Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Yah mkuuu sio lazima uparaWapo, ila hata wasio na upara nao huzeeka.
Kuzeeka ni ile nuru ya ujana usoni inapotea, mikunjo inaanza kusambaa usoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah mkuuu sio lazima uparaWapo, ila hata wasio na upara nao huzeeka.
Kuzeeka ni ile nuru ya ujana usoni inapotea, mikunjo inaanza kusambaa usoni.
Shida itakuja ambapo wazee wengi watakuwa maskini😂 maana serikali yetu hailei wazee wasiojiweza seriously kama ilivyo ulaya.Natamani sana kama maisha yangekuwa yanakuja na handbook yenye kanuni za jumla za kufuata; na zikafuatika! Yangekuwa rahisi sana yaani!
Kwa maisha ya sasa vijana wengi tu watakuwa wanaigusa 40 kabla hawajaoa wala kuolewa (japo wanaweza kuwa na watoto!). Nadhani tunakoelekea tutakuwa kama nchi za Kimagharibi ambako ndoa itakua siyo jambo la lazima kivile; na mtu ataishi vile anavyotaka bila kubughudhiwa na mtu wala hizi presha za kijamii.
Ati; ndoa (bado) ni lazima? 🖐🚶🏿♂️
Maisha haya kikubwa pumzi,Nipoo, maisha tu yananipeleka puta.
🤭🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwani hata Hao wenye pesa munawapenda basi, ni njaa zenu tu ndio zinawapelekesha🤣🤣🤣
Zangu za kula ninazo mkuu😅hizo pesa wewe unazo? Yaan uende kwa jaama ww mwenyewe masikini halaf unataka eti anaekuoa awe nazo.
Uko sahihi mkuu zamani wakati nahangaika na kaka zangu wa bongo usafi kilikuwa kigezo changu cha kwanzaUchafu ni fedheha sana nikimtembelea mtu kwake nikiona mazingira siyo rafiki sita kula chakula wala kunywa maji labda niletewe soda.
Mkuu wewe umeoa?😅😅😅Na wewe hujaolewa bado?
Mkuu uko sahihi si uwa natumia zako umesahau?🤣Huna akili
Hahaha hapa nilijichanganya sikupaswa kusema hivyo am very sorry luckyline truly from the bottom of my heartMkuu uko sahihi si uwa natumia zako umesahau?🤣
Hizi comments za makasiriko ndo napendaga
Mkuu tupesa twangu twa kula ninatwo ila za mwanaume nikipewa kwa hiari ni tamu🤣Kwa nini hizo pesa usizi tafute wewe mwenyewe au hauwezi ?
Kuwa na amani mkuu.🙏Hahaha hapa nilijichanganya sikupaswa kusema hivyo am very sorry luckyline truly from the bottom of my heart
Thanks barikiwaKuwa na amani mkuu.🙏