Ukweli mchungu kuhusiana na mradi wa Stiegler's Gorge

Ukweli mchungu kuhusiana na mradi wa Stiegler's Gorge

Ni hivi watu wengi wanaandika bila kuujua ukweli.
Ukweli ni kwamba kabla ya mradi wowote mkubwa kutekelezwa lazima kifanyike kitu kinachoitwa Environment Impact Assessment.
/QUOTE]

Sasa tueleze Waganda na Ethiopia wanajenga miradi kama hiyo wao wamekwepaje na Ethiopia ni mrafi mkubwa kuliko wetu. Tuanzie hapo.
 
Hii kamati iliteuliwa baada ya magufuli kutaka kujenga hilo bwawa , ila baada ya kusoma ripoti yao akaikataa na kuitupilia mbali .
Huo ndio ukweli wenyewe

Kwa hiyo una maana kuwa huo mradi wa Stiegers Gorge unaanzishwa bila yakuwa na ....
" Environmental Impact Assessment Certificate" ?
Wapi tunaweza ipata hiyo ripoti ya tume tujaribu kuipitia nasie akina karumekenge.
 
Mimi nimeosoma ripoti ya WWF kuhusu mradi huu, kama katiba tuu imeweza kukanyangwa na tuko ok kabisa, what is EIA compared?.

Kwenye hili mimi naungana na serikali yetu kuwa Tanzania is a sovereign state, tutaamua mambo yetu wenyewe bila kuingiliwa au kupangiwa na mataifa ya nje.

Natolea mfano wa mradi wa Kamba Samaki, shrimp farming kwenye Rufiji Delta, ulipitishwa vizuri tuu, lakini kabla ya utekelezaji, mashirika ya kimataifa ya mazingira yakaja na EIA nyingine, tukapigwa stop mradi ukafa. Hoja ya wanamazingira ni kilimo kile kingeathiri uoto wa asili wa mikoko.

Ukiangalia cost benefits na value benefits za mradi na faida za mikoko, mikoko are nothing compared.

Kama ulifuatilia issue ya Kihansi Hydro Electric Project, mradi ulichelewa sana kwa hoja ya vyura wa Kihansi hadi Marekani walipokubali kuwa relocate wakahamishwa, mradi ulipokamilika wakarudishwa. Ukiangalia faida za nchi inayohitaji umeme na faida ya vyura ni nothing compared.

Sasa kwenye Stieglers ni vile vile wanataka kutupangia, kule nyuma waliweza kwa sababu fedha walikuwa wanatoa wao. Kwa Stieglers, watakwama kwa sababu this time around fedha ni zetu.
Hili jambo niliisha lizungumza sana humu

Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambe
ya maendeleo ya nchi yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.
P
Nimetumia kikotoo cha IQ kukuelewa. Kama mti ni uhai ni dhambi kuondoa mti bila sababu. Lakini wakanyaga katiba wanatabia yakutojali uhai
 
Hawa wazungu ni wanafiki sana....mbona Trump huwa ikifika hoja ya mazingira kwenye vikao vyao G 20 sijui G ngapi huko huwa anatoka na hakubaliani na matakwa ya mazingira????.....cc huku ndo shida.....? JPM tekeleza mradi huo at any cost.....
 
Hiyo report iko wapi?

Tuwekeeni na sie tuione.

Sikuizi hakuna wa kumuamIni
 
Mnawarudisha kwenye gas ambayo haipo imeibwa na mabeberu mnataka wafanyeje sasa hahaa?
 
Wamarekani walijenda hoover dam miaka hiyo na bado wanakula matunda yake mpk leo,China wamejenga three gorges dam na ndio bwawa kubwa kbs duniani linatoa megawati zaidi ya elfu 21 wanafaidika na umeme kwa miaka mingi...sisi tukitaka kujenga ndio waanze kutuambia mazingira wakata hizo nchi zilizoendelea ndio zinaongoza kwa kuchagua na kuharibu mazingira, mimi binafsi natoa support kubwa huu mradi ufanyike na nampongeza rais kwa maamuzi thabiti.

Kuna watu mnalalamika bei kubwa ya umeme lakini miradi kama hii inapotaka kufanywa ili itusaidie hata kupunguza bei ya umeme kidogo mnaanza kupinga kila mtu siku hizi anataka kujifanya mwanaharakati


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimeosoma ripoti ya WWF kuhusu mradi huu, kama katiba tuu imeweza kukanyangwa na tuko ok kabisa, what is EIA compared?.

