Ukweli mchungu: " Dunia ya sasa haimpendi baba bora/mume bora. Hizi ndio adhabu ambazo dunia itakupa kwa " kosa" la kuwa baba/ mume bora

Ukweli mchungu: " Dunia ya sasa haimpendi baba bora/mume bora. Hizi ndio adhabu ambazo dunia itakupa kwa " kosa" la kuwa baba/ mume bora

Mkuu nimekuongezea kwenye list nitakao safiri nao Norway...

Hivi unaanzaje kumpenda na kumsikiliza mwanamke kabisa?

Unaanzaje kumuamini mwanamke?

Unaanza kumsikiliza mwanamke?

Usimpe attention mwanamke hata kama ni mama yako wanawake Wana tabia zinazofanana( ila Mama kidogo apewe heshima yake)

Tutembee na msemo huu

"NO Attachment just a sex"

"Eat and run"

Yaani peleka Moto mbaya mbovuView attachment 2788709
Nakazia [emoji419][emoji375]



Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Baba bora ni nani? Baba bora ni yule anae wapenda, watunza na kuwajali watoto wake.

Mume bora ni nani? Mume bora ni yule anae mpenda na kumjali mke wake na familia yake kwa ujumla.

Je dunia inampenda baba bora/mume bora?

The evidence says NO.

Experience inaonyesha kwamba mwanaume ukijaribu kuwa mume bora au baba bora basi dunia itampa adhabu kwa " kosa" la kuwa mume /baba bora.

Zifuatazo ni baadhi ya adhabu ambazo dunia humpa baba/mume bora.

1. Kudhauriwa na mtu ambae ana stahili kukuheshimu/ kudharauliwa sehemu ambayo una stahili kuheshimiwa

Mtu wa kwanza atakae kudhaurau ni mwanamke ambae uta propose kumuoa. The moment umeanza kusuggest wazo la kumuoa ndio the moment atalapo anza kukudharau na siku mtakayo funga ndoa ndio siku atakayo kudharau zaidi . Kwenye ndoa ndio dharau zitakuwa pro max( hii mnaita mwanamke kutoa makucha yake baada ya kuingia kwenye ndoa)

Kwanini anakudharau;

1. Anakudharau kwa sababu she think you are a nice guy. Women don't like nice guys. Women don't respect nice guys. Because to them a nice guy means a foolish guy. Asking for her hand in marriage is you playing a nice guy card . And you being nice to her is the same as you being a foolish guy. Wanawake wanajuaga mwanaume wa ukweli hawezi kutaka kuoa mwanamke. Wazo la kutaka kuoa mwanamke haliwezi kukaa kwa mwanaume halisi. For a real man the idea of wanting to get married is a crazy idea.

Kwa wanawake walio wengi, mwanaume wa ukweli ni yule anae jua kila kitu kuhusu wanawake . Na mwanaume anae jua kila kitu kuhusu wanawake ni yule anae jua kwamba hajui chochote kuhusu wanawake. KWA sababu hii basi mwanaume huyu wa ukweli hawezi kutaka kuoa mwanamke kwa sababu hawezi kuoa kitu ambacho hakijui vizuri. Misahafu inajua vizuri kuhusu ukweli huu ndio maana imeshauriwa kwamba mwanaume akipandwa na " kichaa" cha kutaka kuoa basi aozeshwe mke mara moja kabla " kichaa" hakijashuka akaghairi.

So mwanaume unapo mwambia mwanamke unataka kumuoa anakudharau sana kwa sababu anakuona wewe ni mwanaume ambae hawajui wanawake vizuri na hujui unacho kifanya. Atakuwa na wewe kwa sababu maisha yake yanakuhitaji wewe kwa wakati huo lakini hawezi kukuheshimu. Mbaya zaidi iwe wewe mwenyewe ndio uwe umeleta wazo la ndoa na sio yeye tena kwa kukuroga na kukusumbua kwa muda mrefu .

