Ukweli mchungu: Asilimia kubwa ya Wakristu na Waislamu duniani wanafanya ibada ya sanamu bila kujua kama wanafanya ibada ya sanamu

Ukweli mchungu: Asilimia kubwa ya Wakristu na Waislamu duniani wanafanya ibada ya sanamu bila kujua kama wanafanya ibada ya sanamu

Umeandika vitu vingi lakini upeo wako wa uelewa mdogo sana hasa wa Lugha
Chochote afanyacho Mungu kwa Mwanadamu huitwa muujiza kwa lugha ya kiswahili kutofafautisha kati ya afanyacho binadamu na Mungu

Mfano mimi kuna siku sikuwa na hela hata ya kula nikaomba Mungu kuwa Mungu nisaidie kisha i nikasema moyoni ngoja niende kumuona rafiki yangu nimuombe hela nikiwa na uhakika atanipa sababu huwa tunasaidiana kwenye shida na raha.Haishi mbali na kwangu nikampigia simu akasema njoo uchukue.

Nikatoka kwa mguu kwenda kwake .Nikiwa njiani nikaona chini kuna pochi ardhini kuna pochi .Nikaokota kuangalia ina dola za Mia Mia jumla 40 sawa na dola elfu 4 kwa rate ya wakati huo sh 2000 sawa na shilingi za Tanzania milioni 8 nikageuza nikamwambia rafiki yangu a basi nineshapata hela usijali
Huo kwangu ulikuwa muujiza yaani kitu alichonitendea Mungu.
Wakati wote kiswahili kitu akifanya Mungu huitwa muujiza ni lugha ya kawaida
Huo ni wizi kama wizi mwingine,usimuingize Mungu kwenye wizi wa aina hiyo.
Zile pesa ilitakiwa uzipeleke polisi zitangazwe hili mwenye pesa apewe.
UMEKULA PESA ZA WIZI KISHA UNAITA MUUJIZA
 
So bora hata Mimi ninakiona ninacho kiabudu na kinanipa majibu. Mwendawazimu utakuwa wewe unae kiabudu usicho kiona na wala hakikupi majibu ya maombi yako..


Ndio maana ni rahisi zaidi kwako wewe kumuua mtu alie kitukana hicho unacho kiabudu kuliko hicho unacho kiabudu kukujibu maombi yako.
Unakiona wapi wakati hakina uwezo 😅😅 mti jamani si unaweza kufanya kuni au mbao mda wowote.
 
So bora hata Mimi ninakiona ninacho kiabudu na kinanipa majibu. Mwendawazimu utakuwa wewe unae kiabudu usicho kiona na wala hakikupi majibu ya maombi yako..


Ndio maana ni rahisi zaidi kwako wewe kumuua mtu alie kitukana hicho unacho kiabudu kuliko hicho unacho kiabudu kukujibu maombi yako.
Kifupi wahi Mirembe ukatibiwe kichaa kinakupanda

Naongea namaanisha tafadhali wahi
 
  • Thanks
Reactions: 511
Mbona hueleweki ? Freemason hakuna ni kama kuamini uchawi ...Watu wa hovyo ndio wanaamini kwney Freemasoni ni story za jaba
Dangote is not a "muslim" bro take it from me.. uislamu kwake ni kabila tu kama ilivyo kwa Chibu Dangote au kwako. Waulize wamakonde wenzako huko Mtwara walio wahi kufanya kazi kwenye kiwanda cha Dangote ndio watakwambia which is which and which is not which.
 
Unakiona wapi wakati hakina uwezo 😅😅 mti jamani si unaweza kufanya kuni au mbao mda wowote.
Si bora hata kuni mkuu nitapika misosi nitakula kuliko wewe unae muabudu usie muona na asie kusikia wala kukuona. Halafu ulivyo mwendawazimu sasa, unasema una muabudu Mungu lakini viumbe wake ( wagalatia) unawachukia. And vice versa. We mzima kweli Wewe?
 
