Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!ARAB Contractors wameandika barua ya kuacha rasmi mradi huo February 2020 baada ya kupigwa mkwala mzito na taasisi za kimataifa. Sasa mradi unakufa.
Mungu wabariki mabeberuARAB Contractors wameandika barua ya kuacha rasmi mradi huo February 2020 baada ya kupigwa mkwala mzito na taasisi za kimataifa. Sasa mradi unakufa.
Hapo kwamba fedha ni zetu naona kama ndiyo siyo.Mawazo ya ajabu ajabu sana haya!! Kitu kama si fani yako hata usome kwa telescope bado hutojua/hutoelewa!!
Huo mradi bila hata kufikiria mara mbili...
Una madhara makubwa sana kwa ustawi wa viumbe hai vyote vinavyotegemea maji na mazingira husika.
Time will tell the truth!!
Kama watalaam wetu ni wa aina ya Tundu Lissu na Zuberi Kabwe ambao walituaminisha kuwa kwenye sakata la makenikia kuwa serikali ingeshindwa vibaya na matokeo yake yangetugharimu vibaya sana. Ni bora kuendelea na wataalam ambao walitoa mapendekezo ya namna ya kutekeleza mpango huo bila athari kubwa na ndiyo maana eneo husika halifiki 2% ya eneo lote.. Wakati wa Mwalimu hali ilikuwa kama hivyo tofauti ni kwamba tulikuwa tunawategemea wafadhili wa magharibi zaidi na kwa hivi sasa dunia imebadilika.Ni hivi watu wengi wanaandika bila kuujua ukweli.
Ukweli ni kwamba kabla ya mradi wowote mkubwa kutekelezwa lazima kifanyike kitu kinachoitwa Environment Impact Assessment.
Ukweli ni kwamba serikali iliunda team iliyojumuisha maprofesa nguli kufanya Environment Impact Assessment ambapo serikali yetu iliwalipa fedha kufanya kazi hiyo.
Ukweli ni kwamba team hiyo ilifanya kazi hiyo na kuandika ripoti yake ambayo ilieleza kwamba madhara ya kwnye mazingira kama mradi huu ukitekelezwa yatakuwa makubwa sana hivyo wakashauri mradi huu usitekelezwe na wakashauri serikali ijikite kwenye kuzalisha umeme kwa kutumia gesi ambayo inapatikana mtwara kwani uzalishaji wa umeme kwa kutumia umeme hautakuwa na madhara kwenye mazingira kama mradi wa stiglers gorge.
Sasa bana ripoti hii iliwasilishwa kwanza wizara inayohusika na mazingira ya bwana January.
Waziri akakubaliana na ripoti naye akaifoadi ikulu.
Bwana kolichotokea almanusura huyu jamaa apoteze kazi, .
Ukweli ni kwamba jiwe alimuita akamtukana sana kwanini amekubaliana na ushauri wa hao maprofesa na kisha akamtupia ripoti yake .
Isingekuwa aibu ya jiwe akifahamu jinsi January alivyomfanyia figisufigisu ya kutengeneza matokeo yaliyomsaidia kumuweka madarakani pale mlimani city huyu january alikuwa afukuziwe mbali.
Sasa twende kwenye hoja, kwa nini serikali yetu inakataa repoti ya timu ya iliyoiunda na kuilipa ifanye kazi na wao wakafanya na wakashauri.
Mbona Serikali hiii hii haitoi vibali vya kuendeleza miradi ambayo environment impact assessment zimeshauri kwamb arhari za mradi ni hasi.
Kuna msemo wa kiingereza unaoheshimika sana unaosema "no research no right to speak"
Research imefanyika imeeleza mradi ni mbaya kwenye mazingira watu bila hata kufanya research nyingine wanakurupuka kuukataa ushauri wa wataalamu.
Tusiwalaumu sijui bunge la ujerumani , mimi binafsi siungi mkono kupangiwa mambo yetu na hao wajerunani.
