Ukweli mchungu kuhusiana na mradi wa Stiegler's Gorge

Ukweli mchungu kuhusiana na mradi wa Stiegler's Gorge

Mimi nimeosoma ripoti ya WWF kuhusu mradi huu, kama katiba tuu imeweza kukanyangwa na tuko ok kabisa, what is EIA compared?.

Kwenye hili mimi naungana na serikali yetu kuwa Tanzania is a sovereign state, tutaamua mambo yetu wenyewe bila kuingiliwa au kupangiwa na mataifa ya nje.

Natolea mfano wa mradi wa Kamba Samaki, shrimp farming kwenye Rufiji Delta, ulipitishwa vizuri tuu, lakini kabla ya utekelezaji, mashirika ya kimataifa ya mazingira yakaja na EIA nyingine, tukapigwa stop mradi ukafa. Hoja ya wanamazingira ni kilimo kile kingeathiri uoto wa asili wa mikoko.

Ukiangalia cost benefits na value benefits za mradi na faida za mikoko, mikoko are nothing compared.

Kama ulifuatilia issue ya Kihansi Hydro Electric Project, mradi ulichelewa sana kwa hoja ya vyura wa Kihansi hadi Marekani walipokubali kuwa relocate wakahamishwa, mradi ulipokamilika wakarudishwa. Ukiangalia faida za nchi inayohitaji umeme na faida ya vyura ni nothing compared.

Sasa kwenye Stieglers ni vile vile wanataka kutupangia, kule nyuma waliweza kwa sababu fedha walikuwa wanatoa wao. Kwa Stieglers, watakwama kwa sababu this time around fedha ni zetu.
Hili jambo niliisha lizungumza sana humu

Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambe
ya maendeleo ya nchi yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.
P
"Tutatumia fedha yetu ya ndani" hapo ndo kitendawili, mapato yetu yameshuka sana,
 
Jamani mwenye hiyo ripoti aiweke humu tuisome tuache ubabaishaji na mawazo ya kufikirika tu
Sasa mfano JpM ametuambia mojawapo ya comment za ripoti ili uharibifu wa mazingira usiharibiwe ktk huo mradi
Mtu akinya huko site kinyesi kisafishwe kilomita kadhaa kukitoa humo porini. Je hiyo ni sehemu ya ripoti kweli? Ndugu zetu Wakara wamekuwa wakinya kwenye mashamba yao ya mihogo kwa ajili ya mbolea kitambo tu.
Kwa kuwa ripoti haipo wazi bora mradi uendelee hizo EIA wanazo hao maprofesa kwenye flash zao hazitasaidia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimeosoma ripoti ya WWF kuhusu mradi huu, kama katiba tuu imeweza kukanyangwa na tuko ok kabisa, what is EIA compared?.

Kwenye hili mimi naungana na serikali yetu kuwa Tanzania is a sovereign state, tutaamua mambo yetu wenyewe bila kuingiliwa au kupangiwa na mataifa ya nje.

Natolea mfano wa mradi wa Kamba Samaki, shrimp farming kwenye Rufiji Delta, ulipitishwa vizuri tuu, lakini kabla ya utekelezaji, mashirika ya kimataifa ya mazingira yakaja na EIA nyingine, tukapigwa stop mradi ukafa. Hoja ya wanamazingira ni kilimo kile kingeathiri uoto wa asili wa mikoko.

Ukiangalia cost benefits na value benefits za mradi na faida za mikoko, mikoko are nothing compared.

Kama ulifuatilia issue ya Kihansi Hydro Electric Project, mradi ulichelewa sana kwa hoja ya vyura wa Kihansi hadi Marekani walipokubali kuwa relocate wakahamishwa, mradi ulipokamilika wakarudishwa. Ukiangalia faida za nchi inayohitaji umeme na faida ya vyura ni nothing compared.