Dangote is not a "muslim" bro take it from me.. uislamu kwake ni kabila tu kama ilivyo kwa Chibu Dangote au kwako. Waulize wamakonde wenzako huko Mtwara walio wahi kufanya kazi kwenye kiwanda cha Dangote ndio watakwambia which is which and which is not which.
Nimekuambia wapi ni muislamu ? Onyesha nilipokuambia . Nimesema anaabudu sijakuambia dini yake.

Acha kujitungia maswali 😅😅😅,hizo ni stori za jaba ndio maana mnakuwa maskini kwa kuamini ushirikina
 
  • Thanks
Reactions: 511
So bora hata kuni mkuu kuliko wewe una muabudu usie muona na asie kusikia wala kukuona. Halafu ulivyo mwendawazimu sasa, unasema una muabudu Mungu lakini viumbe wake ( wagalatia) unawachukia. And vice versa. We mzima kweli Wewe?
Mungu wako naweza kumfanya kuni 😅😅
 
Kifupi wahi Mirembe ukatibiwe kichaa kinakupanda

Naongea namaanisha tafadhali wahi
🤣🤣🤣🤣 ulitaka nikupe andiko kwenye Biblia linalo sema Mungu hajibu maombi nimekupa umechanganyikiwa unanifuata huku kunionyesha frustration zako. Sikia mkuu hata Yesu aliwahi kuwaambia wanafunzi wake mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru. Ukweli huwaga ni mchungu sana siku zote.. ila baadae utazoea tu mkuu.

pole sana mkuu kama upo kwenye matatizo na unafanya maombi
 
Nimekuambia wapi ni muislamu ? Onyesha nilipokuambia . Nimesema anaabudu sijakuambia dini yake.

Acha kujitungia maswali 😅😅😅,hizo ni stori za jaba ndio maana mnakuwa maskini kwa kuamini ushirikina
Sawa tajiri
 
Kwanza umetembea dunia mpaka wapi dogo?

Unajua kuhusu race ? je unajua kuhusu ukoloni ,babu zako walivyoteswa na wazungu kisa watu weusi walionekana kama wanyama ..
Dogo kaaa pembeni.!
Huu sio uzi wa kuoneshana umetembea sana duniani,Jibu hoja ubagudhi gani mbaya kupita bagudhi nyingine kwa dunia ya sasa?
 
Huyo ni Atheist kama wewe tu
Atheist hana imani ya aina yoyote ile.
, ambao ni wapumbavu wachache sana dunia tena wanaongoza kujiua duniani.

Mtu anayeabudu mti ambao unaweza kukatwa mda wowote ana akili kweli.
Vipi ninyi mnaoabudu lile dubwasha la kibox kule Makka kwa kulizingira na mkilizunguka kama wehu mliopandwa na pepopunda?

Na ninyi mna akili kweli?

Mna utofauti gani na anayeabudu mti?
Kama angekuwa deep kweny imani yake hata kingereza asingesoma ,angekuwa anaandika kilugha cha kwao .
 
Kuna ukweli mkubwa sana kwenye post yako mkuu ila wafia dini watakuja kujibaraguza hapa lakini hata wao ukweli huu wanaujua sana ndio maana tunakutana nao sana kwenye vilinge vya waganga wa kienyeji.
Be blessed
 
Mungu huyo amendikwa kwenye Biblia kwenye kitabu cha MHUBIRI 10:19.

Suleiman nabii na mtume wa Mungu alie jaaliwa hekima na Mwenyezi Mungu kuliko watu wote duniani ( kwa mujibu wa Biblia ) anasema " PESA HULETA MAJAWABU YA MAMBO YOTE" Elewa neno " MAJAWABU"

Mfalme Suleiman hasemi " Mungu huleta majawabu ya mambo yote ila amesema Pesa ndio huleta majawabu ya mambo yote" .

