Ukweli mchungu: " Dunia ya sasa haimpendi baba bora/mume bora. Hizi ndio adhabu ambazo dunia itakupa kwa " kosa" la kuwa baba/ mume bora

Ukweli mchungu: " Dunia ya sasa haimpendi baba bora/mume bora. Hizi ndio adhabu ambazo dunia itakupa kwa " kosa" la kuwa baba/ mume bora

SIKUBALIANI NA HOJA HII.
Watu mnatiana ujinga sana. Mnalishana sumu sana. Ukisoma maoni ya walio wengi utaona lawama nyingi wanapewa wanawake, maneno ya chuki na kejeli wanapewa wanawake, na wengi wanaotoa maoni wana mtazamo hasi sana juu ya wanawake. Wengi wanaonekana waliumia kwenye mahusiano au wanaendelea kuumia kwenye mahusiano lakini kwa mtazamo wao wanawake ndio chanzo cha matatizo na wao ndio wenye makosa. Wengi wanatoa uzoefu wao binafsi au mifano yao binafsi kama hukumu au hitimisho kwamba wanawake ni wabaya, hii si sahihi. Hebu tujiulize, hivi wanaume hawana makosa kwenye uhusiano? Kwa hiyo shida zote zinazotokea kwenye mahusiano wewe mwanaume huna mchango kwenye shida hizo? Yaani wewe ni malaika na msafi ila mwanamke ndiye siku zote mkosaji? Si kweli! Changamoto kubwa ninayoiona hapa ni wanaume wengi hasa vijana KUKOSA UELEWA NA MAARIFA, kuhusu masuala ya mahusiano na kumwelewa mwanamke. Mahusiano ni sanaa ambayo lazima ujifunze jinsi ya kukabiliana nayo kila siku. Kukosa kwako uelewa na maarifa kusiwe kisingizio kwamba mwanamke ni mtu mbaya. Yaani, huwezi kulaumu gari lenye changamoto za kiufundi kwasababu wewe inakusumbua kuliendesha au hujui jinsi ya kulitengeneza, hapo tatizo si gari, tatizo ni WEWE usiye na maarifa.

Wanawake ni viumbe bora sana kuweza kuwepo hapa duniani, swali ni kwamba UNAWAELEWA? Ndoa ni jambo jema sana kuwahi kutokea hapa duniani, kuna faida nyingi sana raha za kuwa kwenye ndoa, tatizo UNA UELEWA? UNA MAARIFA? Kukosa kwako maarifa na uelewa kuhusu wanawake haimaanishi kwamba wanawake ni wabaya, au uwachukie wanawake, jipe muda JIFUNZE ili uwaelewe na uendelee kufurahia maisha yako wewe na wanawake.

Wanawake wapo, na wataendelea kuwepo, wewe mwanaume huna namna bali ni kuwa mpole jifunze jinsi ya kuishi naye mwanamke na maisha yaendelee.

Kama hamjui ombeni msaada mpate maarifa na uelewa kuhusu wanawake badala ya kulialia tu.
Mwamba huwajui hawa viumbe, Mungu akufunulie uwaelewe vizuri. Isiombe akufunulie kwa majuto. Ila ukishupaza shingo atakufunulia kwa majuto.
 
Kijana wanaume wenye uwezo ni wengi kuliko wasio na uwezo, sasa tuassume kila mwanaume mwenye uwezo akataka kuoa wanawake wawili, watatu, wanne na kuendelea unafikiri wanawake waliopo watatosha, mwisho wa siku mtajikuta na wanawake nao itawalazimu kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja ili kila mwanaume apate mwanamke
Hebu angalia hapa jf wangapi ni platinum members na levels zingine .
Platinum ni wakuhesabu ,sawa na wenye kuweza wake wanne pia wapo na Kuna wasioweza hata huyo mmoja.
Equation still Bado haibalance,
 
Acha kudisi watu unataka umri wangu ili iwaje hili ni jukwaa huru kama hutaki hoja za wengine pita hivi mzee.
Tunazungumza uhalisia wa kitaani wewe unaketa eti oooh mwanamke nae anahaki sujui blash blashi sikia mzee wanawake unaowazungumzia sijui wanahaki ni wale wa miaka ile ambao kwa sasa wana 50+ na kuendelea huko hawa wa sasa wanahitaji kupelekewa moto kama ule wa Elia sasa wewe jishaue hapa vijana wa kimongoli wapite na mkeo ndo utajua mtoa mada alilenga nini dadekiiii
Au asubiri siku mzee kitombile apite na mke wake, ndio ataliamini ili bandiko.
 