Ukweli ni kwamba mradi huu ulikataliwa kwanza na timu yetu sisi wenyewe watanzania iliyohusisha maprofesa wataalamu ambao mwisho wa siku kama kawaida ya jiwe ukitoa mapendekezo tofauti na mtazamo wake unaitwa sio mzalendo au sijui umetumwa na mabepari.
Aina hii ya uongozi ya kukataa mapendekezo ya wataalamu ni mojawapo ya element za utawala wa kidikteta.
Kama watalaam wetu ni wa aina ya Tundu Lissu na Zuberi Kabwe ambao walituaminisha kuwa kwenye sakata la makenikia kuwa serikali ingeshindwa vibaya na matokeo yake yangetugharimu vibaya sana. Ni bora kuendelea na wataalam ambao walitoa mapendekezo ya namna ya kutekeleza mpango huo bila athari kubwa na ndiyo maana eneo husika halifiki 2% ya eneo lote.. Wakati wa Mwalimu hali ilikuwa kama hivyo tofauti ni kwamba tulikuwa tunawategemea wafadhili wa magharibi zaidi na kwa hivi sasa dunia imebadilika.
Mimi nimeosoma ripoti ya WWF kuhusu mradi huu, kama katiba tuu imeweza kukanyangwa na tuko ok kabisa, what is EIA compared?.
Kwenye hili mimi naungana na serikali yetu kuwa Tanzania is a sovereign state, tutaamua mambo yetu wenyewe bila kuingiliwa au kupangiwa na mataifa ya nje.
Natolea mfano wa mradi wa Kamba Samaki, shrimp farming kwenye Rufiji Delta, ulipitishwa vizuri tuu, lakini kabla ya utekelezaji, mashirika ya kimataifa ya mazingira yakaja na EIA nyingine, tukapigwa stop mradi ukafa. Hoja ya wanamazingira ni kilimo kile kingeathiri uoto wa asili wa mikoko.
Ukiangalia cost benefits na value benefits za mradi na faida za mikoko, mikoko are nothing compared.
Kama ulifuatilia issue ya Kihansi Hydro Electric Project, mradi ulichelewa sana kwa hoja ya vyura wa Kihansi hadi Marekani walipokubali kuwa relocate wakahamishwa, mradi ulipokamilika wakarudishwa. Ukiangalia faida za nchi inayohitaji umeme na faida ya vyura ni nothing compared.
Sasa kwenye Stieglers ni vile vile wanataka kutupangia, kule nyuma waliweza kwa sababu fedha walikuwa wanatoa wao. Kwa Stieglers, watakwama kwa sababu this time around fedha ni zetu.
Hili jambo niliisha lizungumza sana humu
Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambe
ya maendeleo ya nchi yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.
P
Kwenye makubaliano ninadhani kuna kipengele kipya ambacho kinaipa nchi ubia wa asilimia 16. Kwa hili ninadhani tumefanya vizuri sana kwani faida itakayotokana na hisa hizo ni endelevu mpaka mwisho wa uhai wa mgodi...ktk sakata la makinikia tumeshindwa.
..serikali ilitoa taarifa kwamba tunawadai accacia usd 191 billion.
..baada ya malumbano na majadiliano serikali imeachana na madai hayo.
..pia serikali ilisema smelter itajengwa hapa Tz ili kuchenjua makinikia. Majuzi makinikia yameanza kusafirishwa nje.
..serikali ilisema kesi na mashauri yote yanayohusu madini na nishati zitaamuliwa na mahakama za Tz. Baada ya majadiliano serikali imesaini mkataba na Barrick unaolekeza kuwa kesi zitaendelea kuamuliwa nje ya nchi.
..Mwisho, hakuna mhusika yeyote aliyetajwa ktk ripoti za Prof.Mruma na Prof.Ossoro amepelekwa mahakamani.
..Serikali iliwapa waTz matumaini makubwa lakini ilicho-deliver ni kidogo. Na imefyata mkia haizungumzi tena kwa ubabe.
