Ukweli mchungu kama UVCCM tu wanaweza kukusanya maelfu haya kwenye ngome za Upinzani hali ni mbaya zaidi 2025

Ukweli mchungu kama UVCCM tu wanaweza kukusanya maelfu haya kwenye ngome za Upinzani hali ni mbaya zaidi 2025

Upinzani wa kweli aliuua mbowe alipokiuza chama kwa kada wa ccm Lowassa, sasa hivi zimebaki porojo tu.

Halafu Lowassa akaleta asilimia 40 ya kura za urais, haijawahi tokea. Mpaka kupelekea upinzani kupigwa stop mpaka leo. Kwa Sasa Tanzania ni mfumo wa chama kimoja, unaolazimisha wapinzani waonekane wapo.
 
Back
Top Bottom