Ukweli mchungu: " Dunia ya sasa haimpendi baba bora/mume bora. Hizi ndio adhabu ambazo dunia itakupa kwa " kosa" la kuwa baba/ mume bora

Ukweli mchungu: " Dunia ya sasa haimpendi baba bora/mume bora. Hizi ndio adhabu ambazo dunia itakupa kwa " kosa" la kuwa baba/ mume bora

Misogynistic sio Mwanaume mwenye chuki na wanawake, ni mwanaume anayeona men are superior to women, hizo ni definition mbili tofauti.


Women don't hate nice guys, women look down on nice guys(these are two different things) na Huwez amini kwamba hichi kitu ni kweli, women love bad boys, period. Sasa ww unataka kubishana na wanawake wenyew?
Kwamba
Screenshot_20231022-110649_Chrome.jpg
 
WATOTO MNAOWAZARAU BABA ZENU KUNA SIKU NANYINYI MTAKUWA AKINA BABA,,,,,DADA UNATOKA NA MME WAMTU MNGU AKUJALIE MME NDO UTAJUA USAHIHI WA KILE ULIKUWA UNAKIFANYA,,,,,,ikisimama ogeni maji ya baridi ilale,,,,,mapenzi yatawaua mbwa nyinyi
 
Hahahah mwanamke anapenda commander sio pleaser. Yani ukiwa mwanaume wa kutaka approval kwa kila kitu anaanza kukushusha vyeo.

Ukiwa mtu ambaye huwazi atajiskiaje we unampa orders tu jua atakupenda balaa. Yani onyesha tu kuwa hubabaishwi nae tu uone ambavyo ata bow down.
100%

Lakini msimistake aina hii ya wanaume na ambayo mleta mada anataka wanaume wawe. Kuna wanaume wanajua exactly wanachotaka, wanajua jinsi ya kusimamia uanaume wao, hawapelekeshwi ovyo na wanatimiza majukumu yao 90% na atadai haki ya mke atimize majukumu yake pia bila kumchekea.

Mwanaume mwenyewe maamuzi yake ya kiume not necessarily akawa mkatili, mpigaji, womanizer, irresponsible and the likes.
 
Wazee wetu walitumia mfumo dume, kuleta heshima kwenye ndoa, wake zao waliwatii na kuwaheshimu.

Mi wanawake ya sasa hivi inataka haki sawa kwenye kila sekta halafu inataka wanaume waendelee kuwahudumia mahitaji yao!!

Huu kama sio Utapeli na unyonyaji ni nini?

Mtu akitaka haki sawa awe tayari kujihudumia mwenyewe.

Mwanamke lazima awe submissive otherwise ndoa ni utapeli.
Ni kweli kabisa, yaani usawa upo kwenye mamlaka tu, ila kwenye majukumu wanataka yote abebe mwanaume, how? Kama ni. 50 kwa 50, basi kuanzia kujemga nyumba, ada za watoto, gharama za matumizi nyumbani nk. tutoe 50/ 50, sio natoa 100% halafu unataka tuwe na haki sawa, no way!! Na hapo nado nalipa house girl wa kulea watoto aliozaa yeye ili aweza kwenda kazini..

Beijing ilikuwa mkakati wa shetani kuvuruga taasisi ya familia..
 
100%

Lakini msimistake aina hii ya wanaume na ambayo mleta mada anataka wanaume wawe. Kuna wanaume wanajua exactly wanachotaka, wanajua jinsi ya kusimamia uanaume wao, hawapelekeshwi ovyo na wanatimiza majukumu yao 90% na atadai haki ya mke atimize majukumu yake pia bila kumchekea.

Mwanaume mwenyewe maamuzi yake ya kiume not necessarily akawa mkatili, mpigaji, womanizer, irresponsible and the likes.

You spit facts man.
 
Na siku zote ukiwa 6 x 6 na mwanamke hutakiwi umuonee huruma. Gonga style zote mpk ukitaka tena akuambia amechoka.
Ndiyo maana wanawake wanawapenda bad guy kwasababu hawaonei huruma kwenye sex na pia wanawafanya waishi kwa wasiwasi, ndivyo siku zote mwanamke anavyoishi kwa wasiwasi.
Nice guy hadi sex, atamuuliza unaumia, anampenda mpenzi wake na kumpigia simu kila muda kumjulia hali, kiukweli wanawake huwa hawapendi hali hii.
Mademu wanapenda moto jama jama tuwapelekeeni moto tena huww mkali kuliko ule wa jehanum
 
Ndio maana ndoa ya CR7 imedumu Kwa sababu mzee anaishi kama hana make vile! Wife amekuwa na adabu Kwa CR7!
Vipi Messi ameoa demu wake wa utotoni na wana miaka zaidi ya 10 kwenye ndoa.

Binafsi siamini theories za mahusiano. Hakuna mtaalamu wa mapenzi na mahusiano. Ni kama mchezo wa BIKO
 
Sikubaliani na maoni ya mtoa mada katika maeno kadhaa

Maeneo hayo ni kama Ifuatavyo.

1. Suala la mke kutomheshimu mume anayetaka kumuoa.

My take : ukioa mwanamke malaya lazima akudharau,ila ukioa mwanamke aliyejitunza basi atakuheshimu.

Hivyo sio kwamba dunia ndio haimheshimu baba bora hapana,bali sisi wanaume tunashindwa kuchagua wake ambao watatufanya tuwe waume na mababa bora.

HAUWEZI KUWA MUME/BABA BORA MBELE YA MWANAMKE MALAYA ASIYEJIHESHIMU.