Kwenye makubaliano ninadhani kuna kipengele kipya ambacho kinaipa nchi ubia wa asilimia 16. Kwa hili ninadhani tumefanya vizuri sana kwani faida itakayotokana na hisa hizo ni endelevu mpaka mwisho wa uhai wa mgodi.
Ni hivi watu wengi wanaandika bila kuujua ukweli.
Ukweli ni kwamba kabla ya mradi wowote mkubwa kutekelezwa lazima kifanyike kitu kinachoitwa Environment Impact Assessment.
Ukweli ni kwamba serikali iliunda team iliyojumuisha maprofesa nguli kufanya Environment Impact Assessment ambapo serikali yetu iliwalipa fedha kufanya kazi hiyo.
Ukweli ni kwamba team hiyo ilifanya kazi hiyo na kuandika ripoti yake ambayo ilieleza kwamba madhara ya kwnye mazingira kama mradi huu ukitekelezwa yatakuwa makubwa sana hivyo wakashauri mradi huu usitekelezwe na wakashauri serikali ijikite kwenye kuzalisha umeme kwa kutumia gesi ambayo inapatikana mtwara kwani uzalishaji wa umeme kwa kutumia umeme hautakuwa na madhara kwenye mazingira kama mradi wa stiglers gorge.
Sasa bana ripoti hii iliwasilishwa kwanza wizara inayohusika na mazingira ya bwana January.
Waziri akakubaliana na ripoti naye akaifoadi ikulu.
Bwana kolichotokea almanusura huyu jamaa apoteze kazi, .
Ukweli ni kwamba jiwe alimuita akamtukana sana kwanini amekubaliana na ushauri wa hao maprofesa na kisha akamtupia ripoti yake .
Isingekuwa aibu ya jiwe akifahamu jinsi January alivyomfanyia figisufigisu ya kutengeneza matokeo yaliyomsaidia kumuweka madarakani pale mlimani city huyu january alikuwa afukuziwe mbali.
Sasa twende kwenye hoja, kwa nini serikali yetu inakataa repoti ya timu ya iliyoiunda na kuilipa ifanye kazi na wao wakafanya na wakashauri.
Mbona Serikali hiii hii haitoi vibali vya kuendeleza miradi ambayo environment impact assessment zimeshauri kwamb arhari za mradi ni hasi.
Kuna msemo wa kiingereza unaoheshimika sana unaosema "no research no right to speak"
Research imefanyika imeeleza mradi ni mbaya kwenye mazingira watu bila hata kufanya research nyingine wanakurupuka kuukataa ushauri wa wataalamu.
Tusiwalaumu sijui bunge la ujerumani , mimi binafsi siungi mkono kupangiwa mambo yetu na hao wajerunani.
Ukweli ni kwamba mradi huu ulikataliwa kwanza na timu yetu sisi wenyewe watanzania iliyohusisha maprofesa wataalamu ambao mwisho wa siku kama kawaida ya jiwe ukitoa mapendekezo tofauti na mtazamo wake unaitwa sio mzalendo au sijui umetumwa na mabepari.
Aina hii ya uongozi ya kukataa mapendekezo ya wataalamu ni mojawapo ya element za utawala wa kidikteta.
Paskali .....bado this time hizi fedha Ni zetu!?Mimi nimeosoma ripoti ya WWF kuhusu mradi huu, kama katiba tuu imeweza kukanyangwa na tuko ok kabisa, what is EIA compared?.
Kwenye hili mimi naungana na serikali yetu kuwa Tanzania is a sovereign state, tutaamua mambo yetu wenyewe bila kuingiliwa au kupangiwa na mataifa ya nje.
Natolea mfano wa mradi wa Kamba Samaki, shrimp farming kwenye Rufiji Delta, ulipitishwa vizuri tuu, lakini kabla ya utekelezaji, mashirika ya kimataifa ya mazingira yakaja na EIA nyingine, tukapigwa stop mradi ukafa. Hoja ya wanamazingira ni kilimo kile kingeathiri uoto wa asili wa mikoko.
