Ukweli mchungu: Asilimia kubwa ya Wakristu na Waislamu duniani wanafanya ibada ya sanamu bila kujua kama wanafanya ibada ya sanamu

Ukweli mchungu: Asilimia kubwa ya Wakristu na Waislamu duniani wanafanya ibada ya sanamu bila kujua kama wanafanya ibada ya sanamu

Hata wewe msabato unae waponda wakatoliki, kwa mantiki ya uzi huu, wewe pia unafanya ibada ya sanamu.


Kwani ibada ya sanamu nini?

Umewahi kusikia mashabiki wa mpira wanasema " kwenye timu hii golini kuna sanamu?" Je unadhani maana yake huwaga ni nini ?

Maana yake ni kwamba kwenye timu hiyo golini kuna kipa ambae hatimizi majukumu yake kama kipa. Kipa kazi yake ni kuokoa mipira yote inayo elekezwa golini kwake. Ila kama kipa huyu hadaki magoli yanafungwa tu haokoi wala nini basi watu watasema golini kuna sanamu.

Ni sawa na wanapo sema " Huyu jamaa ni baba au sanamu la baba?" Wana maanisha ni baba ambae hatimizi majukumu yake.


Vivyo hivyo kwa habari ya ibada ya sanamu.

Ibada ya sanamu ni nini sasa?

Ibada ya sanamu ni ibada yoyote ile ambayo Mungu/muungu anae ombwa hatoi majibu.

Ibrahimu alivyo yaharibu masanamu ya mababu zake alifanya hivyo sio kwa sababu yale walikuwa ni masanamu la hasha ila alifanya hivyo kwa sababu masanamu yale yalikuwa hayatoi majibu ya maombi ndio maana akaenda kuyacharaza mapanga kwa Hasira.


Kama masanamu yale ya
miungu ya mababu zake yangekuwa yanatoa majibu basi Ibrahim asinge thubutu hata kunyoosha mkono wake kuyakata. Yani asinge thubutu hata kujifanya kama anajikuna..


Wakristu na waislamu na ibada ya sanamu.

Ukweli ni kwamba Asilimia kubwa ya wakristu na waislamu wengi duniani hufanya ibada za sanamu. Kwa sababu hufanya ibada zisizo na majibu. Sanamu lina masikio lakini halijibu na lina macho lakini halioni. Vivyo hivyo Mungu ( wa wakristu na waislamu) anasikia maombi yote wanayo muomba watu wake lakini huwaga hajibu na ana ona mambo yote mabaya wanayo tendewa watu wake lakini haintervene. Anayaacha yaendelee kutokea hivyo hivyo licha ya yeye kuwa na uwezo wa kuyazuia yasitokee.

Ndio maana kwa wakristu na waislamu mtu akifanya maombi halafu yakajibiwa majibu hayo huitwa muujiza. Muujiza ni jambo ambalo sio la kawaida. Yesu alipo tembea juu ya maji uliitwa muujiza kwa sababu sio kawaida kwa mtu kutembea juu ya maji.

So maombi yanayo jibiwa na Mungu wa wakristu na waislamu huwaga yanaitwa muujiza kwa sababu sio kawaida Mungu kujibu maombi..

Hata wakristu na waislamu ndani ya nafsi zao huwaga wanajua kabisa kwamba Mungu huwaga hajibu maombi yao. Ndio maana wengi wao huenda kwa waganga kutafuta majibu ya maombi yao.

Wakristu na waislamu wana amini Mungu anayaona zaidi madhambi yao kuliko maombi yao. Ndio maana mkristu au muislamu akitenda dhambi anakuwa na uhakika kabisa Mungu kamuona na anakuwa na ile kitu inaitwa Guilty conscious kwa sababu anajua Mungu kamuona . Lakini akifanya maombi yake anakuwa hana imani kama Mungu kayasikia na kwamba atamjibu.

Ndio maana hata kwenye Uzi wangu huu wakristu na waislamu watakuja ku comment hapa kwamba Mungu ataniadhibu kwa kuwa ninakufuru ila ningeandika Uzi nikisema nataka nifunge nimuombe Mungu awafanye watu wote duniani waache dhambi basi wakristu na waislamu hao watakuja kunidhihaki hapa kwa sababu wanajua Mungu hatonijibu kwa maana wanajua Mungu huwa hajibu maombi ya watu...

