Ukweli mchungu: Asilimia kubwa ya Wakristu na Waislamu duniani wanafanya ibada ya sanamu bila kujua kama wanafanya ibada ya sanamu

Ukweli mchungu: Asilimia kubwa ya Wakristu na Waislamu duniani wanafanya ibada ya sanamu bila kujua kama wanafanya ibada ya sanamu

Umeandika vitu vingi lakini upeo wako wa uelewa mdogo sana hasa wa Lugha
Chochote afanyacho Mungu kwa Mwanadamu huitwa muujiza kwa lugha ya kiswahili kutofafautisha kati ya afanyacho binadamu na Mungu

Mfano mimi kuna siku sikuwa na hela hata ya kula nikaomba Mungu kuwa Mungu nisaidie kisha i nikasema moyoni ngoja niende kumuona rafiki yangu nimuombe hela nikiwa na uhakika atanipa sababu huwa tunasaidiana kwenye shida na raha.Haishi mbali na kwangu nikampigia simu akasema njoo uchukue.

Nikatoka kwa mguu kwenda kwake .Nikiwa njiani nikaona chini kuna pochi ardhini kuna pochi .Nikaokota kuangalia ina dola za Mia Mia jumla 40 sawa na dola elfu 4 kwa rate ya wakati huo sh 2000 sawa na shilingi za Tanzania milioni 8 nikageuza nikamwambia rafiki yangu a basi nineshapata hela usijali
Huo kwangu ulikuwa muujiza yaani kitu alichonitendea Mungu.
Wakati wote kiswahili kitu akifanya Mungu huitwa muujiza ni lugha ya kawaida
🤔😅
 
USiabudu sanamu mkuu. What is insanity? Insanity is doing the same thing over and over again but expecting different results.

Ndicho mnacho kifanya watu wa dini. Mnamuomba Mungu siku zote miaka yote hampati majibu ila hamuachi kuendelea kumuomba kwa sababu mnatarajia kupata matokeo tofauti. That is insanity bro..
Sasa hapo wewe ndio unaonekana chizi

Sanamu ni kitu kinachoonekana,kinagusika na kinaweza kufananishwa na kitu kingine

MWENYEZIMUNGU haonekani,hashikiki na wala hafanani na chochote
 
Samahani Kidogo Accumen..
Mimi sio Atheist!
ILa nina maswali ya ufahamu..

Ila ningependa kujua Unaamini kabisa Madalyn Murray O'Hair aliyezaliwa miaka ya 1919 kama sikosei ndo mwanzilishi wa Atheists...?

Kama ndyo!
Rumii miaka ya 325-1800 walikuwa wakiwaua Atheist walikuwa wakiua kitu ambacho hakijaanzishwa bado?

Na hata Mtume miaka ya 600s alikuwa akipambana na Makafiri wa kibedui (Atheist) wanaopinga uwepo wa ALLAH..
Alipingana na kitu ambacho hakikuwepo..?

Musa,Yesu, na Mitume wengine wengi walikuwa wakipambana na watu wasioamini Mungu "Atheist" ili kuwafanya waamini Mungu
Kwahyo walikuwa wanawabadili watu gani ili waamini Mungu?..

Natangulisha Shukrani kwako kwa mjadala mzuri..
Hao sio athiest ni jamii za utawala ulikuwepo walikuwa kuna vitu wanaamini ,zaidi walikuwa jamii za kushirikina na walikuwa na nguvu zaidi ...Sio hawa wenye idea za watu wa sasa wanaishi America.

America kule atheists iliingia kama movement nyingine za kudai uhuru miaka mingi hata kabla ya huyo jamaa.

