Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,823
- 2,466
Upinzani ni biashara kama biashara nyingine Tu, stuka kijana wa UfipaUpinzani tupa kule, watu tumechoka na usanii wao
Danganyaneni TU wakati wenzenu mmewafunga miguu ,mikono na mdomo🤔Hebu angalia kwa makini video hizi kisha ufikirie Uchaguzi ujao wa 2025 katika angle ya Upinzani kupata hata jimbo moja tu,
Huyu ndio Crde Kenani Kihongosi Mkt wa UVCCM taifa huko Mkoani Geita,
View attachment 2294684
View attachment 2294686
Hawa hawajielewagi, zaidi ya uchawa, hana jipya zaidi ya kusifia ujinga ujinga tuUngekua na akili kidogo tu ungeweza kuchukua video nyingine za "Upinzani" ukaweka Ili ku-balance huu upupu wako. Bahati mbaya akili zako ni kama za Kaka yake yule wa Nyama choma.
Kaacha kulala kidogo anaandika upupu.... Kesho asubuhi anachukua salary advance Kwa kuwa kimshahara chake hakikidhi mahitajiHawa hawajielewagi, zaidi ya uchawa, hana jipya zaidi ya kusifia ujinga ujinga tu
Daah, nyumbu mnamikwara balaa,Kaacha kulala kidogo anaandika upupu.... Kesho asubuhi anachukua salary advance Kwa kuwa kimshahara chake hakikidhi mahitaji
Simple logic tu. Ukataze mikutano then Wewe peke Yako ufanye mikutano Kisha upost video kuwa "hakuna kama wewe" utakua mzima kweli wewe? Kwanini udingetafuta hata video ya ku-edit ukaweka??Daah, nyumbu mnamikwara balaa,
Wanahamasisha sensa mkuuSimple logic tu. Ukataze mikutano then Wewe peke Yako ufanye mikutano Kisha upost video kuwa "hakuna kama wewe" utakua mzima kweli wewe? Kwanini udingetafuta hata video ya ku-edit ukaweka??
Nimeishia kucheka tu, sasa kama ni sensa mbona content ya thread haiendani na unachosema?Wanahamasisha sensa mkuu
Ninasikitika kwa akili hizi za uvccm, siku zijazo tutakuwa na taifa la hovyo kuliko lolote dunianiKaacha kulala kidogo anaandika upupu.... Kesho asubuhi anachukua salary advance Kwa kuwa kimshahara chake hakikidhi mahitaji
Mungu aepushie mbali laana hiiNinasikitika kwa akili hizi za uvccm, siku zijazo tutakuwa na taifa la hovyo kuliko lolote duniani
Upinzani wa kweli aliuua mbowe alipokiuza chama kwa kada wa ccm Lowassa, sasa hivi zimebaki porojo tu.Upinzani ni biashara kama biashara nyingine Tu, stuka kijana wa Ufipa
Upinzani wa kweli aliuua mbowe alipokiuza chama kwa kada wa ccm Lowassa, sasa hivi zimebaki porojo tu.
Daah, nyumbu mnamikwara balaa,
Upinzani ni biashara kama biashara nyingine Tu, stuka kijana wa Ufipa