Hapana mkuu labda nikuwekee maelezo katika haya makundi manne ndio utanielewa

-Mume atafute pesa, alipe bili na ahudumie mke na watoto, mke afanye kazi za nyumbani na atunze mume na watoto, kusiwe na housegirl

-Mke atafute pesa, alipe bili na ahudumie mume na watoto, mume afanye kazi za nyumbani na atunze mke na watoto, kusiwe na housegirl

-Wote mume na mke mtafute pesa, mlipe bili mhudumie na mtunze watoto na msaidiane kazi za nyumbani kwa pamoja, kusiwe na housegirl

-Wote mume na mke mtafute pesa, mlipe bili mhudumie na mtunze watoto kwa pamoja ila msifanye kazi za nyumbani, kuwe na housegirl na ndio afanye kazi zote za nyumbani

Hoja yangu ni kwamba majukumu yote mnayotakiwa kuyafanya whether housegirl yupo au hayupo basi myafanye Pasu Kwa Pasu na hiyo iwe ratiba ya kila siku

Na hiyo ndio maana halisi ya 50/50 tofauti na hapo maana yake ni kwamba mmoja atakuwa anatwishwa majukumu mengi kuliko mwenzake
Sasa kwani tangia mwanzo sisi tunasema nini, si ndio hicho hicho ulichosema. Tatizo linakuja mtu anataka 50/ 50 wakati gharama zote za nyumbani na malezi ya watoto yanafanya na mwanaume, hadi kazi zake za ndani zinafanywq na house girl tena anaelipwa na mwanaume, na yeye pia anatunzwa kama mtoto ndani ya nyumba , halafu anataka 50/50 kwenye mamlaka na maamuzi, hapo ndio tunaongelea sisi.
 
Kwa asili dunia iliumbwa kwa ajili ya wanaume. Na ni mwanaume ndiye mwenye jukumu na mamlaka ya kuitawala.

Ili kuitawala dunia na vyote vilivyomo ni lazima kutambua mamlaka hii ya asili tuliyopewa na kisha kujua namna ya kuitumia.

Comment nyingi zina-discourage ndoa na mahusiano ya kudumu. Hili linadhihirisha ukubwa wa ombwe na tisho la kutoweka kwa mamlaka asili ya kiume.

Mwanaume ukitumia akili na mamlaka yako vilivyo, mwanamke ataenenda chini ya misingi utakayomwekea. Ndo maana misahafu inasisitiza umuhimu wa kuishi nao kwa akili. Badala ya kuambukizana ujinga wa "kupeleka moto na kuwabwaga" tuwekeze kwenye kupeana maarifa na akili ya kuishi nao.

Hizi porojo za kuwakomoa, sijui hit and run, ni dhana za kichovu zinazoonesha immaturity na wala si uanaume.

Kushindwa kum-handle mwanamke ni kielelezo cha mwanzo wa kushindwa kujitawala. Ukishindwa kumtawala mwanamke kuna mengi hutaweza kuyatawala.

Haijawahi kutokea dunia nzima ikawa na watu wenye tabia, matamanio na hulka za aina moja. Binadamu wote tuna character tofauti kutokana na effect ya mazingira ya zamani na sasa.

Wapo wanawake wajinga na vile vile wapo wanaojitambua. Ni kama ilivyo kwa wanaume, wapo wanaume wanaojielewa na kujiamini, wapo waoga na wasioweza kujisimamia, kuna wanaume machawa mpaka machoko kama akina Lokole, lakini wote hawa ni wanaume. Vipi kama wanawake wakituhukumu wanaume wote kwa kumtumia Mwijaku kama sample study, itakuwa sawa?

Badala ya kupandikiza chuki na uoga dhidi ya wanawake, tupeane maarifa namna ya kumtambua na kumpata mwanamke bora (kwasababu wapo).