Athiests wa zamani walikuwa wanapinga kusambaa kwa idea ya Mungu .Kumbuka
walikuwa ni jamii za kushirikina ,hawa walikuwa na Miungu yao hakuna kitabu ambacho kimeandika hawakuwa wakiabudu ,walikuwa na Miungu yao .

kupingana na idea ya Miungu ni juu ya kuhofia kuondelewa kwa utawala wao duniani ...Mungy mkubwa washapotea

Atheists hawa wafuata mkumbo wakina Infropreneur ni idealism ambayo wana idea mpya kutoka kwa watu wa kwanza ..Wana tamaduni zao tofauti na wala wa zamani.

Mtume hakupiga vita ila alipigwa vita kumbuka hilo, jamii zilizokuwepo kabla yake ni washirikina ,manaswara ,Mayahudi ..Hao ndio wanatajwa kweny Qur an.

Alipewa maelezo hayo kwa vile hao ndio maadui wakubwa wa enzi ,kumbuka hata waliopita kama Mussa ,issa walipigwa vita na hizo jamii haswa wayahudi na washirikina .
 
Hata wewe msabato unae waponda wakatoliki, kwa mantiki ya uzi huu, wewe pia unafanya ibada ya sanamu.

Kwani ibada ya sanamu nini?

Umewahi kusikia mashabiki wa mpira wanasema " kwenye timu hii golini kuna sanamu?" Je unadhani maana yake huwaga ni nini?

Maana yake ni kwamba kwenye timu hiyo golini kuna kipa ambae hatimizi majukumu yake kama kipa. Kipa kazi yake ni kuokoa mipira yote inayo elekezwa golini kwake. Ila kama kipa huyu hadaki magoli yanafungwa tu haokoi wala nini basi watu watasema golini kuna sanamu.

Ni sawa na wanapo sema "Huyu jamaa ni baba au sanamu la baba?" Wana maanisha ni baba ambae hatimizi majukumu yake.

Vivyo hivyo kwa habari ya ibada ya sanamu.

Ibada ya sanamu ni nini sasa?

Ibada ya sanamu ni ibada yoyote ile ambayo Mungu/muungu anae ombwa hatoi majibu.

Ibrahimu alivyo yaharibu masanamu ya mababu zake alifanya hivyo sio kwa sababu yale walikuwa ni masanamu la hasha ila alifanya hivyo kwa sababu masanamu yale yalikuwa hayatoi majibu ya maombi ndio maana akaenda kuyacharaza mapanga kwa Hasira.

Kama masanamu yale ya miungu ya mababu zake yangekuwa yanatoa majibu basi Ibrahim asinge thubutu hata kunyoosha mkono wake kuyakata. Yani asinge thubutu hata kujifanya kama anajikuna.

Wakristu na waislamu na ibada ya sanamu.

Ukweli ni kwamba Asilimia kubwa ya wakristu na waislamu wengi duniani hufanya ibada za sanamu. Kwa sababu hufanya ibada zisizo na majibu. Sanamu lina masikio lakini halijibu na lina macho lakini halioni. Vivyo hivyo Mungu (wa Wakristu na Waislamu) anasikia maombi yote wanayo muomba watu wake lakini huwaga hajibu na ana ona mambo yote mabaya wanayo tendewa watu wake lakini haintervene. Anayaacha yaendelee kutokea hivyo hivyo licha ya yeye kuwa na uwezo wa kuyazuia yasitokee.

Ndio maana kwa wakristu na waislamu mtu akifanya maombi halafu yakajibiwa majibu hayo huitwa muujiza. Muujiza ni jambo ambalo sio la kawaida. Yesu alipo tembea juu ya maji uliitwa muujiza kwa sababu sio kawaida kwa mtu kutembea juu ya maji.

So maombi yanayo jibiwa na Mungu wa wakristu na waislamu huwaga yanaitwa muujiza kwa sababu sio kawaida Mungu kujibu maombi..

Hata wakristu na waislamu ndani ya nafsi zao huwaga wanajua kabisa kwamba Mungu huwaga hajibu maombi yao. Ndio maana wengi wao huenda kwa waganga kutafuta majibu ya maombi yao.