So kwa mujibu wa mfalme Suleiman pesa ndio Mungu kwa sababu pesa ndio huleta majawabu ya mambo yote..

Bwana Mtumishi, Je Mfalme Suleiman alikosea au yupo sahihi?
Sasa mtu anaomba um guide, unatoa jibu hata hajasema kama anakubaliana na wewe au laa, tayari unaingiza kejeri kumuita mtumishi. Yawezekana sijawahi soma alichoandika huyo Suleiman.

Sio kila anaeuliza lazima um label kama mbishani wako, wengine wanataka maelezo ili waamini hoja zako. Fundisha zaidi kuliko kukejeli
 
Kumbe kumuita mtu mtumishi ni kumkejeli? Since when? Anyways Message sent
Sasa mtu anaomba um guide, unatoa jibu hata hajasema kama anakubaliana na wewe au laa, tayari unaingiza kejeri kumuita mtumishi. Yawezekana sijawahi soma alichoandika huyo Suleiman.

Sio kila anaeuliza lazima um label kama mbishani wako, wengine wanataka maelezo ili waamini hoja zako. Fundisha zaidi kuliko kukejeli
 
Mungu wako naweza kumfanya kuni 😅😅
The holy quoran says Yes.

How? According to the holy Quran God can be anything he want to be . So of course if he wants he can be firewood without a doubt. Or do u doubt ur God?
 
Hata wewe msabato unae waponda wakatoliki, kwa mantiki ya uzi huu, wewe pia unafanya ibada ya sanamu.

Kwani ibada ya sanamu nini?

Umewahi kusikia mashabiki wa mpira wanasema " kwenye timu hii golini kuna sanamu?" Je unadhani maana yake huwaga ni nini?

Maana yake ni kwamba kwenye timu hiyo golini kuna kipa ambae hatimizi majukumu yake kama kipa. Kipa kazi yake ni kuokoa mipira yote inayo elekezwa golini kwake. Ila kama kipa huyu hadaki magoli yanafungwa tu haokoi wala nini basi watu watasema golini kuna sanamu.

Ni sawa na wanapo sema "Huyu jamaa ni baba au sanamu la baba?" Wana maanisha ni baba ambae hatimizi majukumu yake.

Vivyo hivyo kwa habari ya ibada ya sanamu.

Ibada ya sanamu ni nini sasa?

Ibada ya sanamu ni ibada yoyote ile ambayo Mungu/muungu anae ombwa hatoi majibu.

Ibrahimu alivyo yaharibu masanamu ya mababu zake alifanya hivyo sio kwa sababu yale walikuwa ni masanamu la hasha ila alifanya hivyo kwa sababu masanamu yale yalikuwa hayatoi majibu ya maombi ndio maana akaenda kuyacharaza mapanga kwa Hasira.

Kama masanamu yale ya miungu ya mababu zake yangekuwa yanatoa majibu basi Ibrahim asinge thubutu hata kunyoosha mkono wake kuyakata. Yani asinge thubutu hata kujifanya kama anajikuna.

Wakristu na waislamu na ibada ya sanamu.

Ukweli ni kwamba Asilimia kubwa ya wakristu na waislamu wengi duniani hufanya ibada za sanamu. Kwa sababu hufanya ibada zisizo na majibu. Sanamu lina masikio lakini halijibu na lina macho lakini halioni. Vivyo hivyo Mungu (wa Wakristu na Waislamu) anasikia maombi yote wanayo muomba watu wake lakini huwaga hajibu na ana ona mambo yote mabaya wanayo tendewa watu wake lakini haintervene. Anayaacha yaendelee kutokea hivyo hivyo licha ya yeye kuwa na uwezo wa kuyazuia yasitokee.

