Uchaguzi 2020 Ukweli Mchungu: CCM is too complicated kwa Vyama vyetu vya Upinzani

Uchaguzi 2020 Ukweli Mchungu: CCM is too complicated kwa Vyama vyetu vya Upinzani

IMG_20200922_173958.jpg
 
Kizazi hiki cha leo kilichojaa wasomi hakiwezi kukalishwa na propaganda za kijinga kama hizi, nenda page ya Millard ayo amempost Jiwe akipinga hoja ya Majimbo, kasome comments utapata picha
Zetu dua tuu
Hatuko tayari kuwekwa ramani sisi na madini yetu
Wala hatupo tayari kuwahimiza watoto wetu kuwa na wenzi wa jinsia moja
Na hatuko tayari kuvuruga amani ya nchi iliyojengwa kwa miaka zaidi ya 50
 
Kizazi hiki cha leo kilichojaa wasomi hakiwezi kukalishwa na propaganda za kijinga kama hizi, nenda page ya Millard ayo amempost Jiwe akipinga hoja ya Majimbo, kasome comments utapata picha
Uongo na propaganda za Tundu huzioni mkuu? Au ndio kipofo

unamuona chongo?
 
Upinzani ulishakufa tangu 2015. Bado chama cha kuitikisa CCM, hakijazaliwa bado. Chadema saccos Ltd, hawa ni wazee wa matukio hata ilani yao ni magumashi tu. Wekeni mfano wa democrasia na maendeleo, kwenye saccos yenu kwanza ndio watanzania wanaweza kuwa amini.
Mkuu samahani lakini kama ntakukwaza,ccm ndo imetufikisha hapa tulipo,Elimu duni,maisha magumu,unafanya kazi kwa bidii lakini serikali hyohyo inakunyang,anya hata hicho kidogo kwa kupitia TRA.kama mwenye PhD hana uwezo Wa kujieleza je sisi la saba B,mfumo Wa elimu ni mbovu sana huwezi kujilinganisha na wenzetu ndani ya east Africa,ngoja nikupe mfano!
 
Ila kuibiwa 2.7 trillions ni sawa tu! Bado tuna safari ndefu sana ya kukomboa fikra za Watanzania.

Zetu dua tuu
Hatuko tayari kuwekwa ramani sisi na madini yetu
Wala hatupo tayari kuwahimiza watoto wetu kuwa na wenzi wa jinsia moja
Na hatuko tayari kuvuruga amani ya nchi iliyojengwa kwa miaka zaidi ya 50
 
CCM kama chama kina hodhi DOLA yote. Vyombo muhimu vya dola vipo kwa interest ya CHAMA (kumlinda Mwenyekiti) na si Nchi.

The Party is bigger than the State. Hata TISS, wapo ku-serve interests za Chama/Party na si Nchi/State. Ndiyo maana yoyote anayeshindana na Chama anashughulikiwa na DOLA. Katibu Mkuu wa CCM ana nguvu kuliko RPC au hata IGP.


Kubadili huu mfumo vyama vya upinzani haviwezi. Inahitaji atokee kiongozi mwenye uelewa na busara kutambua huo mfumo hauna manufaa na kuuvunja au wananchi wafanye mass protests.

CCM bila DOLA ni nyepesi kuliko ACT.
Umeandika kwa uchungu sana kwa sababu CCM ndio waliokufikisha hapo.

BTW nimeambiwa kwamba kuna bubu ataka kusema leo amechelewa kwenda kuosha vibibi vya kithungu kule Marekani.
 
Zetu dua tuu
Hatuko tayari kuwekwa ramani sisi na madini yetu
Wala hatupo tayari kuwahimiza watoto wetu kuwa na wenzi wa jinsia moja
Na hatuko tayari kuvuruga amani ya nchi iliyojengwa kwa miaka zaidi ya 50
Amani bila haki ni sawa na nchi kuongozwa na mtu kama Jiwe.
Mwaga pombe twende na Mh Lissu 2020

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
CCM kama chama kina hodhi DOLA yote. Vyombo muhimu vya dola vipo kwa interest ya CHAMA (kumlinda Mwenyekiti) na si Nchi.

The Party is bigger than the State. Hata TISS, wapo ku-serve interests za Chama/Party na si Nchi/State. Ndiyo maana yoyote anayeshindana na Chama anashughulikiwa na DOLA. Katibu Mkuu wa CCM ana nguvu kuliko RPC au hata IGP.

Kubadili huu mfumo vyama vya upinzani haviwezi. Inahitaji atokee kiongozi mwenye uelewa na busara kutambua huo mfumo hauna manufaa na kuuvunja au wananchi wafanye mass protests.

CCM bila DOLA ni nyepesi kuliko ACT.

Hivi bado unayaishi maisha ya mkwere ya ku protest ndugu?. Tafuta kazi ya kufanya nakusihi kwani hilo hutapata atakayekuunga mkono. Kama ulikuwa hujaelewa asilimia kubwa ya waliokuwa wanaandamana ni mama lishe na machinga kwa kunyimwa eneo huru la kujitaftia Rizk pamoja na kutozwa tozo zisizo na mantiki, now hilo halipo,wataachaje shuhuli zao kwa manufaa ya Saccos zenu tena?
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Usicheke ndugu, hamna viumbe wataalam wa "Kujizima Data" kama wa Tz, Mkwere alijitengenezea 'ki lami chake' kwa kisingizio cha kuchepusha foleni chalinze watu kimyaa!. Wengi humu tu wasafiri muda mwingi, ni lini kumekuwepo na foleni ya kutisha pale kona ya Chalinze?. Leo hii mtu anaponda tu kisa hampendi mtekelezaji.
 
Mwanzoni Kabisa mwa Uchaguzi Bashiru Ally alinukuliwa akisema kuishinda ACT Wazalendo ni rahisi sana kuliko kuishinda CUF.

CCM na CHADEMA au Kama CCM itajigawa ndio vyama vitakavyochuana miaka 20 tokea sasa.

Imechukua siku 20 tu CCM kuivunja ACT-Wazalendo vipande viwili na kumnasa Zitto Kabwe mjanja kwenye Tundu Bovu.

Ukweli Mchungu ACT-Wazalendo hawana nafasi ya kupata Mbunge hata mmoja upande wa Bara na visiwani wamekatwa nako hali si shwari.

Baada ya Uchaguzi Turudi hapa Kujibu hili swali.

Ni Maalim au Lipumba aliyeiua CUF?

Tamaa ya Zitto Kabwe imefanya Taifa tumpoteze Kijana Kwa Msongo wa Mawazo.
Chongeni weee muungano nilazima mnatoka mwaka huu mnajisemesha ilimturudishe nyuma zzk shikia hapohapo
 
Back
Top Bottom