Sasa kwenye Stieglers ni vile vile wanataka kutupangia, kule nyuma waliweza kwa sababu fedha walikuwa wanatoa wao. Kwa Stieglers, watakwama kwa sababu this time around fedha ni zetu.
Hili jambo niliisha lizungumza sana humu

Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambe
ya maendeleo ya nchi yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.
P
Mkuu huwa nakukubali. Hata hivyo kuna mambo hapa hauko sawa. Ingawa nia ya kuwa mradi mkubwa ni poa kabisa. Hata hivyo
1. Umesema Mikoko: Mikoko ni moja ya mazalia na sehemu ya kula chakula ya millions ya samaki wachanga. Hivyo ni muhimu sana maana ikiondolewa mingi athai zake ni samaki kupungua maradufu, mavuvi kushuka, kipato Cha wananchi kupungua na lishe duni, mapato serikali kupungua
2. Ungejaribu kugusia hoja ya mdau kwanini isiwe gas ya mtwara na lazima umeme wa maji?
3. Mtoa mada kasema EIA ilifanywa na maprofesa tena mmojawapo na Nguli wa mazingira Prof. Mwalyosi ( fuatilia baada ya hiyo ripot anaandamwa na nini?)
4. Nakubaliana na wewe nia ya EIA pia kutoa njia za kupunguza athari zitakazotokana na mradi. Kama zipo na ni nafuu na ni lazima mradi vs gas basi tumsapoti Mh. Rais lkn wasemaje wake watumie vyombo vya habari vizuri kutoa taarifa kwa umma.

Mwisho, kila ikolojia in manufaa yake kwa maisha ya wananchi na mapato ya serikali.
 
Nyie pigeni kelele Weeeeeeeeeeee ila mwisho wa siku mradi lazima utekelezwe, huko Site mambo ni Moto, wajukuu wa FARAO wapo speed sana bado miezi minne na nusu hivi waanze kazi rasmiSasa hivi wanaandaa mazingira ya kazi,piteni huko mjionee, msikae humu JF tu.Hizo kelele za bunge la ujerumani ndo zimeisha hivyo hivyo, by the way barua ya EU na USA ziliishia wapi?,..
 
China ndo ina miradi mingi zaid mikubwa ya ujenzi wa HEP inayoendelea kwa sasa duniani lakini hao jamaa zenu hawapeleki pua kule.WHY? Hakuna mradi wowote usiokuwa na athari kwenye mazingira hata ujenzi wa nyumba za kuishi tu
 
Naona kama ni upotezaji muda tu. JPM keshaamua mradi uendele. Wamisri wameshapewa tenda na muda wowote kazi itaanza.

Hayo mambo ya mazingira yameshajengewa hoja vizuri sana. Kwamba mradi ukianza hata hao wanyama watafaidika.
 
Nyie pigeni kelele Weeeeeeeeeeee ila mwisho wa siku mradi lazima utekelezwe, huko Site mambo ni Moto, wajukuu wa FARAO wapo speed sana bado miezi minne na nusu hivi waanze kazi rasmiSasa hivi wanaandaa mazingira ya kazi,piteni huko mjionee, msikae humu JF tu.Hizo kelele za bunge la ujerumani ndo zimeisha hivyo hivyo, by the way barua ya EU na USA ziliishia wapi?,..
Mleta mada ana roho ngumu kweli. Bado eti anaamini kwamba huu mradi hautafanikiwa.
 
Umeeleza vizuri mkuu. Lakini upande wa pili usiojua ni kuwa [DUNIA INAKABILIWA NA MABADILIKO YA HALI YA HEWA INAYOTOKANA NA UCHAFUZI WA MAZINGIRA. HASA KWENYE NCHI ZILIZOENDELEA HASA CHINA NA MAREKANI. WAKAKAA VIKAO VYAO VYA G8 WAKAKUBALIANA BAADHI YA MASHARTI MAKUU MAWILI]
1. Kupunguza viwanda na uchafuzi wa mazingira
2. Kulipa fidia nchi zinazoendeleza mazingira hasa LDCs ndo unaona hao mbwa wanaojiita OSHA yaani kiwanda kikitoa moshi wanakuja mbio na kuanza fujo..wasijue wanafanya kazi ya mzungu.
Sasa nchi hizi kwa sababu zilikubali mikataba hii basi walifanya hivyo at expense of their own economy and its citzens.
Turudi kwenye hoja. Hapa ndio patamu hivi ulishawahi jiuliza impact ya mradi kwenye uchumi na manufaa yake tusipojenga. Kiukweli mradi hauharibu hata 10% ya eneo tengefu.
Kunausemi unasema [Its very dangerous for anyone to determine your fate]. Sisi ni nchi huru tutumie rasilimali zetu kwa ajili ya watu wetu FULL STOP.
 
