Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upinzani tupa kule, watu tumechoka na usanii wao
Hebu angalia kwa makini video hizi kisha ufikirie Uchaguzi ujao wa 2025 katika angle ya Upinzani kupata hata jimbo moja tu,
Huyu ndio Crde Kenani Kihongosi Mkt wa UVCCM taifa huko Mkoani Geita,
View attachment 2294684
View attachment 2294686
Wapinzani wakikusanyika hata 5 wanakamatwaUngekua na akili kidogo tu ungeweza kuchukua video nyingine za "Upinzani" ukaweka Ili ku-balance huu upupu wako. Bahati mbaya akili zako ni kama za Kaka yake yule wa Nyama choma.
Hata wao wanaujua ukweli, hakuna mtu mwenye akili timamu anaitaka CCMUnechokaje na usanii wao, wakati Wana miaka Saba hawafanyi siasa?. Unechokaje na mtu ambaye hafanyi siasa kwa miaka Saba Sasa. Punguza unafiki. Na bado karma itakuja kuwauumbua.
Mmebakia kukandamiza watu na tozo na kukopa tu. Maisha magumu na mfumuko wa Bei juu.
Hebu ruhusuni mikutano ya hadhara muone mziki mnene. Hao mnao wapa pesa wahudhurie mikutano yenu mtajua wako upande gani.Hata wao wanaujua ukweli, hakuna mtu mwenye akili timamu anaitaka CCM
Magufuli aliuua
Wapinzani wakikusanyika hata 5 wanakamatwa
Wanajitekenya na kucheka wenyewe.Simple logic tu. Ukataze mikutano then Wewe peke Yako ufanye mikutano Kisha upost video kuwa "hakuna kama wewe" utakua mzima kweli wewe? Kwanini udingetafuta hata video ya ku-edit ukaweka??
Kwanza Watzn walishawapuuza wapinzani kitambo,wanaonekana ni watu wasiojitambua..Hebu angalia kwa makini video hizi kisha ufikirie Uchaguzi ujao wa 2025 katika angle ya Upinzani kupata hata jimbo moja tu,
Huyu ndio Crde Kenani Kihongosi Mkt wa UVCCM taifa huko Mkoani Geita,
View attachment 2294684
View attachment 2294686
Upinzani ni biashara kama biashara nyingine Tu, stuka kijana wa Ufipa
Nyumbu hawajawahi kujielewaPunguza roho mbaya, unamwita mtanzania mwenzako nyumbu kisa chama Cha mafisadi?.
Kwanza Watzn walishawapuuza wapinzani kitambo,wanaonekana ni watu wasiojitambua..
Mmja wa hao ni Mimi,yaani nihangaike kuwachagua harafu baadae wageuke Kisa asali,si bora kila mtu apambane kivyake kutafuta hiyo asali..
Sijawahi kushabikia kiongozi yeyote wa ccm ila kwa sasa naunga mkono Samia na sio ccm wala wapinzani.
Ndio ila ni kwa faida ya CCM kama mkipuuza kama mimiWakati huohuo watanzania nao wamelipuuza box la kura!
Ndio ila ni kwa faida ya CCM kama mkipuuza kama mimi
Hao haoKwa faida ya CCM au kikundi cha wajanja wachache ndani ya CCM?
Hao hao
Omba Mungu akupe akili kwani hizo ulizo nazo ni za kuvukia barabara tu!Upinzani wa kweli aliuua mbowe alipokiuza chama kwa kada wa ccm Lowassa, sasa hivi zimebaki porojo tu.