Anakudharau kwa sababu hujamkuta akiwa bikira. Anakushangaa wewe ni mjinga kiasi gani hata uende kumuoa yeye ilihali umemkuta tayari ameshatumika. Mwanamke huyu atawaheshimu zaidi wale walio pita nae na kutembea nae kuliko wewe ambae umemuoa kabisa. Tena kama ulimkuta ana mtoto ( single mother) then ukamuoa basi ndio atakudharau mara kumi zaidi kwamba u mjinga wa wapi wewe unaenda kuoa mwanamke aliezalishwa na mwanaume mwingine na.kumuacha ila wewe ndio umemuona mke huyo.Ndio maana wanaume wengi wanao toka na single mothers wakiamini single mothers watawaheshimu huwa wanaishia kuwa disappointed na kuanza kuwaponda single mothers. Hii ni kwa sababu single mothers sio wajinga . Hata wao wanajua mwanaume wa ukweli hawezi kudili na single mothers wakati vigoli wamejaa tele. Wanajua something is missing in you ndio maana umeangukia kwao.

Anakudharau kwa kuwa ana mwanaume zaidi ya mmoja ila katika wote wewe ndio umekuwa foolish enough kufunga nae ndoa.

Umeshawahi kuambiwa na mwanamke ambae umeingia nae kwenye mahusiano " umebadilika kwa kuwa umesha kipata unacho kitaka?" Kama bado hujawahi basi tambua kwamba something is missing in you. Kama mwanamke hajaona kitu hiki kwako basi wewe una mapungufu katika uanaume wako kwa sababu ukiwa mwanaume ulie kamilika lazima uta onyesha hali ya kumkinai mwanamke ambae umesha sex nae hata awe mzuri namna gani. Wanawake wanajua vizuri kuhusu ukweli huu ndio maana ukienda kununua mwanamke wale wanao jiuza anataka umpe hela yake kwanza ndo atoe utelezi kwa sababu anajua ukisha kojoa tu thamani yake kwako itashuka na utakuwa mgumu kutoa hela.

Vivyo hivyo ndivyo wanawake wanavyo tuchukulia kwenye mahusiano. Wanajua sisi huwa tunawashusha thamani tukishawavua Chupi. Wewe unae muongezea thamani baada ya kumvua Chupi " kwa kumuoa kabisa " lazima akudharau sana kwa sababu anakuona sio mwanaume ulie kamilika.

Umeshawahi jiuliza kwanini wanawake walio olewa wanawapenda wanaume wanao tembea na wake za watu? KWA sababu wana amini wanaume wa ukweli ni waharibifu by nature, wanawachukulia wanawake kama chombo cha starehe na hawa amini katika ndoa. Wao wenyewe hawawezi kuoa wala hawaiheshimu ndoa ndio maana wanaona poa kutembea na wake za watu kwa sababu to them ndoa ni upuuzi fulani hivi... wanawake wanataka KUKUTANA na mwanaume mwenye mindset kama hii kwa sababu wana amini huyo ndio mwanaume halisi.

All women love bad guys hata wamama huwapenda zaidi watoto wao wa kiume watukutu kuliko wale ambao sio watukutu.

A woman will only stay loyal in a relationship where:

1. She knows that she can be easily replaced by another woman who is more beautiful than her.

2. Her man can break up with her at any time if she dare messing up with him.

Hivi vitu havipatikani mwenye ndoa hasa hasa ndoa ya kizungu. Ndoa ya kizungu inampa mwanamke guarangww na " guarantee " kwa mwanamke kwenye mahusiano ni adui wa uhusiano huo. Kwenye mahusiano mwanamke anatakiwa kuwa na wasiwasi muda wote. Wasiwasi wa kuachwa. Wasiwasi wa kuibiwa mume etc. Akivikosa hivi vitu kwako ataenda kuvitafuta kwa mwanaume mwingine kwa sababu asipo vipata atajiona kama vile hayupo na mwanaume.

Adhabu ya pili itakuja hivi punde
Mkuu
Kuishi nao kwa akili ndo mpango mzima
 
Umetumia muda mwingi sana kumzungumzia mwanamke na wala sio huyo mbaba au mume bora,zaidi lengo lako lilikua kuponda ndoa za wazungu,nikueleze tu wazungu wanajitambua ndio mana mataifa yao yameendelea sana,wanaheshimu ndoa na maamuzi kati yao,sio ubabe na ujinga wa ndoa za kiafrika.
Mkuu hakuna viumbe wanao lindwa na sheria kama wanawake hasa kwa nchi za USA na Ulaya..

Just imagine ukimpiga mwanamke au kumtukana haijalishi yeye ndio anakosa unakamatwa na kufungwa Wewe.

USA kuna namba ya mapolisi 911, mke wako akipiga namba hii utajua hujui, Yani yeye ndio anasikilizwa kwanza.