Mwisho wa siku lazima tuzaane na kuijaza dunia. Na kupata kizazi bora cha kesho tunahitaji familia madhubuti chini ya baba na mama wanaojitambua.
Hata hiyo hit and run, au hiyo ya kumtreat mwanamke as a recreational instrument ni akili pia. Maana ukimtreat mwanamke kama mwenzao, au kama partner inakula kwako. So ili mahusiano yadumu, ni bora uwe hueleweki. Akizingua piga chini. Ukimkamata kacheat piga chin achana na mambo ya eti ndoa ndoa hadi kufa. Ni upumbavu na ujinga. Utazidi kuteseka hadi unaingia kaburini na itawaachia watoto wako na wazazi wako wakipata tabu kisa mwanamke.
 
Unafanya mazoezi gani na lishe gani? Maana kukaa dakika 30 itakuwa kuna namna.
Kula chakula cha kushiba kama unauzito.wa kilo 80 kula kilo tatu kila mlo, kula kuku mzima, mboga za majani, tangawizi, kitunguu swaumu, ugali wa mhogo au dona, piga mazoezi, kama jumping jack, plank, push ups, kegel,.......zingatia lishe kula 5% ya uzito wako protein ziwe nyingi, vaa pendeza jipende peleka moto ili chakula ukitendee haki..... Sijisifu mkuu naapa mbele ya mungu kama yupo, nauwezo wa kupanda kifuani kwa mwanamke zaidi ya saa moja mpka aseme imetosha.......utaniua......jama jama tuwapelekee moto tujipende hivi viumbe huwa vinafuata harufu ya K kwenye miili za wanaume wachakataji .
 
Shetani ana watu wake, ukiona hupitii masahibu ya dunia ya kukata tamaa ujue upo upande wa giza, ila ukiona dunia ni kama inakuangukia mateso ni mengi ujue upo upande wa Mungu na nguvu hiyo inapingana na nguvu za giza
Aisee kumbe, nipo upande wa Mungu ila I feel like giving up bro .
 
SIKUBALIANI NA HOJA HII.
Watu mnatiana ujinga sana. Mnalishana sumu sana. Ukisoma maoni ya walio wengi utaona lawama nyingi wanapewa wanawake, maneno ya chuki na kejeli wanapewa wanawake, na wengi wanaotoa maoni wana mtazamo hasi sana juu ya wanawake. Wengi wanaonekana waliumia kwenye mahusiano au wanaendelea kuumia kwenye mahusiano lakini kwa mtazamo wao wanawake ndio chanzo cha matatizo na wao ndio wenye makosa. Wengi wanatoa uzoefu wao binafsi au mifano yao binafsi kama hukumu au hitimisho kwamba wanawake ni wabaya, hii si sahihi. Hebu tujiulize, hivi wanaume hawana makosa kwenye uhusiano? Kwa hiyo shida zote zinazotokea kwenye mahusiano wewe mwanaume huna mchango kwenye shida hizo? Yaani wewe ni malaika na msafi ila mwanamke ndiye siku zote mkosaji? Si kweli! Changamoto kubwa ninayoiona hapa ni wanaume wengi hasa vijana KUKOSA UELEWA NA MAARIFA, kuhusu masuala ya mahusiano na kumwelewa mwanamke. Mahusiano ni sanaa ambayo lazima ujifunze jinsi ya kukabiliana nayo kila siku. Kukosa kwako uelewa na maarifa kusiwe kisingizio kwamba mwanamke ni mtu mbaya. Yaani, huwezi kulaumu gari lenye changamoto za kiufundi kwasababu wewe inakusumbua kuliendesha au hujui jinsi ya kulitengeneza, hapo tatizo si gari, tatizo ni WEWE usiye na maarifa.

Wanawake ni viumbe bora sana kuweza kuwepo hapa duniani, swali ni kwamba UNAWAELEWA? Ndoa ni jambo jema sana kuwahi kutokea hapa duniani, kuna faida nyingi sana raha za kuwa kwenye ndoa, tatizo UNA UELEWA? UNA MAARIFA? Kukosa kwako maarifa na uelewa kuhusu wanawake haimaanishi kwamba wanawake ni wabaya, au uwachukie wanawake, jipe muda JIFUNZE ili uwaelewe na uendelee kufurahia maisha yako wewe na wanawake.

