Ukweli mchungu kuhusiana na mradi wa Stiegler's Gorge

Ukweli mchungu kuhusiana na mradi wa Stiegler's Gorge

Hao wanaotengeneza sora! Je viwanda vyao vinategemea solar?
Utafiti mzuri niule unaozingatia hasara na faida!
Kama hasara ni ndogo kuliko faida unaamua!
Sasa pale Rufiji tukipata huo umeme unajua vizazi vitakavyofaidika?
Waambie baada ya miaka 3 waje waone nchi yetu itafikia kiwango gani cha umeme.
Kuna Makala nlliwahi kusoma (Iliandikwa na mwandishi mmoja wa JET...Waandishi wa Habari za Mazingira,sijui kama bado wapo) miaka kadhaa imepita sasa.Makala hiyo ilieleza jinsi shughuli za kibinadamu zinavyoharibu mazingira Mkoani Morogoro na kusababisha mito kadhaa inayopeleka maji mto Ruaha,na hatimaye Mto Rufiji inavyokauka kwa kasi.Hili halikwepeki kutokana na mabadiliko ya Tabia nchi je,tumejiandaje !
 
Mawazo ya ajabu ajabu sana haya!! Kitu kama si fani yako hata usome kwa telescope bado hutojua/hutoelewa!!
Huo mradi bila hata kufikiria mara mbili mbili...
Una madhara makubwa sana kwa ustawi endelevu wa viumbe hai vyote vinavyotegemea maji na mazingira husika...
Time will tell the truth!!
Endelea kubwabwaja na wenzako wanafanya kweli. Huo umeme ambao utatumia chini ya asilimia 2 ya eneo lote ukiingizwa kwenye gridi, wewe tafuta mitambo ya solar.
 
Ni hivi watu wengi wanaandika bila kuujua ukweli.

Ukweli ni kwamba kabla ya mradi wowote mkubwa kutekelezwa lazima kifanyike kitu kinachoitwa Environment Impact Assessment.

Ukweli ni kwamba serikali iliunda team iliyojumuisha maprofesa nguli kufanya Environment Impact Assessment ambapo serikali yetu iliwalipa fedha kufanya kazi hiyo.

Ukweli ni kwamba team hiyo ilifanya kazi hiyo na kuandika ripoti yake ambayo ilieleza kwamba madhara ya kwnye mazingira kama mradi huu ukitekelezwa yatakuwa makubwa sana hivyo wakashauri mradi huu usitekelezwe na wakashauri serikali ijikite kwenye kuzalisha umeme kwa kutumia gesi ambayo inapatikana mtwara kwani uzalishaji wa umeme kwa kutumia umeme hautakuwa na madhara kwenye mazingira kama mradi wa stiglers gorge.

Sasa bana ripoti hii iliwasilishwa kwanza wizara inayohusika na mazingira ya bwana January.

Waziri akakubaliana na ripoti naye akaifoadi ikulu.

Bwana kolichotokea almanusura huyu jamaa apoteze kazi, .

Ukweli ni kwamba jiwe alimuita akamtukana sana kwanini amekubaliana na ushauri wa hao maprofesa na kisha akamtupia ripoti yake .

Isingekuwa aibu ya jiwe akifahamu jinsi January alivyomfanyia figisufigisu ya kutengeneza matokeo yaliyomsaidia kumuweka madarakani pale mlimani city huyu january alikuwa afukuziwe mbali.

Sasa twende kwenye hoja, kwa nini serikali yetu inakataa repoti ya timu ya iliyoiunda na kuilipa ifanye kazi na wao wakafanya na wakashauri.

Mbona Serikali hiii hii haitoi vibali vya kuendeleza miradi ambayo environment impact assessment zimeshauri kwamb arhari za mradi ni hasi.

Kuna msemo wa kiingereza unaoheshimika sana unaosema "no research no right to speak"

Research imefanyika imeeleza mradi ni mbaya kwenye mazingira watu bila hata kufanya research nyingine wanakurupuka kuukataa ushauri wa wataalamu.

Tusiwalaumu sijui bunge la ujerumani , mimi binafsi siungi mkono kupangiwa mambo yetu na hao wajerunani.

Ukweli ni kwamba mradi huu ulikataliwa kwanza na timu yetu sisi wenyewe watanzania iliyohusisha maprofesa wataalamu ambao mwisho wa siku kama kawaida ya jiwe ukitoa mapendekezo tofauti na mtazamo wake unaitwa sio mzalendo au sijui umetumwa na mabepari.
Aina hii ya uongozi ya kukataa mapendekezo ya wataalamu ni mojawapo ya element za utawala wa kidikteta.
Hongera kamanda umejitahidi sana kuandika.
Lakini hata marekani hawafuati ushauri wa wataalam kwenye issues za mazingira zinazoathiri maslahi ya Marekani.
Lakini hawana element za UDIKTETA.
Ni hivi watu wengi wanaandika bila kuujua ukweli.

