na sultan wa Zanzibar walikuwepo na vibaraka wao
 
Sasa wewe endelea kuota!

Lisu mngekuwa mnampigia kura hapa jf na twiter angeshashinda!

Sasa uhalisia huku mitaani ni tofauti watu wana mahaba na JPM sijapata kuona,
Hata makonda watu wa kigamboni walikuwepo na mahaba nae
 
Nisome taratibu tu utaelewa.

Nisemee
Mtu A akiwa Ccm , upinzani wanamuita Fisadi
Ila mtu A akihamia upinzani, upinzani wanamfutia title ya ufisadi na kusema Ufisadi ni mfumo
Ila sasa fisadi karudi nyumbani
 
Nisome taratibu tu utaelewa.

Nisemee
Mtu A akiwa Ccm , upinzani wanamuita Fisadi
Ila mtu A akihamia upinzani, upinzani wanamfutia title ya ufisadi na kusema Ufisadi ni mfumo
Ofcoz ni kweli ndugu,mifumo ikiwa imara inampa ugumu mtu yeyote kufanya mambo ya ovyo kama ufisadi,ila mifumo ikiwa mibovu inatoa mianya mingi sana ya kufanya upuuzi huo ndo maana watu wenye kufikiria mbali wanapiga kelele sana kuhusu mifumo yetu ya kiuendeshaji.Kama kuzipa nguvu taasisi kuliko watu kwani watu wanapita lakini taasisi zinabaki pale daima.
 
Tafiti zinaonesha asilimia za ushindi kwa mheshimiwa Lissu ni 87% na siyo 70% mkuu, rekebisha hilo.
Magu 10 na vyama vingine 3%
 
Hawezi kuwa kiongozi huyu, hana hoja za maendeleo na anajipendekeza sana kwa wazungu
Siku zote ukitaka kufanikiwa ukiwa maskini jipendekeze kwa mwenye nacho. Udananda ndio mpango mzima. Hao wajerumani kwao washamaliza kila kitu ni mwendo wa kua mdananda kwa mabeberu ili ukomboke tu. Miaka elfu 10 ipite sisi weusi bado tunawahitaji mabeberu ili tukomboke hapa tulipo.
 
Kama hiyo asilimia 70% ni ushindi wa kwenye mioyo na hisia basi sawa, lakini kwenye mantiki na hesabu JPM anasubiri kuapishwa tu kwa ushindi wa kimbunga wa asilimia zaidi ya 80%

Ndio, JPM ndiye atakayeapishwa kuwa Rais, na kazi itaendelea kwa speed ya kimbunga cha baharini.
 
Wewe masikini dola zote zilizoanguka zilikuwa na makapuku kama wewe , Nothing lasts longer , Tafuta kazi ya kufanya , hii unayofanya itakuponyoka tu , una miezi mitatu tu ya kulipwa hicho unacholipwa
Sio vizuri kuonea maskini wenzako mtarajiwa.
 
Hizi ndizo dondoo watawala wanatakiwa watujibu waajiri wao.

Kuwatisha waajiri ni kuweka ajira yako matatani
 
Unaijua dola ya Tanzania?

Schoolboy politics at its best!

Wake up boy!
Wajinga pekee ndio utaowatisha tena na hicho kizazi kinaisha, dola yako unayoisemea imeajiliwa na sisi wananchi na tunayo haki ya kuwafukuza kazi au kuwapa mkataba mpya kama wanafaa.

Hivo vitisho watishe kizazi cha miaka 60 kushuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…