Wanawake wapo, na wataendelea kuwepo, wewe mwanaume huna namna bali ni kuwa mpole jifunze jinsi ya kuishi naye mwanamke na maisha yaendelee.

Kama hamjui ombeni msaada mpate maarifa na uelewa kuhusu wanawake badala ya kulialia tu.
Wanawake huwa siwaelew na siitaji kuwaelewa me huwa nazielewa mbususu zao, kuanzia pale kiunoni adi kwenye mapaja ndio huwa napaelewa.
 
SIKUBALIANI NA HOJA HII.
Watu mnatiana ujinga sana. Mnalishana sumu sana. Ukisoma maoni ya walio wengi utaona lawama nyingi wanapewa wanawake, maneno ya chuki na kejeli wanapewa wanawake, na wengi wanaotoa maoni wana mtazamo hasi sana juu ya wanawake. Wengi wanaonekana waliumia kwenye mahusiano au wanaendelea kuumia kwenye mahusiano lakini kwa mtazamo wao wanawake ndio chanzo cha matatizo na wao ndio wenye makosa. Wengi wanatoa uzoefu wao binafsi au mifano yao binafsi kama hukumu au hitimisho kwamba wanawake ni wabaya, hii si sahihi. Hebu tujiulize, hivi wanaume hawana makosa kwenye uhusiano? Kwa hiyo shida zote zinazotokea kwenye mahusiano wewe mwanaume huna mchango kwenye shida hizo? Yaani wewe ni malaika na msafi ila mwanamke ndiye siku zote mkosaji? Si kweli! Changamoto kubwa ninayoiona hapa ni wanaume wengi hasa vijana KUKOSA UELEWA NA MAARIFA, kuhusu masuala ya mahusiano na kumwelewa mwanamke. Mahusiano ni sanaa ambayo lazima ujifunze jinsi ya kukabiliana nayo kila siku. Kukosa kwako uelewa na maarifa kusiwe kisingizio kwamba mwanamke ni mtu mbaya. Yaani, huwezi kulaumu gari lenye changamoto za kiufundi kwasababu wewe inakusumbua kuliendesha au hujui jinsi ya kulitengeneza, hapo tatizo si gari, tatizo ni WEWE usiye na maarifa.

Wanawake ni viumbe bora sana kuweza kuwepo hapa duniani, swali ni kwamba UNAWAELEWA? Ndoa ni jambo jema sana kuwahi kutokea hapa duniani, kuna faida nyingi sana raha za kuwa kwenye ndoa, tatizo UNA UELEWA? UNA MAARIFA? Kukosa kwako maarifa na uelewa kuhusu wanawake haimaanishi kwamba wanawake ni wabaya, au uwachukie wanawake, jipe muda JIFUNZE ili uwaelewe na uendelee kufurahia maisha yako wewe na wanawake.

Wanawake wapo, na wataendelea kuwepo, wewe mwanaume huna namna bali ni kuwa mpole jifunze jinsi ya kuishi naye mwanamke na maisha yaendelee.

Kama hamjui ombeni msaada mpate maarifa na uelewa kuhusu wanawake badala ya kulialia tu.
Kwanini hao wanawake hawaji kujitetea wenyewe mpaka utaje wanaume waache kuandika upande wao waandike pia kutetea upande wa wanawake kwani hili jukwaa la wanaume tu, watu Kama ninyi ndio munaopenda kutetea wanawake na kampeni zenu.
 
