lukubuzo Samsis
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 2,920
- 3,388
Misogynistic ni ~Hatred of, contempt for, or prejudice against women. βΌ showMisogynistic sio Mwanaume mwenye chuki na wanawake, ni mwanaume anayeona men are superior to women, hizo ni definition mbili tofauti.
Women don't hate nice guys, women look down on nice guys(these are two different things) na Huwez amini kwamba hichi kitu ni kweli, women love bad boys, period. Sasa ww unataka kubishana na wanawake wenyew?
Moderator ndio wamefuta sijui wana shida ganiKuna mtu kaandika matumizi ya mafuta ya karafuu alafu kafuta uzi. Naomba aandike tena, nina maswali ya kumuuliza.
Wewe unajikuta unawaelewa sana hawa viumbe? Au wewe ndio iddi makengo?Kama hamjui ombeni msaada mpate maarifa na uelewa kuhusu wanawake badala ya kulialia tu.
Naomba nitumie PM mkuu.Moderator ndio wamefuta sijui wana shida gani
Mataifa ya ulaya kama wangekuwa wana ziheshimu ndoa wasingekuwa na rate kubwa ya talaka na single parent, hata rate ya ndoa ulaya inazidi kupungua kila mwaka.Umetumia muda mwingi sana kumzungumzia mwanamke na wala sio huyo mbaba au mume bora,zaidi lengo lako lilikua kuponda ndoa za wazungu,nikueleze tu wazungu wanajitambua ndio mana mataifa yao yameendelea sana,wanaheshimu ndoa na maamuzi kati yao,sio ubabe na ujinga wa ndoa za kiafrika.
Masupastaa wengi walio waoa mademu zao walikuwa nao utotoni, wengi ndoa zao zimedumu mfano Messi,Lebron, Snoop Dogg na wengineo wengi.Sababu moja mademu zao waliwavumilia,kipindi wanahustle kutafuta,zile up and down walishare wote na ndio maana ni rahisi kwao kudumu.Vipi Messi ameoa demu wake wa utotoni na wana miaka zaidi ya 10 kwenye ndoa.
Binafsi siamini theories za mahusiano. Hakuna mtaalamu wa mapenzi na mahusiano. Ni kama mchezo wa BIKO
Hahahahahah sawa kuwa bold sio lazma mtu awe katili ila ni kuhusu checks and balances.100%
Lakini msimistake aina hii ya wanaume na ambayo mleta mada anataka wanaume wawe. Kuna wanaume wanajua exactly wanachotaka, wanajua jinsi ya kusimamia uanaume wao, hawapelekeshwi ovyo na wanatimiza majukumu yao 90% na atadai haki ya mke atimize majukumu yake pia bila kumchekea.
Mwanaume mwenyewe maamuzi yake ya kiume not necessarily akawa mkatili, mpigaji, womanizer, irresponsible and the likes.
Mringie, Mhairishe mara mbili au tatu mfululizo then onana nae akiwa anakaribia kukata tamaa ya kutolewa out na wewe.Aisee daaah nondo tupu ila ushauri wako unanifanya ni cancel mambo mengi sana aisee.
Mfano, Kuna demu flani kesho kaniomba nimtoe out tupate angalau muda wa kukutana na kuongea mawili matatu, ila huyu demu nishamgonga mara nyingi tuu, sasa as per what you said, kama nishamtumia nikiendelea kumtoa out maana yake ataendelea kunidharau sio?
POLE SANA MKUU....UMEANDIKA KWA HISIA SANAKwa matusi niliyo vurumishia na wadogo zake nakubaliana na mtoa mada ,
nilijaribu kuwa mume bora .,
na nikajaribu kuwa baba bora bila kujali mtoto sio damu yangu
Yote bure
MuhimbiliMjomba hapa tunaongelea wanaume na wanawake hatuongelei simba wala swala, halafu hilo neno "assume" nimelitumia wapi tena zaidi ya mara moja tu tena ambapo nilikuwa siongelei takwimu au mwenzetu husomi kuelewa unasoma tu ili mradi ukimbilie kubisha, hizo takwimu nilizokupa ni za sensa ya mwaka jana sasa wewe hayo ya wanaume kufa mapema na wanawake kuzaliwa kwa idadi kubwa umeyatoa wapi na yameanza lini
Hata sisi tunapenda hivyo. Ila unakuta kwenye familia watu wamezaliwa wanawake watupu, mtoto wa kike atahudumiaje familia yake ikiwa anakaa ndani analea tu? Pili watoto wanasomeshwa, unakuja kumkuta mkeo tayari anafanya kazi sasa inakuwaje ukataka abaki ndani alee watotoMi naona ni kinyume chake, hakuna mwanaume hata anaetaka mke wake afanye kazi. Wengi wetu tunatamani asili ya binadamu ichukue mkondo wake, mke akae ndani alee watoto na mume akatafute, full stop. Na pia kama ilivyo nature, jinsia ya kiume inapaswa kuwa na sauti na maamuzi zaidi. Ndio maana wanaume wanasauti nzito kiasili, why? Na wanawake wana sauti nyembamba , why?! Means kiasili mwanaume ndio kiongozi wa familia. Beijing imevuruga asili ya familia, ni mpango wa kishetani.
Yaani huyu Maza ni totally brainwashed. Huwa najiuliza ni kwa nini wanashindwa kuelewa ya kwamba uislam ni uarabu.Sijawahi soma comment yako ambayo haina neno 'Uislam'
Sheria za agano la kale + Ukatoliki + Tamaduni za kiarabu = UislamuYaani huyu Maza ni totally brainwashed. Huwa najiuliza ni kwa nini wanashindwa kuelewa ya kwamba uislam ni uarabu.
Apo akizingua anakwenda na maji, ni kwamba hao watoto watabaki na nani mkuu?? Watoto watatuDaah, my thoughts exactly !! πππππ
Nina mke huu mwaka wa 7, na watoto watatu juu, ila i will never give her a guarantee ya ndoa kanisani, never, i always keep her on edge, kwamba akizingua anakwenda na maji...
Elewa sentensi (comprehension). Lengo ni kumfanya aamini hivyo, ila in actuality i never intend to let her go.., never.Apo akizingua anakwenda na maji, ni kwamba hao watoto watabaki na nani mkuu?? Watoto watatu
Mimi nimepata bikraSo unawashauri wanaume wasioe au unawashauri waoe bikra. Sasa bikra unaitoa wapi saahizi kaka?
Mimi nimepataSo unawashauri wanaume wasioe au unawashauri waoe bikra. Sasa bikra unaitoa wapi saahizi kaka?