Wakristu na Waislamu wana amini Mungu anayaona zaidi madhambi yao kuliko maombi yao. Ndio maana mkristu au muislamu akitenda dhambi anakuwa na uhakika kabisa Mungu kamuona na anakuwa na ile kitu inaitwa Guilty conscious kwa sababu anajua Mungu kamuona . Lakini akifanya maombi yake anakuwa hana imani kama Mungu kayasikia na kwamba atamjibu.

Ndio maana hata kwenye Uzi wangu huu wakristu na waislamu watakuja ku comment hapa kwamba Mungu ataniadhibu kwa kuwa ninakufuru ila ningeandika Uzi nikisema nataka nifunge nimuombe Mungu awafanye watu wote duniani waache dhambi basi wakristu na waislamu hao watakuja kunidhihaki hapa kwa sababu wanajua Mungu hatonijibu kwa maana wanajua Mungu huwa hajibu maombi ya watu.

Bahati nzuri vitabu vya dini zote mbili vimeshaweka wazi kabisa kwamba Mungu huwa hajibu maombi ya watu..

Tufanye nini sasa ee rabbi? Vunja masanamu (Vunja connection na Mungu asie jibu maombi yako na anza sasa kumtafuta Mungu mwenye kujibu maombi yako. Acha ibada ya sanamu sasa)
Una point LIKUD, sasa tufanye nini ili tumpate Mungu anayejibu maombi?
 
Hao sio athiest ni jamii za utawala ulikuwepo walikuwa kuna vitu wanaamini ,zaidi walikuwa jamii za kushirikina na walikuwa na nguvu zaidi ...Sio hawa wenye idea za watu wa sasa wanaishi America.

America kule atheists iliingia kama movement nyingine za kudai uhuru miaka mingi hata kabla ya huyo jamaa.

Athiests wa zamani walikuwa wanapinga kusambaa kwa idea ya Mungu .Kumbuka
walikuwa ni jamii za kushirikina ,hawa walikuwa na Miungu yao hakuna kitabu ambacho kimeandika hawakuwa wakiabudu ,walikuwa na Miungu yao .

kupingana na idea ya Miungu ni juu ya kuhofia kuondelewa kwa utawala wao duniani ...Mungy mkubwa washapotea

Atheists hawa wafuata mkumbo wakina Infropreneur ni idealism ambayo wana idea mpya kutoka kwa watu wa kwanza ..Wana tamaduni zao tofauti na wala wa zamani.

Mtume hakupiga vita ila alipigwa vita kumbuka hilo, jamii zilizokuwepo kabla yake ni washirikina ,manaswara ,Mayahudi ..Hao ndio wanatajwa kweny Qur an.

Alipewa maelezo hayo kwa vile hao ndio maadui wakubwa wa enzi ,kumbuka hata waliopita kama Mussa ,issa walipigwa vita na hizo jamii haswa wayahudi na washirikina .
Samahani unajua maana Ya Atheists..?
ngoja nikueleze maana yake..

Sasa "atheist" imetokana na neno la Kigiriki kama ifuatavyo.. "a" (without) na "theos" (god), kwahiyo limamaanisha "without god" au "godless."

Kwahiyo sasa atheist ni mtu anapingana na imani ya kuwepo Kwa Mungu,Miungu yaani gods or deities.

typically reject the notion of a supreme being or higher power and instead rely on reason, evidence, and scientific understanding Sijui kama umenipata kwa hapo..

Watu wengi nimeona mnachanganya kati ya Agnostics,Ignostics, na Atheists.. na ndo maana nikauliza hayo maswali

Narudi kwenye hoja yako..

Atheists zaman walikuwa jamii ya kishirikina?

Hapana Philosophia Inapinga uwepo wa Mungu muweza wa yote..na uwepo wa Miungu..
Na ndo hasa ukiangalia maana yake halisi ni Hiyo atheists

Na tukitrace Lini Philosophy ilianza ni Zamani sana hata kabla ya Yesu kuwepo Duniani..