Ukweli ni kwamba kabla ya mradi wowote mkubwa kutekelezwa lazima kifanyike kitu kinachoitwa Environment Impact Assessment.

Ukweli ni kwamba serikali iliunda team iliyojumuisha maprofesa nguli kufanya Environment Impact Assessment ambapo serikali yetu iliwalipa fedha kufanya kazi hiyo.

Ukweli ni kwamba team hiyo ilifanya kazi hiyo na kuandika ripoti yake ambayo ilieleza kwamba madhara ya kwnye mazingira kama mradi huu ukitekelezwa yatakuwa makubwa sana hivyo wakashauri mradi huu usitekelezwe na wakashauri serikali ijikite kwenye kuzalisha umeme kwa kutumia gesi ambayo inapatikana mtwara kwani uzalishaji wa umeme kwa kutumia umeme hautakuwa na madhara kwenye mazingira kama mradi wa stiglers gorge.

Sasa bana ripoti hii iliwasilishwa kwanza wizara inayohusika na mazingira ya bwana January.

Waziri akakubaliana na ripoti naye akaifoadi ikulu.

Bwana kolichotokea almanusura huyu jamaa apoteze kazi, .

Ukweli ni kwamba jiwe alimuita akamtukana sana kwanini amekubaliana na ushauri wa hao maprofesa na kisha akamtupia ripoti yake .

Isingekuwa aibu ya jiwe akifahamu jinsi January alivyomfanyia figisufigisu ya kutengeneza matokeo yaliyomsaidia kumuweka madarakani pale mlimani city huyu january alikuwa afukuziwe mbali.

Sasa twende kwenye hoja, kwa nini serikali yetu inakataa repoti ya timu ya iliyoiunda na kuilipa ifanye kazi na wao wakafanya na wakashauri.

Mbona Serikali hiii hii haitoi vibali vya kuendeleza miradi ambayo environment impact assessment zimeshauri kwamb arhari za mradi ni hasi.

Kuna msemo wa kiingereza unaoheshimika sana unaosema "no research no right to speak"

Research imefanyika imeeleza mradi ni mbaya kwenye mazingira watu bila hata kufanya research nyingine wanakurupuka kuukataa ushauri wa wataalamu.

Tusiwalaumu sijui bunge la ujerumani , mimi binafsi siungi mkono kupangiwa mambo yetu na hao wajerunani.

Ukweli ni kwamba mradi huu ulikataliwa kwanza na timu yetu sisi wenyewe watanzania iliyohusisha maprofesa wataalamu ambao mwisho wa siku kama kawaida ya jiwe ukitoa mapendekezo tofauti na mtazamo wake unaitwa sio mzalendo au sijui umetumwa na mabepari.
Aina hii ya uongozi ya kukataa mapendekezo ya wataalamu ni mojawapo ya element za utawala wa kidikteta.
Inabidi Mwenyekiti aongee na January aje atupangie mwaka huu Membe wetu ashinde.
 
Nilikwenda pale kwa mguuwangu nikashuhudia kinacho endelea, sasaivi shuhuli za kuhamisha mto zinaendelea.
Nikweli kunauharibifu wa mazingira lakini mradiukikamilika faida itakuwa kubwa kuliko hasara.

Mnyonge mnyongeni.............

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kubwabwaja na wenzako wanafanya kweli. Huo umeme ambao utatumia chini ya asilimia 2 ya eneo lote ukiingizwa kwenye gridi, wewe tafuta mitambo ya solar.

Tatizo mnabishana hadi na Sayansi na wasomi...!!
Kwenye bonde la Mto Rufuji tayari maji yashakuwa changamoto (bila mradi)... Mradi ukiwepo pale madhara yake yatakuwa makubwa sana kwa viumbe vyote vinavyotegemea maji...! Fursa za tade-offs ni ndogo sana!
And in this era of global climate change time is the only parameter that separates the truth from rubbish decisions!
Mimi leo nabwabwaja... Na nitakuwepo hapa hapa kubwabwaja madhara yakivuka mipaka ya uharibifu!!
 
Ni hivi watu wengi wanaandika bila kuujua ukweli.

Ukweli ni kwamba kabla ya mradi wowote mkubwa kutekelezwa lazima kifanyike kitu kinachoitwa Environment Impact Assessment.

Ukweli ni kwamba serikali iliunda team iliyojumuisha maprofesa nguli kufanya Environment Impact Assessment ambapo serikali yetu iliwalipa fedha kufanya kazi hiyo.