Ukiangalia cost benefits na value benefits za mradi na faida za mikoko, mikoko are nothing compared.
Kama ulifuatilia issue ya Kihansi Hydro Electric Project, mradi ulichelewa sana kwa hoja ya vyura wa Kihansi hadi Marekani walipokubali kuwa relocate wakahamishwa, mradi ulipokamilika wakarudishwa. Ukiangalia faida za nchi inayohitaji umeme na faida ya vyura ni nothing compared.
Sasa kwenye Stieglers ni vile vile wanataka kutupangia, kule nyuma waliweza kwa sababu fedha walikuwa wanatoa wao. Kwa Stieglers, watakwama kwa sababu this time around fedha ni zetu.
Hili jambo niliisha lizungumza sana humu
Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambe
ya maendeleo ya nchi yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.
P
Uzalendo ni pamoja na kuamini bila mashaka chochote unachoambiwa na serikali yako. Tumeambiwa miradi ya kimkakati tunatekeleza kwa fedha zetu za ndani, kununua midege, kujenga reli ya SGR, Stigler, kujenga Tanzania ya viwanda na kuhamia Dodoma, ni fedha za ndani, then ni fedha za ndani!.Paskali .....bado this time hizi fedha Ni zetu!?
Zile USD za WB alizozipiga pini ZZK zilikua za kazi gani sasa? Au ndio zilikua ziingie gulioni kununua watu?Uzalendo ni pamoja na kuamini bila mashaka chochote unachoambiwa na serikali yako. Tumeambiwa miradi ya kimkakati tunatekeleza kwa fedha zetu za ndani, kununua midege, kujenga reli ya SGR, Stigler, kujenga Tanzania ya viwanda na kuhamia Dodoma, ni fedha za ndani, then ni fedha za ndani!.
P'se usiniulize kwanini deni la taifa linazidi kupas!.
P
Acha upotoshaji wewe.Hii kamati iliteuliwa baada ya magufuli kutaka kujenga hilo bwawa , ila baada ya kusoma ripoti yao akaikataa na kuitupilia mbali .
Huo ndio ukweli wenyewe
Uzalendo wa kweli wa taifa lako ni pamoja na kuisupport mipango mkakati ya maendeleo ya taifa lako hata kama wewe binafsi hukubaliani nayo!.Umebadilika saana Kaka..,.mwanzoni nilijua unafikisha ujumbe kwa kinyume na unachoandika Ila baada ya kukufuatilia kwa muda nikagundua kua una maanisha na kusimamia kauli zako za kuunga mkono...inawezekana ule wito wa dodoma pamoja na onyo ulopewa au umeingia katika pay roll ili utumie taaluma yako kutupotosha na kumsifia mfalme..,.Kaka hujui tu jinsi hadhi na thamani uliokua nayo katika mioyo ya wadau wengi wa hapa JF.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo litakuwa linakua by default!Uzalendo ni pamoja na kuamini bila mashaka chochote unachoambiwa na serikali yako. Tumeambiwa miradi ya kimkakati tunatekeleza kwa fedha zetu za ndani, kununua midege, kujenga reli ya SGR, Stigler, kujenga Tanzania ya viwanda na kuhamia Dodoma, ni fedha za ndani, then ni fedha za ndani!.
P'se usiniulize kwanini deni la taifa linazidi kupas!.
P
Hao wanaotengeneza sora! Je viwanda vyao vinategemea solar?Hujui thamani ya mazingira mpaka siku uwe na jangwa kama sudani au mali.
Tanzania ina options nyingi za kutengeneza umeme. Kwanini msifikirie Solar? Wind Turbines? Gas? Hizo zote ni sustainable means to get electricity without the expense of environment.
Fanya yote ila usichezee mazingira. Kizazi kinachokuja kitajuta.
Sent using Jamii Forums mobile app