Ukweli mchungu kama UVCCM tu wanaweza kukusanya maelfu haya kwenye ngome za Upinzani hali ni mbaya zaidi 2025

Ukweli mchungu kama UVCCM tu wanaweza kukusanya maelfu haya kwenye ngome za Upinzani hali ni mbaya zaidi 2025

Halafu Lowassa akaleta asilimia 40 ya kura za urais, haijawahi tokea. Mpaka kupelekea upinzani kupigwa stop mpaka leo. Kwa Sasa Tanzania ni mfumo wa chama kimoja, unaolazimisha wapinzani waonekane wapo.
Alipomaliza kazi akatimka kurudi nyumbani kwao, chadema mkaachwa mmeduwaa; mkakosa mwana na maji ya moto!
 
Alipomaliza kazi akatimka kurudi nyumbani kwao, chadema mkaachwa mmeduwaa; mkakosa mwana na maji ya moto!

Hakumaliza kazi yoyote, usitake kujifanya kuwa alikuja kwa kazi maalumu. Yeye hakuwa msafi, na rais muovu aliamua kutumia madaraka yake kumtisha. Na kwakuwa Lowassa hakuwa msafi, na muoga wa kupelekwa jela, ikabidi arudi kwenye chama cha wachafu wenzake ili kujisalimisha.
 
Alipomaliza kazi akatimka kurudi nyumbani kwao, chadema mkaachwa mmeduwaa; mkakosa mwana na maji ya moto!

Hakumaliza kazi yoyote, usitake kujifanya kuwa alikuja kwa kazi maalumu. Yeye hakuwa msafi, na rais muovu aliamua kutumia madaraka yake kumtisha. Na kwakuwa Lowassa hakuwa msafi, na muoga wa kupelekwa jela, ikabidi arudi kwenye chama cha wachafu wenzake ili kujisalimisha.
 
Hebu angalia kwa makini video hizi kisha ufikirie Uchaguzi ujao wa 2025 katika angle ya Upinzani kupata hata jimbo moja tu,

Huyu ndio Crde Kenani Kihongosi Mkt wa UVCCM taifa huko Mkoani Geita,

View attachment 2294684
View attachment 2294686
giphy.gif
 
Back
Top Bottom