Hebu angalia hapa jf wangapi ni platinum members na levels zingine .
Platinum ni wakuhesabu ,sawa na wenye kuweza wake wanne pia wapo na Kuna wasioweza hata huyo mmoja.
Equation still Bado haibalance,
Sina uhakika kama ulikuwa unaelewa hesabu darasani mkuu, maana kama hesabu rahisi tu za kwenye maisha halisi kama hizo zinakupiga chenga, je zile za ubaoni ambazo unaona mwalimu anashuka tu formula huku anapiga blah blah si ulikuwa unaona maruweruwe tu
 
Sasa kwani tangia mwanzo sisi tunasema nini, si ndio hicho hicho ulichosema. Tatizo linakuja mtu anataka 50/ 50 wakati gharama zote za nyumbani na malezi ya watoto yanafanya na mwanaume, hadi kazi zake za ndani zinafanywq na house girl tena anaelipwa na mwanaume, na yeye pia anatunzwa kama mtoto ndani ya nyumba , halafu anataka 50/50 kwenye mamlaka na maamuzi, hapo ndio tunaongelea sisi.
Sasa huo ndio unaitwa unyonyaji na mwanamke wa hivyo 50/50 inatakiwa isiwe hata part ya maongezi yake achilia mbali kupewa na mume wake, lakini pia mkuu wewe ndio wa kwanza nimeona una mtazamo huo wanaume wengi niliowahi kujadiliana nao kuhusu hilo huwa hawataki hivyo, wengi wanataka wake zao wawasaidie kutafuta pesa na kulipa bili na bado wafanye majukumu yao ya nyumbani kama kina mama whether mahousegirl wawepo au wasiwepo
 
Sasa huo ndio unaitwa unyonyaji na mwanamke wa hivyo 50/50 inatakiwa isiwe hata part ya maongezi yake achilia mbali kupewa na mume wake, lakini pia mkuu wewe ndio wa kwanza nimeona una mtazamo huo wanaume wengi niliowahi kujadiliana nao kuhusu hilo huwa hawataki hivyo, wengi wanataka wake zao wawasaidie kutafuta pesa na kulipa bili na bado wafanye majukumu yao ya nyumbani kama kina mama whether mahousegirl wawepo au wasiwepo
Mi naona ni kinyume chake, hakuna mwanaume hata anaetaka mke wake afanye kazi. Wengi wetu tunatamani asili ya binadamu ichukue mkondo wake, mke akae ndani alee watoto na mume akatafute, full stop. Na pia kama ilivyo nature, jinsia ya kiume inapaswa kuwa na sauti na maamuzi zaidi. Ndio maana wanaume wanasauti nzito kiasili, why? Na wanawake wana sauti nyembamba , why?! Means kiasili mwanaume ndio kiongozi wa familia. Beijing imevuruga asili ya familia, ni mpango wa kishetani.
 
SIKUBALIANI NA HOJA HII.
Watu mnatiana ujinga sana. Mnalishana sumu sana. Ukisoma maoni ya walio wengi utaona lawama nyingi wanapewa wanawake, maneno ya chuki na kejeli wanapewa wanawake, na wengi wanaotoa maoni wana mtazamo hasi sana juu ya wanawake. Wengi wanaonekana waliumia kwenye mahusiano au wanaendelea kuumia kwenye mahusiano lakini kwa mtazamo wao wanawake ndio chanzo cha matatizo na wao ndio wenye makosa. Wengi wanatoa uzoefu wao binafsi au mifano yao binafsi kama hukumu au hitimisho kwamba wanawake ni wabaya, hii si sahihi. Hebu tujiulize, hivi wanaume hawana makosa kwenye uhusiano? Kwa hiyo shida zote zinazotokea kwenye mahusiano wewe mwanaume huna mchango kwenye shida hizo? Yaani wewe ni malaika na msafi ila mwanamke ndiye siku zote mkosaji? Si kweli! Changamoto kubwa ninayoiona hapa ni wanaume wengi hasa vijana KUKOSA UELEWA NA MAARIFA, kuhusu masuala ya mahusiano na kumwelewa mwanamke. Mahusiano ni sanaa ambayo lazima ujifunze jinsi ya kukabiliana nayo kila siku. Kukosa kwako uelewa na maarifa kusiwe kisingizio kwamba mwanamke ni mtu mbaya. Yaani, huwezi kulaumu gari lenye changamoto za kiufundi kwasababu wewe inakusumbua kuliendesha au hujui jinsi ya kulitengeneza, hapo tatizo si gari, tatizo ni WEWE usiye na maarifa.