Wewe utasikilizwa maoni yako ukiwa kwenye pingu au mahakamani, Haijalishi yeye mwanamke ndio mkosaji au wewe.

Feminism ni janga kubwa sana kwa nchi za ulaya kiasi kwamba hakuna mwanaume anatamani kuishi na mwanamke.kwenye ndoa ni Hit and run...

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hakuna viumbe wanao lindwa na sheria kama wanawake hasa kwa nchi za USA na Ulaya..

Just imagine ukimpiga mwanamke au kumtukana haijalishi yeye ndio anakosa unakamatwa na kufungwa Wewe.

USA kuna namba ya mapolisi 911, mke wako akipiga namba hii utajua hujui, Yani yeye ndio anasikilizwa kwanza.

Wewe utasikilizwa maoni yako ukiwa kwenye pingu au mahakamani, Haijalishi yeye mwanamke ndio mkosaji au wewe.

Feminism ni janga kubwa sana kwa nchi za ulaya kiasi kwamba hakuna mwanaume anatamani kuishi na mwanamke.kwenye ndoa ni Hit and run...

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app

Lakini ndio wanaotupa misaada sisi magaidi na majangiri wa kwenye ndoa na mahusiano,mwanamke naye ni kiumbe mwenye nafsi na utashi kama mwanaume kwanini kumkandamiza sana?wengi tumezaliwa na kulelewa na wazazi wetu wa kike malezi na makuzi yetu 90% yametoka kwa mama zetu,still bado hatumthamini mwanamke na tuko proud humu kumkandamiza na mumdharau mwanamke. Shame on you guys.
 
Nakazia kuna kidemu flan hivi nilikipa uzito wa 35 per cubic baada ya hapo kila baada ya siku kinatimba nakichapa sa juzi ijumaa tukiwa Lupaso kikaniambia kuwa kinapenda sana mfumo ninaoutumia tukiwa inegoli.
So nakubaliana na mtoa mada wanawake huwa wanapenda kinyume chake.

Una umri gani?this ila childish and foolish talk.
 
Ukisoma Hii post utagundua Taifa linateswa na Mapenzi kweli kweli

Ndio maana wadau tunasema hiki kipengele kiingizwe kwenye katiba ili kulilindabtaifa na kuongeza nguvu kazi isiyo na hofu hofu, hofu na msongo wa mawazo hata hadi kufa ndio watoto ambao huzaliwa baada ya mwanaume kua mume bora
 
Hivi sentence kama hii unazungumzia wanawake mnaowaokota tu huko mitaani kwa ajili ya kumalizia nyege zenu au unazungumzia mpaka wale mnaowaita WAKE zenu?

Bora hao wa kuokota mtaani kule, anakupa, unampa mnamalizana. Nazungumzia yule unaetaka kumuoa, au mkeo. Yaan mwanamke unaeweza kumpa attention na ukafikiria Kua ni mwenzako upange nae mipango kila kitu ajue.
 
Baba bora ni nani? Baba bora ni yule anae wapenda, watunza na kuwajali watoto wake.

Mume bora ni nani? Mume bora ni yule anae mpenda na kumjali mke wake na familia yake kwa ujumla.

Je dunia inampenda baba bora/mume bora?

The evidence says NO.

Experience inaonyesha kwamba mwanaume ukijaribu kuwa mume bora au baba bora basi dunia itampa adhabu kwa " kosa" la kuwa mume /baba bora.

Zifuatazo ni baadhi ya adhabu ambazo dunia humpa baba/mume bora.

1. Kudhauriwa na mtu ambae ana stahili kukuheshimu/ kudharauliwa sehemu ambayo una stahili kuheshimiwa

Mtu wa kwanza atakae kudhaurau ni mwanamke ambae uta propose kumuoa. The moment umeanza kusuggest wazo la kumuoa ndio the moment atalapo anza kukudharau na siku mtakayo funga ndoa ndio siku atakayo kudharau zaidi . Kwenye ndoa ndio dharau zitakuwa pro max( hii mnaita mwanamke kutoa makucha yake baada ya kuingia kwenye ndoa)

Kwanini anakudharau;

1. Anakudharau kwa sababu she think you are a nice guy. Women don't like nice guys. Women don't respect nice guys. Because to them a nice guy means a foolish guy. Asking for her hand in marriage is you playing a nice guy card . And you being nice to her is the same as you being a foolish guy. Wanawake wanajuaga mwanaume wa ukweli hawezi kutaka kuoa mwanamke. Wazo la kutaka kuoa mwanamke haliwezi kukaa kwa mwanaume halisi. For a real man the idea of wanting to get married is a crazy idea.

