Unaweza kuthibitisha kauli hii?Mungu hayupo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kuthibitisha kauli hii?Mungu hayupo.
Pamoja sana ila Accumen Mo hawezi kuelewa kwa sababu anaogopa adhabu ya kaburiniInafikirisha...
Na kuthibitishia Mungu huyo hayupo kwa namna yeyote ile ya kuthibitishika.Unaweza kuthibitisha kauli hii?
We mwehu sema baadhi sio wote ulihoji watu wote wa dini dunia nzima kufikia hiyo conclusion kuwa watu wote wa dini wanaomba Mungu miaka yote na hawapati majibu mwehu weweNdicho mnacho kifanya watu wa dini. Mnamuomba Mungu siku zote miaka yote hampati majibu ila hamuachi kuendelea kumuomba kwa sababu mnatarajia kupata matokeo tofauti. That is insanity bro..
Je ni mungu yupi wa kweli unaetaka afatwe na anaejibu maombi ya wanadamu. Guide me.anza sasa kumtafuta Mungu mwenye kujibu maombi yako. Acha ibada ya sanamu
Mpango upi? wamekuletea kingereza ,wmekuletea siasa ya uadui .Kati yangu na walio eneza dini kwa upanga nani analazimisha watu waamini Anacho taka
Adhabu ipi? Kuishi kwa kufuata taratibu fulani ni tatizo kwakoPamoja sana ila Accumen Mo hawezi kuelewa kwa sababu anaogopa adhabu ya kaburini
Ungeishia kwenye maelezo yako ya mwanzo ningekujibu hoja with vividly. Ila kwa hichi ulichoandika hapa inaonyesha hunanuwezo wa kuhimili majibu yangu.Na si mawazo yako ya kufikirika tu.
Wewe mwenyewe unawabagua wakristu kila siku kwenye comment zako hapa unawaita makafiri. What are u talking about bro.. Dini yako ninaijua kuliko wewe mkuu kwa sababu nimezaliwa huko. Tena Ukoo wetu waliipokea dini mapema sana yani hapa nikikutajia majina yangu hapa ni mpaka babu yangu wa kumi ni majina ya kiarabu Unaposema hakuna ubaguzi kwenye dini nakuona kama mtoto vile. Hivi sio kwenye dini yako mnafundishwa " muislamu nduguye muislamu?"Uwezo wako mdogo sana ,watu duniani wanabaguana kwa dini tu ...Kama unaamini mawazo hayo ni mjinga kabisa.
Watu duniani hata hapa Tanzania wanabaguana kwa ukanda ,makabila ,race mbalimbali ,maskini vs matajiri .
Kiduninia mataifa yanabaguana ,race (wazungua ,araba , Africa).
Wewe unabaguliwa kwa ngozi wako ila kweny dini hakuna ubaguzi watu wote ni wamoja ...
Jaribu kuzunguka eti dini imeleta Ubaguzi.. Huoni vita yq CCM vs CHADEMA humu ?
Hawa ni atheist wanalazimisha watu kufauta mawazo yao ,they are fully doubting themselvesJe ni mungu yupi wa kweli unaetaka afatwe na anaejibu maombi ya wanadamu. Guide me.
Je wewe ni mungu yupi ukimuomba anakujibu. Ukinishawishi naungan na wewe mkuu.Ambayo inatoa majawabu ya maombi yako . Ukiomba unapata majibu yako hapo hapo na sio bla bla
Adhabu ipi? Kuishi kwa kufuata taratibu fulani ni tatizo kwako
Mbona watu wana makabila tofauti? wanafuata mila zao mpaka wanakufa .
Kaangalie wahadzabe hawana time na mti ,unachoamini fanya kuamini usiwe kikwazo kwa wengine maana uneoneka mjing
Hizo ndo ibada za ukweli ambazo akina Accumen Mo hawazitaki wanaziita haramu etiWazee wetu walikuwa wakiomba mvua asubuhi...mchana yanyesha.
Yap, nimemsoma.Hawa ni atheist wanalazimisha watu kufauta mawazo yao ,they are fully doubting themselves
Kiufupi hawajiamini kutwa kukandia dini ,kujiona bora ila wanaongoza kwa kujiua duniani 😅😅
Neno insanity unajua maana yake ? Umeandika hapo au kingereza kilikuja kwa meliDuh unatukana matusi hadi mwezi mtukufu mkuu ? Tobaa!!!
Anyways hivi toka uanze kumuabudu huyo unae muabudu umesha vumbua kitu gani mkuu?
Hadithi njoo uongo njoo utamu koleaUmeandika vitu vingi lakini upeo wako wa uelewa mdogo sana hasa wa Lugha
Chochote afanyacho Mungu kwa Mwanadamu huitwa muujiza kwa lugha ya kiswahili kutofafautisha kati ya afanyacho binadamu na Mungu
Mfano mimi kuna siku sikuwa na hela hata ya kula nikaomba Mungu kuwa Mungu nisaidie kisha i nikasema moyoni ngoja niende kumuona rafiki yangu nimuombe hela nikiwa na uhakika atanipa sababu huwa tunasaidiana kwenye shida na raha.Haishi mbali na kwangu nikampigia simu akasema njoo uchukue.
Nikatoka kwa mguu kwenda kwake .Nikiwa njiani nikaona chini kuna pochi ardhini kuna pochi .Nikaokota kuangalia ina dola za Mia Mia jumla 40 sawa na dola elfu 4 kwa rate ya wakati huo sh 2000 sawa na shilingi za Tanzania milioni 8 nikageuza nikamwambia rafiki yangu a basi nineshapata hela usijali
Huo kwangu ulikuwa muujiza yaani kitu alichonitendea Mungu.
Wakati wote kiswahili kitu akifanya Mungu huitwa muujiza ni lugha ya kawaida