Wanawake ni viumbe bora sana kuweza kuwepo hapa duniani, swali ni kwamba UNAWAELEWA? Ndoa ni jambo jema sana kuwahi kutokea hapa duniani, kuna faida nyingi sana raha za kuwa kwenye ndoa, tatizo UNA UELEWA? UNA MAARIFA? Kukosa kwako maarifa na uelewa kuhusu wanawake haimaanishi kwamba wanawake ni wabaya, au uwachukie wanawake, jipe muda JIFUNZE ili uwaelewe na uendelee kufurahia maisha yako wewe na wanawake.

Wanawake wapo, na wataendelea kuwepo, wewe mwanaume huna namna bali ni kuwa mpole jifunze jinsi ya kuishi naye mwanamke na maisha yaendelee.

Kama hamjui ombeni msaada mpate maarifa na uelewa kuhusu wanawake badala ya kulialia tu.
Mkuu kama hujakodiwa basi wewe pasina shaka yyte mwanamke ndio ana sauti hapo kwako. Ova.
 
Sina uhakika kama ulikuwa unaelewa hesabu darasani mkuu, maana kama hesabu rahisi tu za kwenye maisha halisi kama hizo zinakupiga chenga, je zile za ubaoni ambazo unaona mwalimu anashuka tu formula huku anapiga blah blah si ulikuwa unaona maruweruwe tu
Kila kitu unaanza na "Assume" najua siongei na binadamu Bali robot, kwani unaonesha unataka kuprove point zako Kwa data ambazo hata mjinga yeyote anajua
Wanamme hufa mapema zaidi na idadi ya wananke wanaozaliwa ni kubwa ,Bado hiyo haikufanyi kuona ,swala ni wengi kuliko simba
 
SIKUBALIANI NA HOJA HII.
Watu mnatiana ujinga sana. Mnalishana sumu sana. Ukisoma maoni ya walio wengi utaona lawama nyingi wanapewa wanawake, maneno ya chuki na kejeli wanapewa wanawake, na wengi wanaotoa maoni wana mtazamo hasi sana juu ya wanawake. Wengi wanaonekana waliumia kwenye mahusiano au wanaendelea kuumia kwenye mahusiano lakini kwa mtazamo wao wanawake ndio chanzo cha matatizo na wao ndio wenye makosa. Wengi wanatoa uzoefu wao binafsi au mifano yao binafsi kama hukumu au hitimisho kwamba wanawake ni wabaya, hii si sahihi. Hebu tujiulize, hivi wanaume hawana makosa kwenye uhusiano? Kwa hiyo shida zote zinazotokea kwenye mahusiano wewe mwanaume huna mchango kwenye shida hizo? Yaani wewe ni malaika na msafi ila mwanamke ndiye siku zote mkosaji? Si kweli! Changamoto kubwa ninayoiona hapa ni wanaume wengi hasa vijana KUKOSA UELEWA NA MAARIFA, kuhusu masuala ya mahusiano na kumwelewa mwanamke. Mahusiano ni sanaa ambayo lazima ujifunze jinsi ya kukabiliana nayo kila siku. Kukosa kwako uelewa na maarifa kusiwe kisingizio kwamba mwanamke ni mtu mbaya. Yaani, huwezi kulaumu gari lenye changamoto za kiufundi kwasababu wewe inakusumbua kuliendesha au hujui jinsi ya kulitengeneza, hapo tatizo si gari, tatizo ni WEWE usiye na maarifa.

Wanawake ni viumbe bora sana kuweza kuwepo hapa duniani, swali ni kwamba UNAWAELEWA? Ndoa ni jambo jema sana kuwahi kutokea hapa duniani, kuna faida nyingi sana raha za kuwa kwenye ndoa, tatizo UNA UELEWA? UNA MAARIFA? Kukosa kwako maarifa na uelewa kuhusu wanawake haimaanishi kwamba wanawake ni wabaya, au uwachukie wanawake, jipe muda JIFUNZE ili uwaelewe na uendelee kufurahia maisha yako wewe na wanawake.

Wanawake wapo, na wataendelea kuwepo, wewe mwanaume huna namna bali ni kuwa mpole jifunze jinsi ya kuishi naye mwanamke na maisha yaendelee.