Kwa wanawake walio wengi, mwanaume wa ukweli ni yule anae jua kila kitu kuhusu wanawake . Na mwanaume anae jua kila kitu kuhusu wanawake ni yule anae jua kwamba hajui chochote kuhusu wanawake. KWA sababu hii basi mwanaume huyu wa ukweli hawezi kutaka kuoa mwanamke kwa sababu hawezi kuoa kitu ambacho hakijui vizuri. Misahafu inajua vizuri kuhusu ukweli huu ndio maana imeshauriwa kwamba mwanaume akipandwa na " kichaa" cha kutaka kuoa basi aozeshwe mke mara moja kabla " kichaa" hakijashuka akaghairi.

So mwanaume unapo mwambia mwanamke unataka kumuoa anakudharau sana kwa sababu anakuona wewe ni mwanaume ambae hawajui wanawake vizuri na hujui unacho kifanya. Atakuwa na wewe kwa sababu maisha yake yanakuhitaji wewe kwa wakati huo lakini hawezi kukuheshimu. Mbaya zaidi iwe wewe mwenyewe ndio uwe umeleta wazo la ndoa na sio yeye tena kwa kukuroga na kukusumbua kwa muda mrefu .

Anakudharau kwa sababu hujamkuta akiwa bikira. Anakushangaa wewe ni mjinga kiasi gani hata uende kumuoa yeye ilihali umemkuta tayari ameshatumika. Mwanamke huyu atawaheshimu zaidi wale walio pita nae na kutembea nae kuliko wewe ambae umemuoa kabisa. Tena kama ulimkuta ana mtoto ( single mother) then ukamuoa basi ndio atakudharau mara kumi zaidi kwamba u mjinga wa wapi wewe unaenda kuoa mwanamke aliezalishwa na mwanaume mwingine na.kumuacha ila wewe ndio umemuona mke huyo.Ndio maana wanaume wengi wanao toka na single mothers wakiamini single mothers watawaheshimu huwa wanaishia kuwa disappointed na kuanza kuwaponda single mothers. Hii ni kwa sababu single mothers sio wajinga . Hata wao wanajua mwanaume wa ukweli hawezi kudili na single mothers wakati vigoli wamejaa tele. Wanajua something is missing in you ndio maana umeangukia kwao.

Anakudharau kwa kuwa ana mwanaume zaidi ya mmoja ila katika wote wewe ndio umekuwa foolish enough kufunga nae ndoa.

Umeshawahi kuambiwa na mwanamke ambae umeingia nae kwenye mahusiano " umebadilika kwa kuwa umesha kipata unacho kitaka?" Kama bado hujawahi basi tambua kwamba something is missing in you. Kama mwanamke hajaona kitu hiki kwako basi wewe una mapungufu katika uanaume wako kwa sababu ukiwa mwanaume ulie kamilika lazima uta onyesha hali ya kumkinai mwanamke ambae umesha sex nae hata awe mzuri namna gani. Wanawake wanajua vizuri kuhusu ukweli huu ndio maana ukienda kununua mwanamke wale wanao jiuza anataka umpe hela yake kwanza ndo atoe utelezi kwa sababu anajua ukisha kojoa tu thamani yake kwako itashuka na utakuwa mgumu kutoa hela.

Vivyo hivyo ndivyo wanawake wanavyo tuchukulia kwenye mahusiano. Wanajua sisi huwa tunawashusha thamani tukishawavua Chupi. Wewe unae muongezea thamani baada ya kumvua Chupi " kwa kumuoa kabisa " lazima akudharau sana kwa sababu anakuona sio mwanaume ulie kamilika.

Umeshawahi jiuliza kwanini wanawake walio olewa wanawapenda wanaume wanao tembea na wake za watu? KWA sababu wana amini wanaume wa ukweli ni waharibifu by nature, wanawachukulia wanawake kama chombo cha starehe na hawa amini katika ndoa. Wao wenyewe hawawezi kuoa wala hawaiheshimu ndoa ndio maana wanaona poa kutembea na wake za watu kwa sababu to them ndoa ni upuuzi fulani hivi... wanawake wanataka KUKUTANA na mwanaume mwenye mindset kama hii kwa sababu wana amini huyo ndio mwanaume halisi.