So conclusion ni kwamba Atheists ilikuwa ipo kwa wale wenye Elimu Kubwa sana wana Philosophia..
NA wanaohilosophia wote Wanasayansi wote wa zamani walipinga uwepo wa Mungu...na hiyo ndo iliitwa Atheists "Kimaana"
Na walikuwepo zaman hata kipindi cha Nuhu
 
Hajapunga, yuko sahihi. Je utakubali kuwa wewe ndie hauko sahihi kwa kusema mungu hayupu?
Mungu hayupo.

Nikikwambia mimi ni Mungu utakubaliana nami?

Pesa, jiwe, miti au chochote kile kinaweza kuitwa Mungu kulingana na imani ya mhusika, vitu vyote vinaweza kuabudiwa kwa kuitwa jina " Mungu"
Mtu yoyote yuko huru kuabudu chochote hata jiwe. je utakubaliana na mimi kwamba chochote kinchoabudiwa ni mungu kwa huyo anaekiabudu? Kama ndio, Why unasema hakuna mungu.
Kuabudu chochote kwa kukiita Mungu ni sawa tu.

Hata wewe unaweza kujiita Mungu uka abudiwa.

Ndio maana yule mwanamama mfalme Zumaridi ana jiita Mungu na ana wafuasi wanao mwabudu.
Mimi nikikwambia haya ninayoyajibu hapa naambiwa na mungu ninaemwabudu (hautaamini), wewe ukitaka nithibitishe. Je utathibitishiwaje kwa kitu unachodai hakipo?
Nitakuuliza hayo unayo ambiwa na Mungu, ni Mungu wa namna gani?

Mungu jiwe, Mungu mti, Mungu pesa au kitu chochote ulicho amua kukiita Mungu?
mfano nikisema 13*7=28, utakataa kwa sababu tayari unajua 13*7=91.
kwa kua tayari unajua ( una uhakika kuwa nimekosea) utaniambia nithibitishe. Lakini kama hujui jibu lake na ukataka nithibitishe, na mimi nikathibitisha kuwa ni 28 (japo sio kweli) utabisha au utakubliana na mimi kwamba ni kweli jibu ni 28? (Maana wewe hujui jibu lake)
Ukiweza kuthibitisha kwamba 13×7=28 na uka onyesha njia uliyotumia na ikaonekana ni kweli, Basi jibu la 13×7=91 lita batilishwa katika kanuni za hisabati.

Na jibu la 13×7= 28 lita thibitishwa rasmi.

Kusema kwamba kuna Mungu mmoja muumba wa vyote, mjuzi wa vyote, mkuu wa vyote ni Uongo.

Mungu wa namna hii hayupo.
 
Hao sio athiest ni jamii za utawala ulikuwepo walikuwa kuna vitu wanaamini ,zaidi walikuwa jamii za kushirikina na walikuwa na nguvu zaidi ...Sio hawa wenye idea za watu wa sasa wanaishi America.

America kule atheists iliingia kama movement nyingine za kudai uhuru miaka mingi hata kabla ya huyo jamaa.

Athiests wa zamani walikuwa wanapinga kusambaa kwa idea ya Mungu .Kumbuka
walikuwa ni jamii za kushirikina ,hawa walikuwa na Miungu yao hakuna kitabu ambacho kimeandika hawakuwa wakiabudu ,walikuwa na Miungu yao .

kupingana na idea ya Miungu ni juu ya kuhofia kuondelewa kwa utawala wao duniani ...Mungy mkubwa washapotea

Atheists hawa wafuata mkumbo wakina Infropreneur ni idealism ambayo wana idea mpya kutoka kwa watu wa kwanza ..Wana tamaduni zao tofauti na wala wa zamani.