Kwenye hili mimi naungana na serikali yetu kuwa Tanzania is a sovereign state, tutaamua mambo yetu wenyewe bila kuingiliwa au kupangiwa na mataifa ya nje.

Natolea mfano wa mradi wa Kamba Samaki, shrimp farming kwenye Rufiji Delta, ulipitishwa vizuri tuu, lakini kabla ya utekelezaji, mashirika ya kimataifa ya mazingira yakaja na EIA nyingine, tukapigwa stop mradi ukafa. Hoja ya wanamazingira ni kilimo kile kingeathiri uoto wa asili wa mikoko.

Ukiangalia cost benefits na value benefits za mradi na faida za mikoko, mikoko are nothing compared.

Kama ulifuatilia issue ya Kihansi Hydro Electric Project, mradi ulichelewa sana kwa hoja ya vyura wa Kihansi hadi Marekani walipokubali kuwa relocate wakahamishwa, mradi ulipokamilika wakarudishwa. Ukiangalia faida za nchi inayohitaji umeme na faida ya vyura ni nothing compared.

Sasa kwenye Stieglers ni vile vile wanataka kutupangia, kule nyuma waliweza kwa sababu fedha walikuwa wanatoa wao. Kwa Stieglers, watakwama kwa sababu this time around fedha ni zetu.
Hili jambo niliisha lizungumza sana humu

Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambe
ya maendeleo ya nchi yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.
P
Usiseme faida ya vyura ni ndogo, ni viumbe walio na haki ya kuishi katika mazingira yao. Binadamu tunajisahau na kujiona sisi ndiye wenye haki na hii dunia, very wrong.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri akakubaliana na ripoti naye akaifoadi ikulu.
Bwana kolichotokea almanusura huyu jamaa apoteze kazi, .
Ukweli ni kwamba jiwe alimuita akamtukana sana kwanini amekubaliana na ushauri wa hao maprofesa na kisha akamtupia ripoti yake .
Isingekuwa aibu ya jiwe akifahamu jinsi January alivyomfanyia figisufigisu ya kutengeneza matokeo yaliyomsaidia kumuweka madarakani pale mlimani city huyu january alikuwa afukuziwe mbali.
Sasa twende kwenye hoja, kwa nini serikali yetu inakataa repoti ya timu ya iliyoiunda na kuilipa ifanye kazi na wao wakafanya na wakashauri.
Mbona Serikali hiii hii haitoi vibali vya kuendeleza miradi ambayo environment impact assessment zimeshauri kwamb arhari za mradi ni hasi.
Kuna msemo wa kiingereza unaoheshimika sana unaosema "no research no right to speak"
Research imefanyika imeeleza mradi ni mbaya kwenye mazingira watu bila hata kufanya research nyingine wanakurupuka kuukataa ushauri wa wataalamu.
Tusiwalaumu sijui bunge la ujerumani , mimi binafsi siungi mkono kupangiwa mambo yetu na hao wajerunani.
Ukweli ni kwamba mradi huu ulikataliwa kwanza na timu yetu sisi wenyewe watanzania iliyohusisha maprofesa wataalamu ambao mwisho wa siku kama kawaida ya jiwe ukitoa mapendekezo tofauti na mtazamo wake unaitwa sio mzalendo au sijui umetumwa na mabepari.
Aina hii ya uongozi ya kukataa mapendekezo ya wataalamu ni mojawapo ya element za utawala wa kidikteta.
Hiyo Ripoti ndiyo ile iliyokasema choo kiwe km 10 toka eneo la mradi..! ripoti ya ovyo sana..! Sasa watu watakuwa wanafanya kazi au wanashinda njiani kwenda chooni tu
 
kwa hilinnapingana na jiwe huwezi haribu mazingira unakata miti eneo ukubwa kama mkoa wa dar... unazani miaka kumi sijazo tutakuaje?? kwani sini gesi ipo inawezaa tumika hadi miaka 100 ijayo kwanini tusiitumie hiyo au kaona kwenye mradi huo kuna pesa kubwa ataipiga sana... maana kila raisi hukuja na mbinu yake ya miradi ili kupitia miradi hizo apige pesaa waliopita walidili na gesi na yeye kaona adili na hii bwawa... tusifanye mambo kwa kukurupuka tuangalie na athari ya mazingira gesi sini ipo ?? au gesi sio yetu yaani umeme wa gesi unaaminika duniani sisi tunayo lita na lita za matrillion zinazoweza tumika hata miaka 100 ijayo... kweli?? kwa hili hata kama ni mabeberu wapo sawa kusema hili hata kama mkiritafakari kwa upande wa kusema hawaitaji tukajiendeleza kimaendeo hakika tutakuwa tumekosea gesi mtwara ipo tuitumie hiyoo kuliko kuharibu hifadhi ya selous naambatanisha video clip ya zitto kabwe




clip ya nape nnauye akitahadharisha ukataji miti
 
Usiseme faida ya vyura ni ndogo, ni viumbe walio na haki ya kuishi katika mazingira yao. Binadamu tunajisahau na kujiona sisi ndiye wenye haki na hii dunia, very wrong.