Ndio maana kwa wakristu na waislamu mtu akifanya maombi halafu yakajibiwa majibu hayo huitwa muujiza. Muujiza ni jambo ambalo sio la kawaida. Yesu alipo tembea juu ya maji uliitwa muujiza kwa sababu sio kawaida kwa mtu kutembea juu ya maji.

So maombi yanayo jibiwa na Mungu wa wakristu na waislamu huwaga yanaitwa muujiza kwa sababu sio kawaida Mungu kujibu maombi..

Hata wakristu na waislamu ndani ya nafsi zao huwaga wanajua kabisa kwamba Mungu huwaga hajibu maombi yao. Ndio maana wengi wao huenda kwa waganga kutafuta majibu ya maombi yao.

Wakristu na Waislamu wana amini Mungu anayaona zaidi madhambi yao kuliko maombi yao. Ndio maana mkristu au muislamu akitenda dhambi anakuwa na uhakika kabisa Mungu kamuona na anakuwa na ile kitu inaitwa Guilty conscious kwa sababu anajua Mungu kamuona . Lakini akifanya maombi yake anakuwa hana imani kama Mungu kayasikia na kwamba atamjibu.

Ndio maana hata kwenye Uzi wangu huu wakristu na waislamu watakuja ku comment hapa kwamba Mungu ataniadhibu kwa kuwa ninakufuru ila ningeandika Uzi nikisema nataka nifunge nimuombe Mungu awafanye watu wote duniani waache dhambi basi wakristu na waislamu hao watakuja kunidhihaki hapa kwa sababu wanajua Mungu hatonijibu kwa maana wanajua Mungu huwa hajibu maombi ya watu.

Bahati nzuri vitabu vya dini zote mbili vimeshaweka wazi kabisa kwamba Mungu huwa hajibu maombi ya watu..

Tufanye nini sasa ee rabbi? Vunja masanamu (Vunja connection na Mungu asie jibu maombi yako na anza sasa kumtafuta Mungu mwenye kujibu maombi yako. Acha ibada ya sanamu sasa)
Hili bandiko lako limenikumbusha juzi waumini wa kiislamu walikuwa wanapewa kichapo cha nguvu na wanajeshi wa Israel na kuzuiliwa kwenda kuswali kwenye msikiti wa Al-Aqsa.
Nikajiuliza...kati ya huyo mungu ambaye watu wanataka kwenda kumwabudu na hao askari, ni nani mwenye nguvu!!?
Mungu aone watu wake wanakula mkong'oto kiasi kile akae kimya?
Huyo mungu yupo kweli!
 
Atheist hana imani ya aina yoyote ile.

Vipi ninyi mnaoabudu lile dubwasha la kibox kule Makka kwa kulizingira na mkilizunguka kama wehu mliopandwa na pepopunda?

Na ninyi mna akili kweli?

Mna utofauti gani na anayeabudu mti?
Ndio maana kiuhalisia wapumbavu kama nyie mpo wachache ,mkidanganywa kwamba mnazidi kuwa wengi 😅😅😅.

Mwisho wa simu mnaongoza kujinyonga
 
  • Thanks
Reactions: 511
Hili bandiko lako limenikumbusha juzi waumini wa kiislamu walikuwa wanapewa kichapo cha bguvu na wanajeshi wa Israel na kuzuiliwa kwenda kuswali kwenye msikiti wa Al-Aqsa.
Nikajiuliza...kati ya huyo mungu ambaye watu wanataka kwenda kumwabudu na hao askari, ni nani mwenye nguvu!!?
Mungu aone watu wake wanakula mkong'oto kiasi kile akae kimya?
Huyo mungu yupo kweli!
Accumen Mo
 
The holy quoran says Yes.

How? According to the holy Quran God can be anything he want to be . So of course if he wants he can be firewood without a doubt. Or do u doubt ur God?
Ndio maana uhalisia unabaki pale pale , huyu Mungu wako hana nguvu ya kusambaza imani yako hata mkoani
 
Back
Top Bottom