Mtume hakupiga vita ila alipigwa vita kumbuka hilo, jamii zilizokuwepo kabla yake ni washirikina ,manaswara ,Mayahudi ..Hao ndio wanatajwa kweny Qur an.

Alipewa maelezo hayo kwa vile hao ndio maadui wakubwa wa enzi ,kumbuka hata waliopita kama Mussa ,issa walipigwa vita na hizo jamii haswa wayahudi na washirikina .
Wafia dini kama wewe Accumen Mo ni wafuata mkumbo wa dini za waarabu ambazo umepumbazwa na kukaririshwa tu.

Hata waafrika walikuwa na dini zao vilevile tofauti na uislamu.
 
Wafia dini kama wewe Accumen Mo ni wafuata mkumbo wa dini za waarabu ambazo umepumbazwa na kukaririshwa tu.

Hata waafrika walikuwa na dini zao vilevile tofauti na uislamu.
😂😂😂Naona unavyoumia ,kunywa pombe ni kufuata mkubwa ,uzinzi ni kufuata mkumbo .

Kuwa na familia ni kufuata mkumbo ...Unasema walikuwa na dini zao ni sawa ,kila jamii ilikuwa na dini yake
 
  • Thanks
Reactions: 511
Nikikwambia mimi ni Mungu utakubaliana nami?
Ndio nitakubali maana wapo miungu wengi
Pesa, jiwe, miti au chochote kile kinaweza kuitwa Mungu kulingana na imani ya mhusika, vitu vyote vinaweza kuabudiwa kwa kuitwa jina " Mungu"
Kama ndivyo basi unakosea kusema hakuna mungu
Kuabudu chochote kwa kukiita Mungu ni sawa tu.

Hata wewe unaweza kujiita Mungu uka abudiwa.

Ndio maana yule mwanamama mfalme Zumaridi ana jiita Mungu na ana wafuasi wanao mwabudu.
Ikiwa hivyo nitaitwa mungu, sasa mbona unasema hakuna mungu?
Nitakuuliza hayo unayo ambiwa na Mungu, ni Mungu wa namna gani?

Mungu jiwe, Mungu mti, Mungu pesa au kitu chochote ulicho amua kukiita Mungu?
Kujua aina ya mungu sio hoja, hoja ni je ni mungu au hakuna mungu.
Kama unakiri mti, jiwe, vinaweza kuitwa mungu, basi unakosea kusema hakuna mungu.
 
Samahani unajua maana Ya Atheists..?
ngoja nikueleze maana yake..

Sasa "atheist" imetokana na neno la Kigiriki kama ifuatavyo.. "a" (without) na "theos" (god), kwahiyo limamaanisha "without god" au "godless."

Kwahiyo sasa atheist ni mtu anapingana na imani ya kuwepo Kwa Mungu,Miungu yaani gods or deities.

typically reject the notion of a supreme being or higher power and instead rely on reason, evidence, and scientific understanding Sijui kama umenipata kwa hapo..

Watu wengi nimeona mnachanganya kati ya Agnostics,Ignostics, na Atheists.. na ndo maana nikauliza hayo maswali

Narudi kwenye hoja yako..

Atheists zaman walikuwa jamii ya kishirikina?

Hapana Philosophia Inapinga uwepo wa Mungu muweza wa yote..na uwepo wa Miungu..
Na ndo hasa ukiangalia maana yake halisi ni Hiyo atheists

Na tukitrace Lini Philosophy ilianza ni Zamani sana hata kabla ya Yesu kuwepo Duniani..

So conclusion ni kwamba Atheists ilikuwa ipo kwa wale wenye Elimu Kubwa sana wana Philosophia..
NA wanaohilosophia wote Wanasayansi wote wa zamani walipinga uwepo wa Mungu...na hiyo ndo iliitwa Atheists "Kimaana"
Na walikuwepo zaman hata kipindi cha Nuhu
Atheist idea haikuwepo zamani hakuna uthibitisho hata kidogo ,kwa sababu mpaka leo haina nguvu.