Kama hamjui ombeni msaada mpate maarifa na uelewa kuhusu wanawake badala ya kulialia tu.
Brother umeandika sana ila hakuna kinachoeleweka umebaki kusema mwanamke anaonewa sijui mwanaume gari likiwa bovu yani irrelevant to mada, hujaeleza nini vyanzo vya ndoa nyingi kupitia masahibu mengi hujaeleza kwanini wanaume bora wababa bora kwanini wanateseka kwenye mahusiano ukilinganisha na wanaume watukutu , umekua mzito kuelewa jambo jepesiiiiiii umedandia vitu vingine
 
Wahuni mpoo
d7c0aebd83a84195a39142c6f5c293b7.jpg
 
Kila kitu unaanza na "Assume" najua siongei na binadamu Bali robot, kwani unaonesha unataka kuprove point zako Kwa data ambazo hata mjinga yeyote anajua
Wanamme hufa mapema zaidi na idadi ya wananke wanaozaliwa ni kubwa ,Bado hiyo haikufanyi kuona ,swala ni wengi kuliko simba
Mjomba hapa tunaongelea wanaume na wanawake hatuongelei simba wala swala, halafu hilo neno "assume" nimelitumia wapi tena zaidi ya mara moja tu tena ambapo nilikuwa siongelei takwimu au mwenzetu husomi kuelewa unasoma tu ili mradi ukimbilie kubisha, hizo takwimu nilizokupa ni za sensa ya mwaka jana sasa wewe hayo ya wanaume kufa mapema na wanawake kuzaliwa kwa idadi kubwa umeyatoa wapi na yameanza lini
 
Baba bora ni nani? Baba bora ni yule anae wapenda, watunza na kuwajali watoto wake.

Mume bora ni nani? Mume bora ni yule anae mpenda na kumjali mke wake na familia yake kwa ujumla.

Je dunia inampenda baba bora/mume bora?

The evidence says NO.

Experience inaonyesha kwamba mwanaume ukijaribu kuwa mume bora au baba bora basi dunia itampa adhabu kwa " kosa" la kuwa mume /baba bora.

Zifuatazo ni baadhi ya adhabu ambazo dunia humpa baba/mume bora.

1. Kudhauriwa na mtu ambae ana stahili kukuheshimu/ kudharauliwa sehemu ambayo una stahili kuheshimiwa

Mtu wa kwanza atakae kudhaurau ni mwanamke ambae uta propose kumuoa. The moment umeanza kusuggest wazo la kumuoa ndio the moment atalapo anza kukudharau na siku mtakayo funga ndoa ndio siku atakayo kudharau zaidi . Kwenye ndoa ndio dharau zitakuwa pro max( hii mnaita mwanamke kutoa makucha yake baada ya kuingia kwenye ndoa)

Kwanini anakudharau;

1. Anakudharau kwa sababu she think you are a nice guy. Women don't like nice guys. Women don't respect nice guys. Because to them a nice guy means a foolish guy. Asking for her hand in marriage is you playing a nice guy card . And you being nice to her is the same as you being a foolish guy. Wanawake wanajuaga mwanaume wa ukweli hawezi kutaka kuoa mwanamke. Wazo la kutaka kuoa mwanamke haliwezi kukaa kwa mwanaume halisi. For a real man the idea of wanting to get married is a crazy idea.

Kwa wanawake walio wengi, mwanaume wa ukweli ni yule anae jua kila kitu kuhusu wanawake . Na mwanaume anae jua kila kitu kuhusu wanawake ni yule anae jua kwamba hajui chochote kuhusu wanawake. KWA sababu hii basi mwanaume huyu wa ukweli hawezi kutaka kuoa mwanamke kwa sababu hawezi kuoa kitu ambacho hakijui vizuri. Misahafu inajua vizuri kuhusu ukweli huu ndio maana imeshauriwa kwamba mwanaume akipandwa na " kichaa" cha kutaka kuoa basi aozeshwe mke mara moja kabla " kichaa" hakijashuka akaghairi.

So mwanaume unapo mwambia mwanamke unataka kumuoa anakudharau sana kwa sababu anakuona wewe ni mwanaume ambae hawajui wanawake vizuri na hujui unacho kifanya. Atakuwa na wewe kwa sababu maisha yake yanakuhitaji wewe kwa wakati huo lakini hawezi kukuheshimu. Mbaya zaidi iwe wewe mwenyewe ndio uwe umeleta wazo la ndoa na sio yeye tena kwa kukuroga na kukusumbua kwa muda mrefu .