All women love bad guys hata wamama huwapenda zaidi watoto wao wa kiume watukutu kuliko wale ambao sio watukutu.

A woman will only stay loyal in a relationship where:

1. She knows that she can be easily replaced by another woman who is more beautiful than her.

2. Her man can break up with her at any time if she dare messing up with him.

Hivi vitu havipatikani mwenye ndoa hasa hasa ndoa ya kizungu. Ndoa ya kizungu inampa mwanamke guarangww na " guarantee " kwa mwanamke kwenye mahusiano ni adui wa uhusiano huo. Kwenye mahusiano mwanamke anatakiwa kuwa na wasiwasi muda wote. Wasiwasi wa kuachwa. Wasiwasi wa kuibiwa mume etc. Akivikosa hivi vitu kwako ataenda kuvitafuta kwa mwanaume mwingine kwa sababu asipo vipata atajiona kama vile hayupo na mwanaume.

Adhabu ya pili itakuja hivi punde
Baadhi ni ya kweli baadhi ya Uongo
 
Huo ndiyo ukweli. Wanawake wapo hivi.
Ukimuuliza unampenda mwanaume wa aina gani? atakuambia awe muaminifu, mpole na anayempenda ila kiukweli mwanamke hapendi mwanaume wa aina hiyo.
Mwanamke anampenda bad guy kwasabb hujiona yupo salama zaidi
Hahahah mwanamke anapenda commander sio pleaser. Yani ukiwa mwanaume wa kutaka approval kwa kila kitu anaanza kukushusha vyeo.

Ukiwa mtu ambaye huwazi atajiskiaje we unampa orders tu jua atakupenda balaa. Yani onyesha tu kuwa hubabaishwi nae tu uone ambavyo ata bow down.
 
Swali nilim-quote Mizam na SIYO wewe. Naomba anijibu niliyem-quote.

Swali anajibu yoyote, muhimu uelewe ni wanawake wote. Awe malaya wa mtaani anaejiuza hadharani, au mwanamke uliemuweka ndani. Wote mama yao ni mmoja, tabia zao zinafanana toka enzi za Adamu na Hawa.

Hiv Hawa alikosa chakula hadi akale lile tunda? Jibu ni Ni.
Hiv Adam asinge mpa attention Hawa, si lingekua la kwake? Na pengine Mungu angetafuta namna na kumsamehe Adam. Ila alipompa attention tu! Unajua kilichotokea.
 
Tatizo hapo, tunaishi kwa ajili ya watu, hatuishi kwa ajili yetu.

Tunajiona kama tumejiumba wenyewe, hatutaki kutazama "instruction manual " ya muumba wetu. Tunafata ya watu.
Tatizo katika nyakati hizi mambo yamekuwa kama ilivyo tabiriwa na mitume na manabii kwamba nyakati za mwisho watu watakengeuka na kutofuata tena maagizo ya Mungu. Siku hizi wanao fuata maagizo ya Mungu ndio wanao onekana wajinga na dunia hii iliyo jaa ushetani ina waadhibu kwa kosa hilo la kufuata mambo ya Mungu. Hata mwanaume anae jaribu kuwa baba/bora anafuata maelekezo ya muumba lakini mwisho wa siku anakuwa punished kwa sababu hiyo..

Sasa hivi ukiokota pochi yenye milioni moja ukaenda kuripoti polisi kwamba umeokota pochi yenye kitambulisho na milioni moja, polisi wenyewe kwanza wanakupiga makofi na kukuweka ndani kabisa na mwenye pochi akija anakuongezea na kesi nyingine anasema pochi iliibiwa kwenye gari pamoja na laptop kwa hiyo useme na laptop ipo wapi...
 
Hahahah mwanamke anapenda commander sio pleaser. Yani ukiwa mwanaume wa kutaka approval kwa kila kitu anaanza kukushusha vyeo.

Ukiwa mtu ambaye huwazi atajiskiaje we unampa orders tu jua atakupenda balaa. Yani onyesha tu kuwa hubabaishwi nae tu uone ambavyo ata bow down.
Sahihi asilimia 100
 
Back
Top Bottom