Kama ilikuwepo ilikuwa na nguvu ndogo sana ,tena mno kiasi kwamba haikuwa na uwezo wa kujitosheleza kushawishi watu.

Nadharia ya uwepo wa Mungu ilikuwa mwanzo kabisa kushinda etheist ndio maana ilikuwa rahisi kwa dini kukua ,watu walikuwa na idea za kuabudu Miungu ,mizimu yaani kifupi vitu visivyoonekana.

Ilikuwa rahisi kwa dini kuchukua nafasi kuliko atheist kwa vile ni mfumo ambao hauna mashiko wala haujitoshelezi .


Kama waafrica walipinga ukoloni kwa nn wasipinge dini kama zimeletwa? Kama watu walipogania uhuru , resistance kibap ila mbona hawakupigana kuondoa dini?

Atheists wapo serious kuamini watu wengi duniani wanafuata uongo!?
 
  • Thanks
Reactions: 511
Unapaswa kusema hakuna mungu mmoja muumba wa vyote, sio hakuna mungu.
Mungu hayupo ndio, kwa vile vitu vingine vina majina yake specific.

Hilo jina "Mungu" linapachikwa tu kwa kitu chochote chenye jina lake linalo exist already.

Ndio maana mwanamama mfalme Zumaridi anaitwa " Zumaridi" ila pia ni Mungu kwa watu wa imani yake.

Mimi naitwa, infropreneur lakini pia naweza kujiita Mungu infropreneur.
 
Hata wewe msabato unae waponda wakatoliki, kwa mantiki ya uzi huu, wewe pia unafanya ibada ya sanamu.

Kwani ibada ya sanamu nini?

Umewahi kusikia mashabiki wa mpira wanasema " kwenye timu hii golini kuna sanamu?" Je unadhani maana yake huwaga ni nini?

Maana yake ni kwamba kwenye timu hiyo golini kuna kipa ambae hatimizi majukumu yake kama kipa. Kipa kazi yake ni kuokoa mipira yote inayo elekezwa golini kwake. Ila kama kipa huyu hadaki magoli yanafungwa tu haokoi wala nini basi watu watasema golini kuna sanamu.

Ni sawa na wanapo sema "Huyu jamaa ni baba au sanamu la baba?" Wana maanisha ni baba ambae hatimizi majukumu yake.

Vivyo hivyo kwa habari ya ibada ya sanamu.

Ibada ya sanamu ni nini sasa?

Ibada ya sanamu ni ibada yoyote ile ambayo Mungu/muungu anae ombwa hatoi majibu.

Ibrahimu alivyo yaharibu masanamu ya mababu zake alifanya hivyo sio kwa sababu yale walikuwa ni masanamu la hasha ila alifanya hivyo kwa sababu masanamu yale yalikuwa hayatoi majibu ya maombi ndio maana akaenda kuyacharaza mapanga kwa Hasira.

Kama masanamu yale ya miungu ya mababu zake yangekuwa yanatoa majibu basi Ibrahim asinge thubutu hata kunyoosha mkono wake kuyakata. Yani asinge thubutu hata kujifanya kama anajikuna.

Wakristu na waislamu na ibada ya sanamu.

Ukweli ni kwamba Asilimia kubwa ya wakristu na waislamu wengi duniani hufanya ibada za sanamu. Kwa sababu hufanya ibada zisizo na majibu. Sanamu lina masikio lakini halijibu na lina macho lakini halioni. Vivyo hivyo Mungu (wa Wakristu na Waislamu) anasikia maombi yote wanayo muomba watu wake lakini huwaga hajibu na ana ona mambo yote mabaya wanayo tendewa watu wake lakini haintervene. Anayaacha yaendelee kutokea hivyo hivyo licha ya yeye kuwa na uwezo wa kuyazuia yasitokee.

