Ukweli mchungu: " Dunia ya sasa haimpendi baba bora/mume bora. Hizi ndio adhabu ambazo dunia itakupa kwa " kosa" la kuwa baba/ mume bora

Na wenyewe hao wanawake wako proud kumkandamiza na kutunyanyasa sisi wanaume.

Ndio maana kampeni nyingi za kumdunisha mwanaume zime anzishwa kuna feminism, women empowerment, ladies first n.k

Kama mwanamke na yeye ana utashi na nafsi na wao wapambane na hali zao, Sio kutaka misaada na michango ya wanaume.

Mambo ya kusema mwanaume anapaswa kumhudumia mwanamke halafu, Hapohapo mwanamke huyo anataka haki sawa ni unyonyaji na upumbavu. Kama wanawake wanataka haki sawa na wao wawe tayari kujihudumia.

Halafu sio kweli kwamba 90% ya malezi yametoka kwa mama zetu, Hizi ni prapaganda za kutetea upande wa mwanamke tu .
 
Mwisho wa siku haya yanabaki kuwa maoni yako kwasababu binadamu hatufanani,wengine tulijaribu kuwa bad boys tulijikuta tunaharibu na kufanya nyumba chungu,tatizo lenu mnataka kuendekeza mfumo dume kitu ambacho mnasahau ni kuwa mambo yamebadirika mfumo huo haufanyi kazi ipasavyo miaka hii,wanaume wenzangu tukumbuke wanawake nao ni binadamu kasoro tu hapo kati kuna maumbile mawili tofauti, sasa wewe jifanye una mtreat kama mnyama utegemee akutendee unayotaka,mtaishia kusema kataa ndoa.
 
Na ndio maana ikaitwa jamii forums
Maana yake mwanajamii anauhuru wakuongea kile apendachho

Lazima tu tutatofautiana mtazamo

Yess!! Wanawake wako tofauti japo 70% akili zao ni MOJA!
Wote waliepo humu wanawanawake tofauti tofauti tofauti na ndio mana majibu yamekua tofauti tofauti
Wewe kama wakwako mnaenda sawa ..alhamdullilah tunashukuru,ila hawa wengine acha tuendelee na spana tu
 
Naam usikariri paper utakula mweleka
 
Mkuu MUNGU hakosolewi!!
Tena hata usimuingize hapa

Feminist-super woman
Na tule tuvikundi twao ndio shida ilipo
Wale wamefanya mwanamke asahau wajibu wake na sio mungu

Zamani ndoa zilidumu sana
Mambo haya hayakuepo
Je wale wa zamani waliumbwa na nani?
 
Mwanamke anatakiwa kuwa treated kikoloni ila usifikie viwango vya kuvunja utu na Haki za binadamu.

Na ndio maana wanaume wanaojifanya kuoenda sana wake zao Huwa lazima watende yaani mwanamke anakuwa na wasiwasi Kwa nini anakuwa anamlilia Lilia like hajiamini.

Ndio maana Huwa Nina mipaka ya kubembeleza mwanamke utoto Huwa sipendi but ukiweza kuwa na affection harafu bad boy inakuwa poa zaidi.
 
Hahaha mkuu umenena
Na wanapenda haswa
Me nna kidem changu kimoja chenyewe kilinitamkia waziwazi kua kinanipenda kwakua nakipelekea moto sana
Ila kuna videmu vingine vikijua kua wwe hutowi pesa yako hadi ugonge,lazima kalazimishe kukuletea mbunye ugonge alafu ukatowe na mshiko,wanawake wanauza k kwa style nyingi sana! Mwanamke ndiyo Msanii no moja kwenye Mapenzi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…