Ukweli mchungu. Haya ni maisha yangu

Ukweli mchungu. Haya ni maisha yangu

Kuanzia Leo fahamu hakuna asili ya upendo wa Bure au ukiona mtu anakuchukia jua bila sababu jua Kuna tatizo lilitokea au litatokea kila jambo Lina asili yake ALIVYOKUPA MILLION MOJA kwa ufahamu wa kawaida ungedadisi namana inaonekana huyo Binti sio tajiri sana
 
mzee wa mixed feelings🤗🤗🤗wacha maneno weka muziki!!!Andika story maliza hizi mambo za nusunusu tutakupopoma utuchukie bure,kama bado unauchungu sana kumla dadako mpe mimba ya pili ili uchungu ukolee,mambo ya story nusunusu ndo nini😡😡😡😡

Wewe shenyenta huyo Harrier kijukuu cha PK. maana its not ur fault sasa yanini kujihukumu.

Unless hii ni CHAI, ila kama umesoma JALALANI sidhani kama hili jambo ni tatizo sana, mhandisi wewe uliyeweza kuzitawanya hesabu za differential na intergration, na maphysics maprojectile ushindwe kutatua jambo dogo namna hii.

Watoto wa adam wenyewe walikulana ndo vikaja vizazi na vizazi.

# kataa ndoa,ndoa ni utapeli!!!
 
Back
Top Bottom