Ndio maana kwa wakristu na waislamu mtu akifanya maombi halafu yakajibiwa majibu hayo huitwa muujiza. Muujiza ni jambo ambalo sio la kawaida. Yesu alipo tembea juu ya maji uliitwa muujiza kwa sababu sio kawaida kwa mtu kutembea juu ya maji.

So maombi yanayo jibiwa na Mungu wa wakristu na waislamu huwaga yanaitwa muujiza kwa sababu sio kawaida Mungu kujibu maombi..

Hata wakristu na waislamu ndani ya nafsi zao huwaga wanajua kabisa kwamba Mungu huwaga hajibu maombi yao. Ndio maana wengi wao huenda kwa waganga kutafuta majibu ya maombi yao.

Wakristu na Waislamu wana amini Mungu anayaona zaidi madhambi yao kuliko maombi yao. Ndio maana mkristu au muislamu akitenda dhambi anakuwa na uhakika kabisa Mungu kamuona na anakuwa na ile kitu inaitwa Guilty conscious kwa sababu anajua Mungu kamuona . Lakini akifanya maombi yake anakuwa hana imani kama Mungu kayasikia na kwamba atamjibu.

Ndio maana hata kwenye Uzi wangu huu wakristu na waislamu watakuja ku comment hapa kwamba Mungu ataniadhibu kwa kuwa ninakufuru ila ningeandika Uzi nikisema nataka nifunge nimuombe Mungu awafanye watu wote duniani waache dhambi basi wakristu na waislamu hao watakuja kunidhihaki hapa kwa sababu wanajua Mungu hatonijibu kwa maana wanajua Mungu huwa hajibu maombi ya watu.

Bahati nzuri vitabu vya dini zote mbili vimeshaweka wazi kabisa kwamba Mungu huwa hajibu maombi ya watu..

Tufanye nini sasa ee rabbi? Vunja masanamu (Vunja connection na Mungu asie jibu maombi yako na anza sasa kumtafuta Mungu mwenye kujibu maombi yako. Acha ibada ya sanamu sasa)
Huna tofauti na wapiga ramli. Sijaona way forward hapo. Pia wakristu (na. Waislamu bila shaka) wanamuomba Mungu huyo huyo wa Ibrahim. Au nakose?
 
😂😂😂Naona unavyoumia ,kunywa pombe ni kufuata mkubwa ,uzinzi ni kufuata mkumbo .

Kuwa na familia ni kufuata mkumbo ...Unasema walikuwa na dini zao ni sawa ,kila jamii ilikuwa na dini yake
Na kuwa Atheist ni kufuata mkumbo?
 
Mungu hayupo ndio, kwa vile vitu vingine vina majina yake specific.

Hilo jina "Mungu" linapachikwa tu kwa kitu chochote chenye jina lake linalo exist already.

Ndio maana mwanamama mfalme Zumaridi anaitwa " Zumaridi" ila pia ni Mungu kwa watu wa imani yake.

Mimi naitwa, infropreneur lakini pia naweza kujiita Mungu infropreneur.
Je ukijiita mungu, nikiulizwa kama nilikuwa nachat n mungu nikasema ndio nitakuwa nimekosea?

Kama nitakuwa sawa kukuita mungu kwa nini ukatae kuwa hakun mungu wakati hapo utakuwa umejiita mungu nami nimekutambua kama mungu?
 
USiabudu sanamu mkuu. What is insanity? Insanity is doing the same thing over and over again but expecting different results.

Ndicho mnacho kifanya watu wa dini. Mnamuomba Mungu siku zote miaka yote hampati majibu ila hamuachi kuendelea kumuomba kwa sababu mnatarajia kupata matokeo tofauti. That is insanity bro..
Unakumbuka mtume Paulo alivyo elezea maana ya Neno Imani??
 
  • Thanks
Reactions: 511
Back
Top Bottom