Sent using Jamii Forums mobile app
That being the case, let's all live a holistic lives, every living organisms have the right to life. Tuwe vegetarians, tunaokula mboga mboga, fruitarians tunaokula matunda na breathtarians tunaokula hewa. Kila kiumbe chenye damu pia kina roho, hata kuku, mbuzi, ng'ombe wana roho na wana haki ya kuishi.
P
 
Mimi nimeosoma ripoti ya WWF kuhusu mradi huu, kama katiba tuu imeweza kukanyangwa na tuko ok kabisa, what is EIA compared?.

Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kusupport mipango kamambe
ya maendeleo ya nchi
yako hata kama mipango hiyo itasababisha maumivu kwa walio wengi as long as itakuwa na faida kubwa kitaifa huko baadae.
P
Hizi ni sentensi mbili kinzani yaani kama kuna ulazima wa kukanyaga Katiba ili kufanyika jambo la kizalendo basi ikanyagwe tu.
 
Ni hivi watu wengi wanaandika bila kuujua ukweli.
Ukweli ni kwamba kabla ya mradi wowote mkubwa kutekelezwa lazima kifanyike kitu kinachoitwa Environment Impact Assessment.
Ukweli ni kwamba serikali iliunda team iliyojumuisha maprofesa nguli kufanya Environment Impact Assessment ambapo serikali yetu iliwalipa fedha kufanya kazi hiyo.
Ukweli ni kwamba team hiyo ilifanya kazi hiyo na kuandika ripoti yake ambayo ilieleza kwamba madhara ya kwnye mazingira kama mradi huu ukitekelezwa yatakuwa makubwa sana hivyo wakashauri mradi huu usitekelezwe na wakashauri serikali ijikite kwenye kuzalisha umeme kwa kutumia gesi ambayo inapatikana mtwara kwani uzalishaji wa umeme kwa kutumia umeme hautakuwa na madhara kwenye mazingira kama mradi wa stiglers gorge.
Sasa bana ripoti hii iliwasilishwa kwanza wizara inayohusika na mazingira ya bwana January.
Waziri akakubaliana na ripoti naye akaifoadi ikulu.
Bwana kolichotokea almanusura huyu jamaa apoteze kazi, .
Ukweli ni kwamba jiwe alimuita akamtukana sana kwanini amekubaliana na ushauri wa hao maprofesa na kisha akamtupia ripoti yake .
Isingekuwa aibu ya jiwe akifahamu jinsi January alivyomfanyia figisufigisu ya kutengeneza matokeo yaliyomsaidia kumuweka madarakani pale mlimani city huyu january alikuwa afukuziwe mbali.
Sasa twende kwenye hoja, kwa nini serikali yetu inakataa repoti ya timu ya iliyoiunda na kuilipa ifanye kazi na wao wakafanya na wakashauri.
Mbona Serikali hiii hii haitoi vibali vya kuendeleza miradi ambayo environment impact assessment zimeshauri kwamb arhari za mradi ni hasi.
Kuna msemo wa kiingereza unaoheshimika sana unaosema "no research no right to speak"
Research imefanyika imeeleza mradi ni mbaya kwenye mazingira watu bila hata kufanya research nyingine wanakurupuka kuukataa ushauri wa wataalamu.
Tusiwalaumu sijui bunge la ujerumani , mimi binafsi siungi mkono kupangiwa mambo yetu na hao wajerunani.
Ukweli ni kwamba mradi huu ulikataliwa kwanza na timu yetu sisi wenyewe watanzania iliyohusisha maprofesa wataalamu ambao mwisho wa siku kama kawaida ya jiwe ukitoa mapendekezo tofauti na mtazamo wake unaitwa sio mzalendo au sijui umetumwa na mabepari.
Aina hii ya uongozi ya kukataa mapendekezo ya wataalamu ni mojawapo ya element za utawala wa kidikteta.

Hata Jiwe alisema hadharani habari ya hiyo environmental assessment report.
 
Back
Top Bottom