Uchaguzi 2020 Ukweli: Lissu atashinda uchaguzi wa Oktoba kwa 70%

Mzee Baba bahati mbaya sana ulivyoandika ni kinyume Cha uhalisia. Wapiga kura watamchagua tena Dr Magufuli. October 28 sio mbali.
Sio wapiga kura hawa wa leo Tanzania ambao waliopata tetesi kipindi fulani jamaa amerest in peace walianza kufurahia na kufanya sherehe
 
Kwani huko anakopita huoni wale wanampokea wako kwenye keyboard
Una uhakika gani kama ni wapiga kura??? Dr.Slaa aliwashauri nyie chadema mjenge msingi kila kijiji lakini hamkumuelewa. Leo hii hata members Register haipo kama ipo basi haiko updated. Nani atawatafutia kura?? Tundu Lissu alivyopita juzi shinyanga, mwanza tarime nk. ndiyo uhamasishaji huo hakuna juhudi zozote zinazoendelea baada ya hapo. Halafu useme utapambana na Magufuli. Sasa hivi Jiwe anawacheki tu na kujisemea hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Huko vijijini ndo wamemkataa magufuli vibaya sana. Nakupa kazi ndogo tu. Nenda Vijiji vya Iringa, Mbeya, Songwe, Katavi na Rukwa alafu nenda vijiji vya LINDI na Mtwara alafu malizia vijiji vya Kigoma, Kagera, Mara, Singida, Manyara, Arusha na Kilimanjaro. Ukipata hayo majibu then rudi hapa.

Hakuna namna, Tundu Lissu atamshinda Magufuli mwaka huu tena kwa kura nyingi sana . Amini maneno yangu. Tundu Lissu ndo Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025
 
Endeleeni na propaganda zenu ila ukweli ni kwamba kuna Landslide victory kwa Tundu Lisse kwenye uchaguzi wa mwaka huu. Historia kubwa sana inaenda kuandika Tanzania. Amini Amini maneno yangu
 
Hawezi kuwa kiongozi huyu, hana hoja za maendeleo na anajipendekeza sana kwa wazungu

Kivipi au wewe ndo huna uelewa, kwenda kutibiwa ndo kujipendekeza angeweza kurudi kama hana mapenzi na nchi yake Mungu akusamehe. Kasikilize hotuba yake ya jana kama hujatoka machozi
 
Kiukweli Magufuli hana wa kumpigia kura. Kila Kona kaharibu.
Mkuu usijidanganye he is going to win the battle early.
Nachofurahia atapata changamoto itakayo iamusha CCM kuwa jali wananchi zaidi.
 
MKUU naona mnaota ndoto za mchana. Kiukweli bila hata kuhitaji Akili ya chekechea Tundulisu hana uwezo wa kuvaa viatu vya Magufuli.

Hata yeye Anajua na chadema wanajua kwamba hawawezi kuongoza nchi.

Tanzania haiitaji wapiga maneno. Inahitaji MTU kama Magufuli Ambae Anatenda na sio Hadithi.

Ni watu wavivu wasiopenda kuwajibika wanatafuta sababu kwamba chanzo cha umaskini wao ni CCM kumbe ni ujinga wakufikiri.

OCTOBER ndio mtajua Watanzania wanataka waropokai au mchapakazi.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Lissu huyhuyu Mwabudu Wakoloni na Wakenya. Akipata kura zaidi ya asilimia 7, nakuachia Nyumba Yangu iliyopo Mtaa wa Ufipa

Subiri utaona matokeo maana wengine tuko vijijini huku tunaendelea na kampeni na watu hawaogopi kusema waziwazi kama zamani walihofia vyama vya upinzani sasa wameelewa
 

Ungekuwa kijijini ukaona maisha ya watanzania yalivyobadilika usingeandika hayo maneno wananchi wamekuwa masikini na waaminishwa kuwa umasikini wao umetokana na kununua Ndege ambazo hata kuziona hawawezi acha kupanda.
 

Kama hadi kangilugala alikuwa Waziri hivi kweli watakosekana wapinzani wa kuwa mawaziri, angalia akina Waitara akina Shonza kuna shida kweli hapo mbona sioni tatizo kabisa
 
Ccm imekufa siku nyingi sana walichobakiwa nacho ni kutumia watumishi wachache wa dola wasio waaminifu kuiba kura tu. NINAWAOMBA SANA VYAMA VYA UPINZANI MWAKA HUU MTAFUTE MWAROBAINI WA KUZUIA MAKADA WACHACHE WA CHAMA WALIOCHOMEKWA SERIKALINI KUIBA KURA, Mkifanikisha hili tu ccm kwisha kabisa
 
Nani kakwambia Tundu Lissu hana uwezo???? Unamjua vizuri au unamsikia tu Tundu Lissu????
 

Sasa wanamdhamini vipi kama siyo wapiga kura na sheria inasema lazima akudhamini mpiga kura au umejitoa ufahamu mara kura za kwenye keyboard umeoneshwa watu unasema siyo wapiga kura unadhania peke yako ndo mpiga kura au
 
Dawa ipo tayari ndugu. Hakuna namna CCM watatoka mwaka huu!!
 
Yaah, vijana wenzangu tuweke mgomo hakuna kuipa kura CCM.. Hii no serikali ucharwa
 
Hana uwezo was kupata hata 30%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…