Ukweli mchungu ila ubachelor unawafaa zaidi Vijana waliojipata, wapambanaji na wanaojielewa

Tu neti iliwekwa disemba mwaka jana no kutandua ni kuslide km Nyoka tu, mabachela hivi mnaijua hii?
 
Atakuwa anatokea bara ,mtu mzima ukiwa na mishemishe unatoka asubuhi kurudi jioni nyumba haiwezi kuwa safi kabisa.

Jiongeze utakuja kukuta kenge ,jaribu kuwa na mke au ndugu plus watoto wa kucheza hapo...
 
Moja ya faida ya kuishi na mwanamke anaejielewa ni dawa ya kuondoa uvivu kwa mwanaume yaani utatoka tu ukatafute upambane ulete msosi mezani, gambe, kamari, Malaya utapunguza na ndio itakuwa chanzo cha maendeleo yako binafsi na ya familia.
Ni kweli...
 
Mwanaume mpumbavu ni yule ambaye hawezi kuishi bila mwanamke.

Mwanamke asiwe sababu ya wewe kutafuta hela, hiyo ni weak mentality.

Mwanaume anayejitambua anajua umuhimu wa kufanya kazi kwa manufaa yake binafsi na manufaa ya wengine bila msukumo wa kuwa na mwanamke.
 
Lamomy Lamomy Lamomy nimekuita mara 3. Ona ndege wangu wanavyopeperuka mdogo mdogo. Nakwambia nakutumia jini, we Ngoja wanikatae.

Missy Gf usimsikilize huyo kivuruge, nimekuandalia kitu kizuri kabisa 😊😊
Acha kuniita kwa sauti niko na beib wangu tunanyegeshana..!! 😜
Ww jeuri ya kuniriga mimi huna?? Hao ndege sio kuwaperurusha nitahakikisha wanahama kiota kabisaa!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…