Ukweli mchungu kama UVCCM tu wanaweza kukusanya maelfu haya kwenye ngome za Upinzani hali ni mbaya zaidi 2025

Halafu Lowassa akaleta asilimia 40 ya kura za urais, haijawahi tokea. Mpaka kupelekea upinzani kupigwa stop mpaka leo. Kwa Sasa Tanzania ni mfumo wa chama kimoja, unaolazimisha wapinzani waonekane wapo.
Alipomaliza kazi akatimka kurudi nyumbani kwao, chadema mkaachwa mmeduwaa; mkakosa mwana na maji ya moto!
 
Alipomaliza kazi akatimka kurudi nyumbani kwao, chadema mkaachwa mmeduwaa; mkakosa mwana na maji ya moto!

Hakumaliza kazi yoyote, usitake kujifanya kuwa alikuja kwa kazi maalumu. Yeye hakuwa msafi, na rais muovu aliamua kutumia madaraka yake kumtisha. Na kwakuwa Lowassa hakuwa msafi, na muoga wa kupelekwa jela, ikabidi arudi kwenye chama cha wachafu wenzake ili kujisalimisha.
 
Alipomaliza kazi akatimka kurudi nyumbani kwao, chadema mkaachwa mmeduwaa; mkakosa mwana na maji ya moto!

Hakumaliza kazi yoyote, usitake kujifanya kuwa alikuja kwa kazi maalumu. Yeye hakuwa msafi, na rais muovu aliamua kutumia madaraka yake kumtisha. Na kwakuwa Lowassa hakuwa msafi, na muoga wa kupelekwa jela, ikabidi arudi kwenye chama cha wachafu wenzake ili kujisalimisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…