Uchaguzi 2020 Ukweli Mchungu: CCM is too complicated kwa Vyama vyetu vya Upinzani

Uchaguzi 2020 Ukweli Mchungu: CCM is too complicated kwa Vyama vyetu vya Upinzani

CCM kama chama kina hodhi DOLA yote. Vyombo muhimu vya dola vipo kwa interest ya CHAMA (kumlinda Mwenyekiti) na si Nchi.

The Party is bigger than the State. Hata TISS, wapo ku-serve interests za Chama/Party na si Nchi/State. Ndiyo maana yoyote anayeshindana na Chama anashughulikiwa na DOLA. Katibu Mkuu wa CCM ana nguvu kuliko RPC au hata IGP.

Kubadili huu mfumo vyama vya upinzani haviwezi. Inahitaji atokee kiongozi mwenye uelewa na busara kutambua huo mfumo hauna manufaa na kuuvunja au wananchi wafanye mass protests.

CCM bila DOLA ni nyepesi kuliko ACT.
Ghana,Gambia, Zambia nk walikuwa kama hivi..endelea kujitekenya..ogopa nguvu ya umma
 
Zetu dua tuu
Hatuko tayari kuwekwa ramani sisi na madini yetu
Wala hatupo tayari kuwahimiza watoto wetu kuwa na wenzi wa jinsia moja
Na hatuko tayari kuvuruga amani ya nchi iliyojengwa kwa miaka zaidi ya 50
Elimu yako tafadhali.
Ulisoma ulichoandika kabla ya kukituma?
Kweli mchina kafanya maisha yawe changanyikeni, kafanya mpaka hg aka mercury wetu wanaingia JF.
 
Elimu yako tafadhali.
Ulisoma ulichoandika kabla ya kukituma?
Kweli mchina kafanya maisha yawe changanyikeni, kafanya mpaka hg aka mercury wetu wanaingia JF.
Halihitaji elimu kujua kwamba wewe una tatizo kubwa sana kifikra. Polee
 
Zetu dua tuu
Hatuko tayari kuwekwa ramani sisi na madini yetu
Wala hatupo tayari kuwahimiza watoto wetu kuwa na wenzi wa jinsia moja
Na hatuko tayari kuvuruga amani ya nchi iliyojengwa kwa miaka zaidi ya 50


Kwenye hiyo AMANI unayoilinda, je, HAKI haina nafasi?
 
waache tu wasiamini huku kumenoga hatari popote pale penye rangi ya kijani ni nyomi..... MITANO TENA
1600931998113.png
 
Niliandika Huu Uzi siku za mwanzo kabisa za Uchaguzi.
ACT kashanasa kwenye Tundu Bovu.

Chadema watch out.

Je ACT wanaweza kumfuta uanachama Maalim Seif na Zitto ?
 
Huu ni uzi wangu wa September niliposema kuwa ACT imegawanyika vipande viwili ACT (Maalim) waliokimbia CUF na ACT watakaona Membe angewasadia kupata kura za ushindi Majimbo ya Kusini ambayo CUF wamefanya vizuri.

ACT waliamini ni chama kinachoweza kuwa mbadala wa CDM na kupata angalau wabunge Zanzibar, lakini matokeo yake ni Aibu ya Karne na Baada ya Uchaguzi huu CUF imebaki na nguvu kidogo wakati CDM inapambana isife kabisa licha ya kuwa na mtaji wa watu, wakati huo ACT itakutana na mgogoro mkubwa ndani ya Chama.

Katika Urais nafasi ya Tatu ya Urais basi ni ushindani kati ya ACT, CUF na CHAUMA.

Mwisho kama CCM itaendelea Kuwa moja kama sasa 2025 itakuwa inashindana na vyama vidogo sana. Ushauri wangu CDM wasibishane wala kutaka kuoenekana wanajua kuliko Wananchi wa Watanzania na waamue Kubaidili(Reform) Sera ya Chama chao kutoka kuwa chama cha Kibepari na kuwa Social democrat kama CCM

Wisho Tanzania rasmi ni defacto One party State, Na China inavoimarika Nchi nyingi za Africa Tanzania ndio itakuwa Mfano wao wa Dhahabu.
 
Kwani Oktoba 28 unajua itatokea nini?? Tanzania inajua Magufuli anaenda kustaafishwa rasmi!
Embu fafanua utawekuwekwaje rehani ??unamaanisha nini? Tuanzie hapo?
Kasome ilani yako ya uchaguzi ndio ujue unakopelekwa, vinginevyo subiri october 28
Na hapo ndio utajua hujui
Shallow minded
Bora hiyo shallow, kuliko wetabula rasa kabisaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Zetu dua tuu
Hatuko tayari kuwekwa ramani sisi na madini yetu
Wala hatupo tayari kuwahimiza watoto wetu kuwa na wenzi wa jinsia moja
Na hatuko tayari kuvuruga amani ya nchi iliyojengwa kwa miaka zaidi ya 50
Zetu dua
 
Huu ni uzi wangu wa September niliposema kuwa ACT imegawanyika vipande viwili ACT (Maalim) waliokimbia CUF na ACT watakaona Membe angewasadia kupata kura za ushindi Majimbo ya Kusini ambayo CUF wamefanya vizuri.

ACT waliamini ni chama kinachoweza kuwa mbadala wa CDM na kupata angalau wabunge Zanzibar, lakini matokeo yake ni Aibu ya Karne na Baada ya Uchaguzi huu CUF imebaki na nguvu kidogo wakati CDM inapambana isife kabisa licha ya kuwa na mtaji wa watu, wakati huo ACT itakutana na mgogoro mkubwa ndani ya Chama.

Katika Urais nafasi ya Tatu ya Urais basi ni ushindani kati ya ACT, CUF na CHAUMA.

Mwisho kama CCM itaendelea Kuwa moja kama sasa 2025 itakuwa inashindana na vyama vidogo sana. Ushauri wangu CDM wasibishane wala kutaka kuoenekana wanajua kuliko Wananchi wa Watanzania na waamue Kubaidili(Reform) Sera ya Chama chao kutoka kuwa chama cha Kibepari na kuwa Social democrat kama CCM

Wisho Tanzania rasmi ni defacto One party State, Na China inavoimarika Nchi nyingi za Africa Tanzania ndio itakuwa Mfano wao wa Dhahabu.
cc Erythrocyte
 
Mwanzoni Kabisa mwa Uchaguzi Bashiru Ally alinukuliwa akisema kuishinda ACT Wazalendo ni rahisi sana kuliko kuishinda CUF.

CCM na CHADEMA au Kama CCM itajigawa ndio vyama vitakavyochuana miaka 20 tokea sasa.

Imechukua siku 20 tu CCM kuivunja ACT-Wazalendo vipande viwili na kumnasa Zitto Kabwe mjanja kwenye Tundu Bovu.

Ukweli Mchungu ACT-Wazalendo hawana nafasi ya kupata Mbunge hata mmoja upande wa Bara na visiwani wamekatwa nako hali si shwari.

Baada ya Uchaguzi Turudi hapa Kujibu hili swali.

Ni Maalim au Lipumba aliyeiua CUF?

Tamaa ya Zitto Kabwe imefanya Taifa tumpoteze Kijana Kwa Msongo wa Mawazo.
Mkuu ulijuaje haya mambo??
 
Back
Top Bottom