Ukweli ni kwamba team hiyo ilifanya kazi hiyo na kuandika ripoti yake ambayo ilieleza kwamba madhara ya kwnye mazingira kama mradi huu ukitekelezwa yatakuwa makubwa sana hivyo wakashauri mradi huu usitekelezwe na wakashauri serikali ijikite kwenye kuzalisha umeme kwa kutumia gesi ambayo inapatikana mtwara kwani uzalishaji wa umeme kwa kutumia umeme hautakuwa na madhara kwenye mazingira kama mradi wa stiglers gorge.

Sasa bana ripoti hii iliwasilishwa kwanza wizara inayohusika na mazingira ya bwana January.

Waziri akakubaliana na ripoti naye akaifoadi ikulu.

Bwana kolichotokea almanusura huyu jamaa apoteze kazi, .

Ukweli ni kwamba jiwe alimuita akamtukana sana kwanini amekubaliana na ushauri wa hao maprofesa na kisha akamtupia ripoti yake .

Isingekuwa aibu ya jiwe akifahamu jinsi January alivyomfanyia figisufigisu ya kutengeneza matokeo yaliyomsaidia kumuweka madarakani pale mlimani city huyu january alikuwa afukuziwe mbali.

Sasa twende kwenye hoja, kwa nini serikali yetu inakataa repoti ya timu ya iliyoiunda na kuilipa ifanye kazi na wao wakafanya na wakashauri.

Mbona Serikali hiii hii haitoi vibali vya kuendeleza miradi ambayo environment impact assessment zimeshauri kwamb arhari za mradi ni hasi.

Kuna msemo wa kiingereza unaoheshimika sana unaosema "no research no right to speak"

Research imefanyika imeeleza mradi ni mbaya kwenye mazingira watu bila hata kufanya research nyingine wanakurupuka kuukataa ushauri wa wataalamu.

Tusiwalaumu sijui bunge la ujerumani , mimi binafsi siungi mkono kupangiwa mambo yetu na hao wajerunani.

Ukweli ni kwamba mradi huu ulikataliwa kwanza na timu yetu sisi wenyewe watanzania iliyohusisha maprofesa wataalamu ambao mwisho wa siku kama kawaida ya jiwe ukitoa mapendekezo tofauti na mtazamo wake unaitwa sio mzalendo au sijui umetumwa na mabepari.
Aina hii ya uongozi ya kukataa mapendekezo ya wataalamu ni mojawapo ya element za utawala wa kidikteta.
Uzi huu umerudishwa. Hebu tukumbushe aliyefanya hiyo EIA ni nani na ana sifa gani. Usiseme ni profesa maana siyo kila profesa anajua maana ya mazingira.
 
Tatizo mnabishana hadi na Sayansi na wasomi...!!
Kwenye bonde la Mto Rufuji tayari maji yashakuwa changamoto (bila mradi)... Mradi ukiwepo pale madhara yake yatakuwa makubwa sana kwa viumbe vyote vinavyotegemea maji...! Fursa za tade-offs ni ndogo sana!
And in this era of global climate change time is the only parameter that separates the truth from rubbish decisions!
Mimi leo nabwabwaja... Na nitakuwepo hapa hapa kubwabwaja madhara yakivuka mipaka ya uharibifu!!
Sidhani kama hao walioandika EIA ya bwawa ni wanasayansi. Who are they for me to believe?
 
Sidhani kama hao walioandika EIA ya bwawa ni wansayansi. Who are they for me to believe?

Rejea kusoma EIA iliyorudiwa na inayopendwa na serikali... Mle ndani pamoja na kukiri kuwa "bwawa litasaidia kuzalisha umeme unaohitajika sana nchini lakini madhara yake kwa ustawi wa viumbe vyote vinavyotegemea maji na bionuai la bonde ni makubwa"!
Huo ndo ukweli... labda kama huyajui maeneo husika na shughuli mbalimbali zinazofanyika pale!
All in all... Tuache muda utasema...
Nyie si mnajua na mnaweza kila kitu... Hata kurejesha kina cha maji ndani ya Mt. Ruaha Mkuu kwenu halitakuwa tatizo...!!
Big Up!!
 
