Uchaguzi 2020 Ukweli Mchungu: CCM is too complicated kwa Vyama vyetu vya Upinzani

Uchaguzi 2020 Ukweli Mchungu: CCM is too complicated kwa Vyama vyetu vya Upinzani

Omary - Msamalia

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2020
Posts
2,079
Reaction score
4,521
Mwanzoni Kabisa mwa Uchaguzi Bashiru Ally alinukuliwa akisema kuishinda ACT Wazalendo ni rahisi sana kuliko kuishinda CUF.

CCM na CHADEMA au Kama CCM itajigawa ndio vyama vitakavyochuana miaka 20 tokea sasa.

Imechukua siku 20 tu CCM kuivunja ACT-Wazalendo vipande viwili na kumnasa Zitto Kabwe mjanja kwenye Tundu Bovu.

Ukweli Mchungu ACT-Wazalendo hawana nafasi ya kupata Mbunge hata mmoja upande wa Bara na visiwani wamekatwa nako hali si shwari.

Baada ya Uchaguzi Turudi hapa Kujibu hili swali.

Ni Maalim au Lipumba aliyeiua CUF?

Tamaa ya Zitto Kabwe imefanya Taifa tumpoteze Kijana Kwa Msongo wa Mawazo.
 
Upinzani ulishakufa tangu 2015. Bado chama cha kuitikisa CCM, hakijazaliwa bado. Chadema saccos Ltd, hawa ni wazee wa matukio hata ilani yao ni magumashi tu. Wekeni mfano wa democrasia na maendeleo, kwenye saccos yenu kwanza ndio watanzania wanaweza kuwa amini.
 
CCM kama chama kina hodhi DOLA yote. Vyombo muhimu vya dola vipo kwa interest ya CHAMA (kumlinda Mwenyekiti) na si Nchi.

The Party is bigger than the State. Hata TISS, wapo ku-serve interests za Chama/Party na si Nchi/State. Ndiyo maana yoyote anayeshindana na Chama anashughulikiwa na DOLA. Katibu Mkuu wa CCM ana nguvu kuliko RPC au hata IGP.

Kubadili huu mfumo vyama vya upinzani haviwezi. Inahitaji atokee kiongozi mwenye uelewa na busara kutambua huo mfumo hauna manufaa na kuuvunja au wananchi wafanye mass protests.

CCM bila DOLA ni nyepesi kuliko ACT.
 
Zetu dua tuu
Hatuko tayari kuwekwa ramani sisi na madini yetu
Wala hatupo tayari kuwahimiza watoto wetu kuwa na wenzi wa jinsia moja
Na hatuko tayari kuvuruga amani ya nchi iliyojengwa kwa miaka zaidi ya 50
Mmechanganyikiwa sana baada ya kupeleka fedha za walipakodi Chato kujenga uwanja
 
Kama hiyo ya chato inawauma sijui ya October 28 itawafanyaje!?
Watanzania hatuko tayari kuwekwa rehani pamoja na mali zetu. Heri tukajenge na kwako kama unataka
Kwani Oktoba 28 unajua itatokea nini?? Tanzania inajua Magufuli anaenda kustaafishwa rasmi!
Embu fafanua utawekuwekwaje rehani ??unamaanisha nini? Tuanzie hapo?
 
Kwani October 28 unajua itatokea nini?? Tanzania inajua magufuli anaenda kustaafishwa rasmi!
Embu fafanua utawekuwekwaje rehani ??unamaanisha nini? Tuanzie hapo?
Kasome ilani yako ya uchaguzi ndio ujue unakopelekwa, vinginevyo subiri october 28
Na hapo ndio utajua hujui
 
Mbona hueleweki??? Ndo umeikimbia hoja yako nini???😂😂😂
Utaelewa tuu bado siku 36
20200922_174931.jpg
 
Back
Top Bottom