Anakudharau kwa sababu hujamkuta akiwa bikira. Anakushangaa wewe ni mjinga kiasi gani hata uende kumuoa yeye ilihali umemkuta tayari ameshatumika. Mwanamke huyu atawaheshimu zaidi wale walio pita nae na kutembea nae kuliko wewe ambae umemuoa kabisa. Tena kama ulimkuta ana mtoto ( single mother) then ukamuoa basi ndio atakudharau mara kumi zaidi kwamba u mjinga wa wapi wewe unaenda kuoa mwanamke aliezalishwa na mwanaume mwingine na.kumuacha ila wewe ndio umemuona mke huyo.Ndio maana wanaume wengi wanao toka na single mothers wakiamini single mothers watawaheshimu huwa wanaishia kuwa disappointed na kuanza kuwaponda single mothers. Hii ni kwa sababu single mothers sio wajinga . Hata wao wanajua mwanaume wa ukweli hawezi kudili na single mothers wakati vigoli wamejaa tele. Wanajua something is missing in you ndio maana umeangukia kwao.

Anakudharau kwa kuwa ana mwanaume zaidi ya mmoja ila katika wote wewe ndio umekuwa foolish enough kufunga nae ndoa.

Umeshawahi kuambiwa na mwanamke ambae umeingia nae kwenye mahusiano " umebadilika kwa kuwa umesha kipata unacho kitaka?" Kama bado hujawahi basi tambua kwamba something is missing in you. Kama mwanamke hajaona kitu hiki kwako basi wewe una mapungufu katika uanaume wako kwa sababu ukiwa mwanaume ulie kamilika lazima uta onyesha hali ya kumkinai mwanamke ambae umesha sex nae hata awe mzuri namna gani. Wanawake wanajua vizuri kuhusu ukweli huu ndio maana ukienda kununua mwanamke wale wanao jiuza anataka umpe hela yake kwanza ndo atoe utelezi kwa sababu anajua ukisha kojoa tu thamani yake kwako itashuka na utakuwa mgumu kutoa hela.

Vivyo hivyo ndivyo wanawake wanavyo tuchukulia kwenye mahusiano. Wanajua sisi huwa tunawashusha thamani tukishawavua Chupi. Wewe unae muongezea thamani baada ya kumvua Chupi " kwa kumuoa kabisa " lazima akudharau sana kwa sababu anakuona sio mwanaume ulie kamilika.

Umeshawahi jiuliza kwanini wanawake walio olewa wanawapenda wanaume wanao tembea na wake za watu? KWA sababu wana amini wanaume wa ukweli ni waharibifu by nature, wanawachukulia wanawake kama chombo cha starehe na hawa amini katika ndoa. Wao wenyewe hawawezi kuoa wala hawaiheshimu ndoa ndio maana wanaona poa kutembea na wake za watu kwa sababu to them ndoa ni upuuzi fulani hivi... wanawake wanataka KUKUTANA na mwanaume mwenye mindset kama hii kwa sababu wana amini huyo ndio mwanaume halisi.

All women love bad guys hata wamama huwapenda zaidi watoto wao wa kiume watukutu kuliko wale ambao sio watukutu.

A woman will only stay loyal in a relationship where:

1. She knows that she can be easily replaced by another woman who is more beautiful than her.

2. Her man can break up with her at any time if she dare messing up with him.

Hivi vitu havipatikani mwenye ndoa hasa hasa ndoa ya kizungu. Ndoa ya kizungu inampa mwanamke guarangww na " guarantee " kwa mwanamke kwenye mahusiano ni adui wa uhusiano huo. Kwenye mahusiano mwanamke anatakiwa kuwa na wasiwasi muda wote. Wasiwasi wa kuachwa. Wasiwasi wa kuibiwa mume etc. Akivikosa hivi vitu kwako ataenda kuvitafuta kwa mwanaume mwingine kwa sababu asipo vipata atajiona kama vile hayupo na mwanaume.

Adhabu ya pili itakuja hivi punde
Rational.
 
Back
Top Bottom