Rejea kusoma EIA iliyorudiwa na inayopendwa na serikali... Mle ndani pamoja na kukiri kuwa "bwawa litasaidia kuzalisha umeme unaohitajika sana nchini lakini madhara yake kwa ustawi wa viumbe vyote vinavyotegemea maji na bionuai la bonde ni makubwa"!
Huo ndo ukweli... labda kama huyajui maeneo husika na shughuli mbalimbali zinazofanyika pale!
All in all... Tuache muda utasema...
Nyie si mnajua na mnaweza kila kitu... Hata kurejesha kina cha maji ndani ya Mt. Ruaha Mkuu kwenu halitakuwa tatizo...!!
Big Up!!
Nimeuliza nani aliyeandika hiyo EIA? Yeyote angeweza kuandika chochote.
btw. Hata mtembea kwa miguu ana madhara kwa mazingira, hata barabara kupita msituni ina madhara kwa viumbe. Kwa maana nyingine usipotaka viumbe kuathirika, usifanye lolote/chochote
 
Nimeuliza nani aliyeandika hiyo EIA? Yeyote angeweza kuandika chochote.
btw. Hata mtembea kwa miguu ana madhara kwa mazingira, hata barabara kupita msituni ina madhara kwa viumbe. Kwa maana nyingine usipotaka viumbe kuathirika, usifanye lolote/chochote

Ndo manake!
 
credibility matters!
UNESCO World Heritage Centre › docu...PDF
Tanzania - UNESCO World Heritage Centre

Home - OECD Watch › ...PDF
Web results
Economic Feasibility of the Stiegler's Gorge Hydropower Project, Tanzania - OECD Watch

Tafuta na report ya Prof Raphael Mwalyosi..
Zisome kwa undani... Alafu urudi useme ukweli upo wapi...??!

"Better live one day as a lion than 100 years as a sheep"
 
Kuna vijiofisi kibao hapa Dar vinajidai kuandika EIA. Ukiona kinachoandikwa ni copy-paste game! Hakuna la maana kusumbua watu bila expertise. EIA siyo kitu cha kuokoteza watu wa kuandika na siyo kitu cha kuandika kwa kuonesha umwamba. Ni kuzungumza na mazingira kitaalamu.
 
UNESCO World Heritage Centre › docu...PDF
Tanzania - UNESCO World Heritage Centre

Home - OECD Watch › ...PDF
Web results
Economic Feasibility of the Stiegler's Gorge Hydropower Project, Tanzania - OECD Watch

Tafuta na report ya Prof Raphael Mwalyosi..
Zisome kwa undani... Alafu urudi useme ukweli upo wapi...??!

"Better live one day as a lion than 100 years as a sheep"
Una matatizo. Nakuomba uniambie EIA ya Bwawa la umeme imeandikwa na mtalaamu gani? Kwa nini unaleta yote uliyonayo mfukoni nisome!

Kuwa mkweli; Hebu nipe composition ya hiyo timu iliyoandika EIA. Nataka nione kuna biologist gani? Socialogist gani? Physicist gani? Engineer gani? Chemist gani? Limnologist gani? Au taaluma nyingine ambayo nimeisahau. Kama ilikuwa kila kitu ni Mwalyosi wako, then it must have been a nonsensical report!
 
Una matatizo. Nakuomba uniambie EIA ya Bwawa la umeme imeandikwa na mtalaamu gani? Kwa nini unaleta yote uliyonayo mfukoni nisome!

Kama hutaki kusoma ujue kina nani wameandika hizo ripoti basi you are as good as an empty drum... Read by thyself!!
Chukua ushindi wa mezani kuwa umeshinda...!!
 
Kama hutaki kusoma ujue kina nani wameandika hizo ripoti basi you are as good as an empty drum... Read by thyself!!
Taarifa za OECD ndo EIA! Hapo ndo tulipo JF kwa sasa kweli?
 
Hujui thamani ya mazingira mpaka siku uwe na jangwa kama sudani au mali.

Tanzania ina options nyingi za kutengeneza umeme. Kwanini msifikirie Solar? Wind Turbines? Gas? Hizo zote ni sustainable means to get electricity without the expense of environment.

Fanya yote ila usichezee mazingira. Kizazi kinachokuja kitajuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unatoa ushauri wa unayoyasikia au kufundishwa darasani. Unaujua ukweli wa hayo unayoandika? Hiyo Solar na wind unaijua maana yake ni nini ktk energy. Ukisikia TAnesco inajiingiza kwenye solar ujue wanatafuta upigaji tu!
 
Una matatizo. Nakuomba uniambie EIA ya Bwawa la umeme imeandikwa na mtalaamu gani? Kwa nini unaleta yote uliyonayo mfukoni nisome!

Kuwa mkweli; Hebu nipe composition ya hiyo timu iliyoandika EIA. Nataka nione kuna biologist gani? Socialogist gani? Physicist gani? Engineer gani? Chemist gani? Limnologist gani? Au taaluma nyingine ambayo nimeisahau. Kama ilikuwa kila kitu ni Mwalyosi wako, then it must have been a nonsensical report!

Naona unabishana ili ulipwe fadhila.. Huyo Prof. alikuwa wa kwenu kabisa... Na aliwasiliana ripoti mliyoipenda... Please usiite report yake kuwa ni "nonsensical report"... Unadhalilisha mamlaka ya uteuzi!!
 
Back
Top Bottom