2. Nice guy.

mwanamke malaya pekee ndio atakayekuona nice guy pale unapotaka kumuoa,na sio mwanamke alyejitunza mwenye adabu zake.

My take : tutafute wanawake wanaojiheshimu(wapo) ili tukiwatangazia ndoa wasituone ni akina mr nice guys.

3 . mke kumpenda mwanaume anayetembea na wake za watu.

mwanamke sio kwamba anampenda mwanaume anayetembea na wake za watu hapana,mwanamke anampenda mwanaume mwenye wanawake wengi awe MKE wa mtu au asiwe mke wa mtu.

LEngo la mtoa mada ni kudhoofisha ndoa watu wasioe,lakini kiuhalisia tutafute wake wenye maadili waliostaarabika kisha tuwaoe.

Kitu cha msingi ambacho mtoa mada amekiacha ni kuueleza umma kwamba mambo yote aliyoyataja yanatokana na MALEZI ya huyo mwanamke.

Na malezi ni kila alichokiona mtoto kinamuathiri katika malezi.
Kila alichokisikia kinamuathiri katika malezi.
Kila alichokifanya kinamuathiri katika malezi.

Mwanamke ambaye amekulia huku akiona na kusikia matukio ya ajabu ya wanaume au baba yake na huku mama yake huyo akivumilia matukio hayo,basi tutarajie huyu mtoto akikua lazima ataona kwamba huyo ndio mwanaume wa kweli kwa sababu wakati anakua yeye aliona wanaume wa aina hiyo

Na ndio maana kuna wanawake wakikufuma umechepuka wanakuacha kwa sababu hawakukulia katika mazingira ya kuintertain uchepukaji.

Lakini wapo wanawake ukichepuka wataendelea kuwa na wewe kwa sababu walikulia katika mazingira hayo na kuona jambo la kawaida sasa huyu atakuachaje na kwake ni ishu ya kawaida ?

Hivyo mtoa mada alitakiwa aseme kwamba kuna aina fulani ya wanawake ndio wanafiti katika utafiti wake,na wala sio wanawake wote.

Hivyo mtoa mada alitakiwa akubali kwamba yote aliyoyasema yanatokana na aina fulani ya wanawake na sio wanawake wote.

kwa msingi hio mtoa mada alitakiwa akataze wanaume kuoa aina fulani ya wanawake na sio wanawake wote.


Hivyo basi : NDOA NI MBAYA IKIWA UTAO AINA FULANI YA WANAWAKE,NA WALA SIO KWA WANAWAKE WOTE.

mwanamke utakayemuoa ndio dunia yako,hivyo ukichagua vizuri atakuheshimu na dunia itakuheshimu,na ukochagua vibaya atakudharau na dunia itakudharau.
Hii comment itapendwa sana na wanawake. Kifupi nature ya Mapenzi ni kutokuwa na utaratibu. Haya mambo ya utaratibu tumeyaleta kwa ubinafsi wetu na ndio chanzo cha migogoro. Ingekuwa mpe - mtoe na hakuna habari za ndoa wala usiongeona matatizo.
 
Huyo anaepeleka pochi polisi hajaufata Uislam.

Hiyo Kiislam inaitwa "luqatah" na ina namna zake zimeainishwa kikamilifu na muda wake maalum wa kukaa nazo kabla hazijawa zako.

Ukimuona Muislam anapeleka mali ya kuokota polisi huyo ni mtenda mema asiyeelewa hukumu zake Kiislam.

Ndiyo maana Uislam unasisitiza "soma". Usiifate jamii ukadhani kuwa ipo sawa kwa kila walifanyalo.
Hivi shemej fai upo manhaj gan?

Salafy?

Qur aniyu?

Ahlu twariqa?

Ahlu shafy.?

Ahmadiya...?

Ahlu shigha Ally?

Na unaelimu gani?

Ibtadia?

Mubtadia?

Thanawi?

Diploma?

Degree?

Doctor...?

Ili nijue Kwanza nguvu z hoja zako

insha'Allah natumai utajibu kama ulivyoulizwa.

Wasalam
 
Hili ni moja kati ya bandiko bora kabisa nililowahi kusoma toka nimejiunga JF. Umeandika busara tupu Jombaa.

Ndoa ni very outdated institution. Asilimia kubwa ya watu wengi huingia huko kwa sababu ya social conformity.
 
Hivi shemej fai upo manhaj gan?

Salafy?

Qur aniyu?

Ahlu twariqa?

Ahlu shafy.?

Ahmadiya...?

Ahlu shigha Ally?

Na unaelimu gani?

Ibtadia?

Mubtadia?

Thanawi?

Diploma?

Degree?

Doctor...?

Ili nijue Kwanza nguvu z hoja zako

insha'Allah natumai utajibu kama ulivyoulizwa.

Wasalam
Muislam mwanafunzi.
 
Una umri gani?this ila childish and foolish talk.
Acha kudisi watu unataka umri wangu ili iwaje hili ni jukwaa huru kama hutaki hoja za wengine pita hivi mzee.
Tunazungumza uhalisia wa kitaani wewe unaketa eti oooh mwanamke nae anahaki sujui blash blashi sikia mzee wanawake unaowazungumzia sijui wanahaki ni wale wa miaka ile ambao kwa sasa wana 50+ na kuendelea huko hawa wa sasa wanahitaji kupelekewa moto kama ule wa Elia sasa wewe jishaue hapa vijana wa kimongoli wapite na mkeo ndo utajua mtoa mada alilenga nini dadekiiii
 
Back
Top Bottom