Bahati nzuri vitabu vya dini zote mbili vimeshaweka wazi kabisa kwamba Mungu huwa hajibu maombi ya watu..


Tufanye nini sasa ee rabbi? Vunja masanamu( Vunja connection na Mungu asie jibu maombi yako na anza sasa kumtafuta Mungu mwenye kujibu maombi yako. Acha ibada ya sanamu sasa)
"Bahati nzuri vitabu vya dini zote mbili vimeshaweka wazi kabisa kwamba Mungu huwa hajibu maombi ya watu.."

👆👆👆 ungeweka angalau kifungu kimoja kimoja kutoka kwenye vitabu vya dini husika .
 
Huwezi kufanya ibada ambayo haukuinuia na ikawa na matokeo tofauti.Hauwezi kumwambia mtu ameabudu sanamu wakati yeye hajui,hajaiweka akili na imani kwa sanamu.Hayo yatakuwa mawazo ya kulazimisha ya muangaliaji.
Ubora wa kitu huwa unatazamwa kwenye matokeo na sio nia..
 
Ili kujua kama unachoomba/kuabudu sio sanamu, lazima upate majibu/matokeo ya kile uombacho.

Endapo haupati majibu ila kila siku miaka inaenda unaomba/kuabudu, hapo unaabudu sanamu.

Ili uweze kutambua kama Mungu wako ni sahihi, lazima ajibu maombi na yule asiyejibu maombi jua huyo ni sanamu.
Nakazia
 
  • Thanks
Reactions: K11
"Bahati nzuri vitabu vya dini zote mbili vimeshaweka wazi kabisa kwamba Mungu huwa hajibu maombi ya watu.."

👆👆👆 ungeweka angalau kifungu kimoja kimoja kutoka kwenye vitabu vya dini husika .
Post number 50
 
Duh yani ninawaone watu mnaabudu sanamu halafu niwaache hivi hivi? No haiwezekani lazima niwatoe kwenye ibada za sanamu
Watu zaidi ya billion hawana akili kuliko wewe unatokea kijijini 😅😅.

Think twice halafu urudi huku yaani Dangote unaweza kufananisha na wewe?
 
  • Thanks
Reactions: 511
1. YOHANA 9:31 " Mungu hajibu sala za wenye dhambi"
+
2. WARUMI 3: 23 -26: " Watu wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu.


=


Mungu hajibu maombi ya mtu yoyote yule kwa sababu watu wote ni watenda dhambi na Mungu huwa hajibu maombi ya watenda dhambi..
NDUGU WW NI SHETANI AU AGENT WAKE AU UNATUMIKA BILA KUJIJUA.OMBA TOBA HARAKA
 
  • Thanks
Reactions: 511
Hujui hata maana ya Atheist.

Mleta mada si Atheist, ni mtu mwenye imani za jadi za kiafrika Uganga na ulozi.

Atheist hana imani wala dini yeyote ile.
Huyo ni Atheist kama wewe tu , ambao ni wapumbavu wachache sana dunia tena wanaongoza kujiua duniani.

Mtu anayeabudu mti ambao unaweza kukatwa mda wowote ana akili kweli.

Kama angekuwa deep kweny imani yake hata kingereza asingesoma ,angekuwa anaandika kilugha cha kwao .
 
Insanity ni kile unacho kifanya wewe mkuu. Unamuomba Mungu toka mwaka 94 hupati majibu lakini bado una muomba tu tena kwa njia ile ile huku ukitarajia kupata majibu tofauti.
Sasa mbona unasema ni matusi ?😅😅 Leta maana acha kulazimisha akili kubwa ujinga wako wako wa porini.

Yaani mti unapanda mwenye unaona mpaka unakuwa ,ghafla unaanza kuabudu mti huo kwa imani yako ,utakuwa na akili kweli?
 
  • Thanks
Reactions: 511
Uwezo wako mdogo sana ,watu duniani wanabaguana kwa dini tu ...Kama unaamini mawazo hayo ni mjinga kabisa.