Nyie pigeni kelele Weeeeeeeeeeee ila mwisho wa siku mradi lazima utekelezwe, huko Site mambo ni Moto, wajukuu wa FARAO wapo speed sana bado miezi minne na nusu hivi waanze kazi rasmiSasa hivi wanaandaa mazingira ya kazi,piteni huko mjionee, msikae humu JF tu.Hizo kelele za bunge la ujerumani ndo zimeisha hivyo hivyo, by the way barua ya EU na USA ziliishia wapi?,..

"The generation that destroys the environment is not the generation that pays the price. That is the problem."- Wangari Maathai.
 
Nashauri watujengee hizo mitambo za gesi, wayajengee mabwawa yetu ya umeme recycling ya maji ili yakidhalisha umeme yasipotee yarudi yadhalishe tena kama watafanya!

Jiwe wewe DIMAGA POLEPOLE
 
Tushakopa tayari za kuanzia toka Egypt. Mjenzi ni Egypt na pesa tunakopa toka Egypt.
Wale partners wa Arab cobtractors wenye 45% wanasubiri mpunga uingie wakawekeza huku Uganda kwenye kiwanda chao cha kutengeneza vifaa vya umeme
 
Mimi nimeosoma ripoti ya WWF kuhusu mradi huu, kama katiba tuu imeweza kukanyangwa na tuko ok kabisa, what is EIA compared?.

Kwenye hili mimi naungana na serikali yetu kuwa Tanzania is a sovereign state, tutaamua mambo yetu wenyewe bila kuingiliwa au kupangiwa na mataifa ya nje.

Natolea mfano wa mradi wa Kamba Samaki, shrimp farming kwenye Rufiji Delta, ulipitishwa vizuri tuu, lakini kabla ya utekelezaji, mashirika ya kimataifa ya mazingira yakaja na EIA nyingine, tukapigwa stop mradi ukafa. Hoja ya wanamazingira ni kilimo kile kingeathiri uoto wa asili wa mikoko.

Ukiangalia cost benefits na value benefits za mradi na faida za mikoko, mikoko are nothing compared.

Kama ulifuatilia issue ya Kihansi Hydro Electric Project, mradi ulichelewa sana kwa hoja ya vyura wa Kihansi hadi Marekani walipokubali kuwa relocate wakahamishwa, mradi ulipokamilika wakarudishwa. Ukiangalia faida za nchi inayohitaji umeme na faida ya vyura ni nothing compared.

Sasa kwenye Stieglers ni vile vile wanataka kutupangia, kule nyuma waliweza kwa sababu fedha walikuwa wanatoa wao. Kwa Stieglers, watakwama kwa sababu this time around fedha ni zetu.
Hili jambo niliisha lizungumza sana humu

Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambe
ya maendeleo ya nchi yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.
P
"hata kama mipango hyo itasababisha maumivu kwa walio wengi"


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu mweusi ni mweusi mpaka kwenye ubongo.

Madhara ya kiuchumi kwenye huu mradi yatayoyokana na uharifibifu wa mazingira sidhani kama yatokosekana na sidhani kama yatakuwa madogo kwa sehemu husika na kwa nchi nzima kwa ujumla.

Kibaya zaidi, mkataba wenyewe ni wa siri hivyo yale ya IPTL yanaweza kujiridia kwahiyo ikawa ni hasara kuanzia kwenye mradi wenyewe, kimazingira na hata kiuchumi pia.

Magu yuko kisiasa zaidi na hata wanaomuunga mkono nao wako kisiasa zaidi ila tutakuja kuona madhara ya kuruhusu siasa zitawale taaluma za watu.
 
Back
Top Bottom