Ukweli mchungu. Haya ni maisha yangu

Ukweli mchungu. Haya ni maisha yangu

"Johannes, is everything okay? I’m sorry if I crossed any boundaries" nilipayuka "no no no Herrieth, I'm truly amazed—I never expected such an angel to place her trust in someone as poor as me" nilimjibu kwa unyonge sana Herrieth huku nikikumbuka hali ya chumba changu kilivyo kichafu, hakuna feni, mashuka nilirudisha kwa mdau wa CONAS, vumbi la chumbani, yote kwa yote nikasema Liwalo na liwe.
uliyumba sana
 
Back
Top Bottom