Watu duniani hata hapa Tanzania wanabaguana kwa ukanda ,makabila ,race mbalimbali ,maskini vs matajiri .

Kiduninia mataifa yanabaguana ,race (wazungua ,araba , Africa).



Wewe unabaguliwa kwa ngozi wako ila kweny dini hakuna ubaguzi watu wote ni wamoja ...


Jaribu kuzunguka eti dini imeleta Ubaguzi.. Huoni vita yq CCM vs CHADEMA humu ?
Acha hasira jibu hoja,ni ubagudhi gani wenye madhara zaidi hapa duniani?
 
Watu zaidi ya billion hawana akili kuliko wewe unatokea kijijini 😅😅.

Think twice halafu urudi huku yaani Dangote unaweza kufananisha na wewe?
Dangote ni Freemason mkuu halafu ndugu Mimi kwa imani yangu binadamu wote ni sawa hakuna alie bora zaidi ya mwenzake. So wakati wewe una muona Prophet Muhammad( pbuh) ni bora kuliko wewe kwangu Mimi baba yangu mzazi ni bora mara bilioni moja kuliko Prophet Muhammad ( pbuh)

Mimi, Muhammad, Jesus, Ibrahim, Mussa, Suleiman, Daudi n.k.wote tupo sawa wala hatuna tofauti yoyote mkuu.

Ngondo inabaki kwako wewe an insane guy ambae una amini hao nilio wataja hapo juu ni bora kuliko wewe. Ukitukanwa tusi la mamayo wala hurushi ngumi ila ole wake mtu atoe maneno ya kashfa kuhusu mtume wako tutakusoma kwa Millard Ayo.. huoni huo ni wendawazimu.

Wacha kuabudu sanamu bwege wewe
 
1. YOHANA 9:31 " Mungu hajibu sala za wenye dhambi"
Aliyeongea hilo wala hakuwa mtumishi wa Mungu, mtume au Yesu hilo ulijue.

Mungu anajibu sala za wenye dhambi wakitubu husikia sala zao na kuwasamehe

Hata wewe na dhambi zako ukienda kwa Mungu ukasali kutubu dhambi zako Mungu atasikia sala yako ya toba na kukusamehe
 
Dangote ni Freemason mkuu halafu ndugu Mimi kwa imani yangu binadamu wote ni sawa hakuna alie bora zaidi ya mwenzake. So wakati wewe una muona Prophet Muhammad( pbuh) ni bora kuliko wewe kwangu Mimi baba yangu mzazi ni bora mara bilioni moja kuliko Prophet Muhammad ( pbuh)

Mimi, Muhammad, Jesus, Ibrahim, Mussa, Suleiman, Daudi n.k.wote tupo sawa wala hatuna tofauti yoyote mkuu.

Ngondo inabaki kwako wewe an insane guy ambae una amini hao nilio wataja hapo juu ni bora kuliko wewe. Ukitukanwa tusi la mamayo wala hurushi ngumi ila ole wake mtu atoe maneno ya kashfa kuhusu mtume wako tutakusoma kwa Millard Ayo.. huoni huo ni wendawazimu.

Wacha kuabudu sanamu bwege wewe
Mbona hueleweki ? Freemason hakuna ni kama kuamini uchawi ...Watu wa hovyo ndio wanaamini kwney Freemasoni ni story za jaba
 
Sasa mbona unasema ni matusi ?😅😅 Leta maana acha kulazimisha akili kubwa ujinga wako wako wa porini.

Yaani mti unapanda mwenye unaona mpaka unakuwa ,ghafla unaanza kuabudu mti huo kwa imani yako ,utakuwa na akili kweli?

So bora hata Mimi ninakiona ninacho kiabudu na kinanipa majibu. Mwendawazimu utakuwa wewe unae kiabudu usicho kiona na wala hakikupi majibu ya maombi yako..


Ndio maana ni rahisi zaidi kwako wewe kumuua mtu alie kitukana hicho unacho kiabudu kuliko hicho unacho kiabudu kukujibu maombi yako.
 
Back
Top Bottom